Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ndio maana nilisema kafie mbele na ajira zenu za mcho😂😂😂😂Interview umeshindwa unataka ajira za bure!
Serikali haiwezi ajiri vilaza
Lia tu bro
nilie kwa sababu ya laki tano na sabini 😂😂😂 au laki saba na themanini??....huko nimevuka mdogo wangu kwa sasa napigania kupata mradi wa kudumu na makazi ya kudumu, hiyo interview yenyewe sikuweza kuingia kwa sababu niliishakuwa black listed toka enzi za magufuri.....😂😂😂😂Interview umeshindwa unataka ajira za bure!
Serikali haiwezi ajiri vilaza
Lia tu bro
Ila cha ajabu jamaa wapo wanalipana posho tu kila siku.hiyo induction hela za semina wanazo
Hapo kwa Bella jioni kunakuwa na migebuka tele na loweWatakuja Kukanusha Yote Haya Hivi Yule Waziri Wa Kugalagala Akimshukuru SSH
Ajutahidi Walipwe Pesa, Watu Wamechoka Kula Migebuka Na Mikate Hapo Kwa Bella
ndo mambo ninayo kataa yaan upelekwe polini upate tabu ya kimazingira na upate tabu ya stahikiWakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu. Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.
Ndo kusema ukiwa Kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.
AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.
View attachment 3199813
Hiyo hao kawaida sana !Ila cha ajabu jamaa wapo wanalipana posho tu kila siku.
..........Kazi za serikalini sometimes za hovyo sana.
sasa mbona mkuu una hasira na hawa ajira mpya kumbe naww ni vyeti fekina ndio maana nilisema kafie mbele na ajira zenu za mcho
nilie kwa sababu ya laki tano na sabini 😂😂😂 au laki saba na themanini??....huko nimevuka mdogo wangu kwa sasa napigania kupata mradi wa kudumu na makazi ya kudumu, hiyo interview yenyewe sikuweza kuingia kwa sababu niliishakuwa black listed toka enzi za magufuri.....
kuwa black listed sio mpaka uwe ni vyeti feki,sasa mbona mkuu una hasira na hawa ajira mpya kumbe naww ni vyeti feki
Kumbe mkurugenzi sijui RMO upo??Mtalipwa. Kumbukeni waajiri wengi wamepewa staff wengi. RRH inatoa wapi 100 M ya fasta ya kuwalipa hela ya kujikimu. Endeleeni kutumia mshahara tutalipa kidogo kidogo as tunakusanya
ulikua fisadi , Mtumishi hewa,Urasimu au ndo nyinyi mlikua mnaipa serikali hasarakuwa black listed sio mpaka uwe ni vyeti feki,
fuatilia thread zangu hapa jamii foru m nilizoziandika hapo nyuma utafahamu mimi ni naniulikua fisadi , Mtumishi hewa,Urasimu au ndo nyinyi mlikua mnaipa serikali hasara
Wambie wavae nguo za CCMWakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu. Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.
Ndo kusema ukiwa Kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.
AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.
View attachment 3199813
ishu ww si nani ishu ni kua kuna sababu ya msingi ya kua blacklistedfuatilia thread zangu hapa jamii foru m nilizoziandika hapo nyuma utafahamu mimi ni nani
Kwan wamesema n chademaWambie wavae nguo za CCM
jiulize sasa? hiyo interview yenyewe pale saut nyegezi mwanza niliitiwa polisi........ishu ww si nani ishu ni kua kuna sababu ya msingi ya kua blacklisted
magufuri kashakwenda
team iliyopo ni ant magufuli kwann wasikutoe kwene hyo blacklist
😂😂😂we utakua mtu hatar kwene hili taifajiulize sasa? hiyo interview yenyewe pale saut nyegezi mwanza niliitiwa polisi........