Kwanini hujatoboa mpaka leo?

Hio inaitwa kibali ni ishu za nyota.
Pana watu wanaanza na mkweche mkangafu wanaungana Leo wanamiliki mabus wakati we unaagiza bus Dubai miezi sita TU juu ya mawe.
Ishu ni mipangilio ya Mungu au shetani au game of chance au timing
 
Mtu mwenye hela eidha halali au haramu mwogope mwangalie kwa jicho la pekee hilo ni suala la kukubalika
 
Kutoboa ni Siri ya mtu husika ila akipenda akupe maarifa basi muheshimu maisha yote tatizo linalikuja ni baada ya mtu kufanikiwa anaanza kumpaka tope aliyemuonyesha njia hii ndio unafanya watu wasitoe code za tobo baada ya hapo wanaanza pewa majina ya ajabu mara jambazi, mchawi na mengine mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…