Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio kwamba kila anayetoboa ni Mwizi au jambazi hapana. Ila ndio wengi.....wewe kama unakataa huu ukweli basi Hutokaa upate utajiri endelea kujitafuta mdogo mdogo.Mkuu, ni bora kutokuchangia kuliko kuja na porojo za kukatisha watu tamaa bila ushahidi
Nimemzimisha ili watu wenye mchanga chanya walete miongozo, maana hizo porojo zake zinaweza kuuteka uzi wote ukapoteza maana
Utajiri ni vita... Hakuna anayeweka siri za vita mbele ya AduiUtajiri ni siri.
Utajiri na mafanikio ni siri.kuna siri kubwa sana kwenye pesa
ExactlyUtajiri ni vita... Hakuna anayeweka siri za vita mbele ya Adui
Na hiyo hawatwambii matajiri kwa sababu kama ni kufanya kazi na ku hustle watu wengi wanafanyaUtajiri na mafanikio ni siri.
Watu walishaenda kupikwa wiki nzima kwenye pipa huko we unaona wanatoboa tu. 😂Bro, kwenye karatasi za mafanikio, kuna baadhi ya mistari huwa haisomwi kwa sauti
Ndugu yako hawezi kukueleza kila kitu
Mtu anayejihusisha na biashara ya mgodinii 99.99% anajihusisha na ushirikina pia.unahisi pesa zinapatikana kwa kulipwa mishahara tu
watu wanapambana wengine kwenye kilimo wengine kwenye biashara na wengine kwenye migodi na wanajipata wananunua na range na izo v8
Na hiyo hawatwambii matajiri kwa sababu kama ni kufanya kazi na ku hustle watu wengi wanafanya
Nilikwambia hiyo dhana ni very infectiousMkuu sio kwamba kila anayetoboa ni Mwizi au jambazi hapana. Ila ndio wengi.....wewe kama unakataa huu ukweli basi Hutokaa upate utajiri endelea kujitafuta mdogo mdogo.
Utajiri unakuja kwa njia nyingi. Hasi na chanya
Umeanza unataka kuliza watu sawa bwanaMm niliendaa Kwa mtaalamu akanisafisha nyotaa nilikuwa Sina hata ndoto yakumiliki baiskel ilaa now angalau kinaelewekaaa..
Kumbe wewe ni boya TuNiliajiriwa miaka ya nyuma kwenye Kampuni ya Mhindi nilikaa kama miaka miwili hivi....then akaajiriwa dogo mmoja hivi.
Aisee baada ya Mwaka mmoja dogo akajenga nyumba. A akanunua na gari.
Ndani ya mwaka huo huo dogo akawekewa mtego.....kumbe alikuwa anapiga hela za ofisi alikamatwa na Dola elfu 8 zikiwa kwenye begi akiwa border anasafiri asepe.
Sisi tulijifanya waadilifu tuliambulia hela ya mboga tu.
unahisi pesa zinapatikana kwa kulipwa mishahara tu
watu wanapambana wengine kwenye kilimo wengine kwenye biashara na wengine kwenye migodi na wanajipata wananunua na range na izo
Huu ndio ule ustarabu wako. Sawa Tajiri nipe ajiraKumbe wewe ni boya Tu
Hahaha njoo nikupe ajira ndg