Kwanini huwa inatokea unamuota mtu ambae umekwisha achana naye?

Kwanini huwa inatokea unamuota mtu ambae umekwisha achana naye?

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
713
Reaction score
1,745
Kuna watu ambao wanajikuta wakilala huwaota watu ambao waliwahi kuingia nao katika mahusiano lakini wakaachana.

✍️Zipo sababu nyingi sana lakini kupitia Makala hii utaenda kujifunza sababu kubwa 3 zinazopelekea hali ya namna hiyo.

1. Memories Reviews (marejereo ya kumbukumbu)☑️

👉🏿Ukiashaachana na mtu ambae wewe nayeye mna kumbukumbu za nyakati mlizokuwa Pamoja,

🧠kuna wakati ambapo akili huwa inafanya marejereo ya zile nyakati zoote mlizokuwa mkishiriki Pamoja.

Na mara nyingi nyakati hizi huwa ni zile nzuri ambazo kiukweli mlizifurahia sana wakati penzi lenu likiwa hai.

2. Spiritual Connection (muunganiko wa kiroho)☑️

👉🏿Hii mara nyingi huwahusu watu ambao, waliwahi kufanya sex na ile sex ikapelekea muunganiko wa nafsi (soul tie) kati ya mwanamke na mwanaume.

Mara nyingi watu ambao hii ndio sababu kuu ni rahisi mmoja kumuotea mwingine matukio yahusuyo Maisha yake,

mfano kupata ajali, kupata hasara na matukio hayo huwa yanatokea ukweli.

3. Kumfikiria mara kwa mara☑️

🧠Kwa kawaida, mwanadamu ana ubongo unaitwa “concious mind” na “subconcious mind” mara nyingi subconcios mind unafanya kazi 24/7

🤔Kwahiyo, ukimfikiria mtu mara nyingi, wakati umelala subconcious mind huwa inapitia mambo yoote ambayo uliyafikiria.

🛸Na mara nyingi huwa inatilia mkazo katika yale ambayo umeyafikiria Zaidi ya engine.

👉Mfano; mtu ambae amekuwa akifikiria kupokea zawadi Fulani baada ya kushinda, ni rahisi kuota tukio la utoaji wa zawadi.

👉Kwahiyo, kuna wakati ukimfikiria sana mtu taswira yake au ya matukio yanayomuhusu inakuijia usiku.

👉Swali; kama unamuota mtu ambae umeshaachana nae, kati ya hizo sababu tatu unadhani ni sababu gani inayokupelekea wewe kumuota?
 
Kuna watu ambao wanajikuta wakilala huwaota watu ambao waliwahi kuingia nao katika mahusiano lakini wakaachana.

✍️Zipo sababu nyingi sana lakini kupitia Makala hii utaenda kujifunza sababu kubwa 3 zinazopelekea hali ya namna hiyo.

1. Memories Reviews (marejereo ya kumbukumbu)☑️

👉🏿Ukiashaachana na mtu ambae wewe nayeye mna kumbukumbu za nyakati mlizokuwa Pamoja,

🧠kuna wakati ambapo akili huwa inafanya marejereo ya zile nyakati zoote mlizokuwa mkishiriki Pamoja.

Na mara nyingi nyakati hizi huwa ni zile nzuri ambazo kiukweli mlizifurahia sana wakati penzi lenu likiwa hai.

2. Spiritual Connection (muunganiko wa kiroho)☑️

👉🏿Hii mara nyingi huwahusu watu ambao, waliwahi kufanya sex na ile sex ikapelekea muunganiko wa nafsi (soul tie) kati ya mwanamke na mwanaume.

Mara nyingi watu ambao hii ndio sababu kuu ni rahisi mmoja kumuotea mwingine matukio yahusuyo Maisha yake,

mfano kupata ajali, kupata hasara na matukio hayo huwa yanatokea ukweli.

3. Kumfikiria mara kwa mara☑️

🧠Kwa kawaida, mwanadamu ana ubongo unaitwa “concious mind” na “subconcious mind” mara nyingi subconcios mind unafanya kazi 24/7

🤔Kwahiyo, ukimfikiria mtu mara nyingi, wakati umelala subconcious mind huwa inapitia mambo yoote ambayo uliyafikiria.

🛸Na mara nyingi huwa inatilia mkazo katika yale ambayo umeyafikiria Zaidi ya engine.

👉Mfano; mtu ambae amekuwa akifikiria kupokea zawadi Fulani baada ya kushinda, ni rahisi kuota tukio la utoaji wa zawadi.

👉Kwahiyo, kuna wakati ukimfikiria sana mtu taswira yake au ya matukio yanayomuhusu inakuijia usiku.

👉Swali; kama unamuota mtu ambae umeshaachana nae, kati ya hizo sababu tatu unadhani ni sababu gani inayokupelekea wewe kumuota?
Wewe ni bure kabsa
 
navyomuota ex wangu na wakat keshaolewa na mie nimeoa na imepita zaidi ya miaka 10....sijui aliniachia nin yule mwanamke...huenda huko akhera tukaoana tena labda..
 
Imenitokea jana tu,nilikuwa naota tumekaa darasani kwenye madawati najamaa yangu,akataja jina fulani ( la ex wife). Nikamwambia haa fulani? Watu wenye jina hilo ( nikalitaja) nawapenda sana.
Baada ya kutamka hivyo kuna mwanamke akageuka akatabasamu ( my -ex wife).
Mara ukapigwa wimbo mzuri sana nikawa nacheza, nikamuuliza rafiki yangu huu wimbo kaimba nani , akasema hajui.
X- WIFE akaja na karatasi akaniandikia john legend. Mara nikashtuka kutoka usingizini, hiyo alifajiri ikabidi nitafute wimbo ambao kiitikio nilisikia ndotoni, kweli ukaja wimbo wa john legend.
Nimejiuliza au narogwaa usiku?
 
navyomuota ex wangu na wakat keshaolewa na mie nimeoa na imepita zaidi ya miaka 10....sijui aliniachia nin yule mwanamke...huenda huko akhera tukaoana tena labda..
Mi miaka 17 .na kwa kweli simpendi na aliniacha mwenyewe. Hanilogi kweli
 
Kuna watu ambao wanajikuta wakilala huwaota watu ambao waliwahi kuingia nao katika mahusiano lakini wakaachana.

✍️Zipo sababu nyingi sana lakini kupitia Makala hii utaenda kujifunza sababu kubwa 3 zinazopelekea hali ya namna hiyo.

1. Memories Reviews (marejereo ya kumbukumbu)☑️

👉🏿Ukiashaachana na mtu ambae wewe nayeye mna kumbukumbu za nyakati mlizokuwa Pamoja,

🧠kuna wakati ambapo akili huwa inafanya marejereo ya zile nyakati zoote mlizokuwa mkishiriki Pamoja.

Na mara nyingi nyakati hizi huwa ni zile nzuri ambazo kiukweli mlizifurahia sana wakati penzi lenu likiwa hai.

2. Spiritual Connection (muunganiko wa kiroho)☑️

👉🏿Hii mara nyingi huwahusu watu ambao, waliwahi kufanya sex na ile sex ikapelekea muunganiko wa nafsi (soul tie) kati ya mwanamke na mwanaume.

Mara nyingi watu ambao hii ndio sababu kuu ni rahisi mmoja kumuotea mwingine matukio yahusuyo Maisha yake,

mfano kupata ajali, kupata hasara na matukio hayo huwa yanatokea ukweli.

3. Kumfikiria mara kwa mara☑️

🧠Kwa kawaida, mwanadamu ana ubongo unaitwa “concious mind” na “subconcious mind” mara nyingi subconcios mind unafanya kazi 24/7

🤔Kwahiyo, ukimfikiria mtu mara nyingi, wakati umelala subconcious mind huwa inapitia mambo yoote ambayo uliyafikiria.

🛸Na mara nyingi huwa inatilia mkazo katika yale ambayo umeyafikiria Zaidi ya engine.

👉Mfano; mtu ambae amekuwa akifikiria kupokea zawadi Fulani baada ya kushinda, ni rahisi kuota tukio la utoaji wa zawadi.

👉Kwahiyo, kuna wakati ukimfikiria sana mtu taswira yake au ya matukio yanayomuhusu inakuijia usiku.

👉Swali; kama unamuota mtu ambae umeshaachana nae, kati ya hizo sababu tatu unadhani ni sababu gani inayokupelekea wewe kumuota?
Ni kwa sababu naye anakuota....spirit zenu zinatembeleana
 
Na leo natafuta wapya wa kuachana nao leo
Unajua lengo lakuanzishwa huu mtandao nikuijenga jamii sahii,inayo jitambua nakuamka katika mfumo kandamizi..ambao wakwanza ni kubadili fikra Hasi kua chanya.
Nadhani lengo lapili nikuhakikisha kwaumoja wetu tunapambania haki zetu zamsingi hapa dunia..moja wapo ikiwa ni utawala BORA👈
Sasa unavo fanya masihara kiasi hiki hawa watoto wa elfu2 wanajifunza nini kupitia kwako?????????
 
Back
Top Bottom