sawa lakini hunaweza kuthibitisha hili?Ni kweli tupu kijana.
Hawa matajiri unaowaona mjini.
Ni dhulumati, matapeli , majambazi na wezi waliokubuhu.
Ila mbele ya jamii hujifanya wema.
Na wakishafanikiwa huwa karibu mno na jamii, watawekeza kwenye biashara halali na watakua karibu na viongozi wa dini ila ni washirikina na watu wabaya ajabu.
Ridhika na ulichonacho mkuu.Dah! Sasa mkuu tufanyeje
Hamna kitu.sawa lakini hunaweza kuthibitisha hili?
nishashudia bro zangu wanaanza hustle chini kabisa mbaka wanajipata unatak ni amini ni majambazi au wachawi ka unavyosema
pesa halali zipo ni kupambana tu
Niliajiriwa miaka ya nyuma kwenye Kampuni ya Mhindi nilikaa kama miaka miwili hivi....then akaajiriwa dogo mmoja hivi.Watu wanauza magendo sana mkuu.
Wizi na ujambazi.
Hawa ndio usiwaamini kabisa....sio wote lakini.sawa lakini hunaweza kuthibitisha hili?
nishashudia bro zangu wanaanza hustle chini kabisa mbaka wanajipata unatak ni amini ni majambazi au wachawi ka unavyosema
pesa halali zipo ni kupambana tu
unahisi pesa zinapatikana kwa kulipwa mishahara tuHamna kitu.
Acha kutudanganya hapa.
Watu ni matajiri na majina yao hapa mjini ila walikua majambazi na wezi wakubwa.Niliajiriwa miaka ya nyuma kwenye Kampuni ya Mhindi nilikaa kama miaka miwili hivi....then akaajiriwa dogo mmoja hivi.
Aisee baada ya Mwaka mmoja dogo akajenga nyumba. A akanunua na gari.
Ndani ya mwaka huo huo dogo akawekewa mtego.....kumbe alikuwa anapiga hela za ofisi alikamatwa na Dola elfu 8 zikiwa kwenye begi akiwa border anasafiri asepe.
Sisi tulijifanya waadilifu tuliambulia hela ya mboga tu.
Ni kweli wanaanzia mwanzo ila wanaika kama boom.Hamna kitu.
Acha kutudanganya hapa.
Mkuu unakunbuka Miaka ya Nyuma hapa Tajiri Mmoja anaitwa Masanja Mkandamizaji alisema mabilion yake kayapata kwenye Kilimo cha Mahindi na Mpunga huko Mbeya.unahisi pesa zinapatikana kwa kulipwa mishahara tu
watu wanapambana wengine kwenye kilimo wengine kwenye biashara na wengine kwenye migodi na wanajipata wananunua na range na izo v8
Na bado wanaendelea sio kwamba waliacha.Watu ni matajiri na majina yao hapa mjini ila walikua majambazi na wezi wakubwa.
Hawaachi mkuu.Na bado wanaendelea sio kwamba waliacha.
Bro, kwenye karatasi za mafanikio, kuna baadhi ya mistari huwa haisomwi kwa sautisawa lakini hunaweza kuthibitisha hili?
nishashudia bro zangu wanaanza hustle chini kabisa mbaka wanajipata unatak ni amini ni majambazi au wachawi ka unavyosema
pesa halali zipo ni kupambana tu
Misikitini na makanisani wanajitoa sana.Hawaachi mkuu.
Ila in public wanatuzuga sana.
Ingawa wakishafanikiwa zile pesa za wizi wanafanyia biashara halali.
Na wanasaidia sana jamii, na wapo karibu mno na maswala ya dini zetu hizi ila ni wanyama na wahalifu wa viwango vya juu.
Mkuu mbona una hasira hivi.....saidi mawazo na wenzako watoboe sio kuja kutukanaAkili ya masikini Pumbavu
subiria mshahara wako wa afisa daraja la II mpaka siku ya kustaafu halafu ukafie mbele huko
Huna mchang wowote kwenye jamii zaidi ya kuomba rushwa
Issue kama hizi nimezikuta UgandaNi kweli tupu kijana.
Hawa matajiri unaowaona mjini.
Ni dhulumati, matapeli , majambazi na wezi waliokubuhu.
Ila mbele ya jamii hujifanya wema.
Na wakishafanikiwa huwa karibu mno na jamii, watawekeza kwenye biashara halali na watakua karibu na viongozi wa dini ila ni washirikina na watu wabaya ajabu.
Acha utapeli hakuna Mganga anayetoa utajiri wakati yeye mwenyewe amechokaa kachakaa.Mm niliendaa Kwa mtaalamu akanisafisha nyotaa nilikuwa Sina hata ndoto yakumiliki baiskel ilaa now angalau kinaelewekaaa..
HahaaKuridhika mkuu.
Kila nikiwaza nikomae sana naona ah.., yanini? Wakati hapa nilipo mbona freshi tuu maisha yanasonga mdogo mdogo?
Basi ndio tu nabaki hapo hapo.
Mkuu, ni bora kutokuchangia kuliko kuja na porojo za kukatisha watu tamaa bila ushahidiMkuu mbona una hasira hivi.....saidi mawazo na wenzako watoboe sio kuja kutukana
Kwenye hili mimi sina upinzani kabisa, its very true....anayepinga ujue hajawahi kutafuta pesaNdivyo ilivyo mkuu.
Matajiri wengi vyanzo vya utajiri wao ni wizi, dhuluma, ujambazi na mauaji.
Usidanganywe.