Kwanini Hospitali ya Maweni-Kigoma hailipi pela za kujikimu kwa waajiriwa wapya?

Kwanini Hospitali ya Maweni-Kigoma hailipi pela za kujikimu kwa waajiriwa wapya?

Wahusika kama mpo humu wasaidieni watumishi wenu hasa hiyo hospital ya Maweni Kigoma.
Ina ubabaishaji mwingi
Watu hawalipwi likizo na madai mengine Kwa wakati.
Wizara ya afya imulikeni hyo hospital inalalamikiwa na watumishi wengi wanaofanya KAZI hapo.
Kuna vingunge hapo wanafanya KAZI Kwa mazoea.
Yaan mwanangu daah
 
Wahusika kama mpo humu wasaidieni watumishi wenu hasa hiyo hospital ya Maweni Kigoma.
Ina ubabaishaji mwingi
Watu hawalipwi likizo na madai mengine Kwa wakati.
Wizara ya afya imulikeni hyo hospital inalalamikiwa na watumishi wengi wanaofanya KAZI hapo.
Kuna vingunge hapo wanafanya KAZI Kwa mazoea.
Kuna moja yupo kwene huu uzi kashashiba migebuka anajibu majibu yasiyo na weredi sijui ndio wazimu @mw
 
Lakini watumishi wa umma kuna wakati mnayumba sana yaani hamfahamu protocol ya kuwasilisha malalamiko yenu kwa wakubwa wenu wa kazi mpaka myalete mtandaoni ???.
Nashauri …
1. Serikali izingatie kwa umakini zaidi vetting ya wafanyakazi wake ikiwepo na mabosi wao wachujwe haswa kufahamu ufahamu wao.
2.Induction course iwe ni ya lazima kila staff mpya anapoajiliwa
3.Viongozi watimize wajibu wao haraka pasi na kusukumwa
 
Lakini watumishi wa umma kuna wakati mnayumba sana yaani hamfahamu protocol ya kuwasilisha malalamiko yenu kwa wakubwa wenu wa kazi mpaka myalete mtandaoni ???.
Nashauri …
1. Serikali izingatie kwa umakini zaidi vetting ya wafanyakazi wake ikiwepo na mabosi wao wachujwe haswa kufahamu ufahamu wao.
2.Induction course iwe ni ya lazima kila staff mpya anapoajiliwa
3.Viongozi watimize wajibu wao haraka pasi na kusukumwa
hiyo induction hela za semina wanazo
 
Lakini watumishi wa umma kuna wakati mnayumba sana yaani hamfahamu protocol ya kuwasilisha malalamiko yenu kwa wakubwa wenu wa kazi mpaka myalete mtandaoni ???.
Nashauri …
1. Serikali izingatie kwa umakini zaidi vetting ya wafanyakazi wake ikiwepo na mabosi wao wachujwe haswa kufahamu ufahamu wao.
2.Induction course iwe ni ya lazima kila staff mpya anapoajiliwa
3.Viongozi watimize wajibu wao haraka pasi na kusukumwa
Mambo yangekua yanaenda huu mtandao usingekua una uzi hata mmoja.
Nadhani jielimishe kidogo kazi ya mitandao na vyombo vya habar
 
Mtalipwa. Kumbukeni waajiri wengi wamepewa staff wengi. RRH inatoa wapi 100 M ya fasta ya kuwalipa hela ya kujikimu. Endeleeni kutumia mshahara tutalipa kidogo kidogo as tunakusanya
 
Mtalipwa. Kumbukeni waajiri wengi wamepewa staff wengi. RRH inatoa wapi 100 M ya fasta ya kuwalipa hela ya kujikimu. Endeleeni kutumia mshahara tutalipa kidogo kidogo as tunakusanya
Swali Gumu Majibu marahisi
Basi sasa si wangebaki nyumban hadi mtu alipwe ndo aingie kazini??
 
Mtalipwa. Kumbukeni waajiri wengi wamepewa staff wengi. RRH inatoa wapi 100 M ya fasta ya kuwalipa hela ya kujikimu. Endeleeni kutumia mshahara tutalipa kidogo kidogo as tunakusanya
KWAMBA MAWENI TU ndo imepangiwa watumishi wengi kuliko uwezo wake??
Hizo sehemu nyingine pesa wametoa wap??
Mi najua kigoma haikua na nafasi nyingi kiivo
 
Back
Top Bottom