Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zama zetu kupata taarifa kama hii ilikuwa ni kama haiwezekani kabisa, Lakini Kwa Sasa swali kama hili halistahili kuulizwa!!Mchina katawaliwa lini na mzungu?
Weka hiyo linkZama zetu kupata taarifa kama hii ilikuwa ni kama haiwezekani kabisa, Lakini Kwa Sasa swali kama hili halistahili kuulizwa!!
Nenda kagugo!!
OK tuseme hii ni kweli usemavyo, swali ni je baada ya miaka mingapi sasa ndiyo tutaachana na hizi lawama? Mbona tuliopata nao uhuru huko Asia na America kusini wametoboa?Kwa sababu ni kweli!!….
Dhana nzima ipo kwene ukoloni mamboleo! Ni rahis sana mtu kubeza hili kama hajui ukoloni mambo leo!!….
-Usione kuna mapinduzi ya kijeshi ( fatilia utakuta aliyepindua alipata mafunzo USA, sijui Europe-Je bado una hisi ni coincedence)
-Mikataba mibovu isiyo na masilahi-(Economic Hitman)
-Madikteta wa muda mrefu ambao wanasave maslah ya wazungu ( kwa kigezo cha kuachwa madarakani muda mrefu)
-kuuliwa kwa viongozi wenye maono na watetezi wa raia wa nchi zao ie Patric Lumumba,Thomas sankara etc
-Kutumia organization kubwa kucontrol uchumi ie IMF,World bank
-Mikopo yenye mashart magumu ie IMF nk
INGAWA KUNA PART AMBAYO VIONGOZI WETU NAO WANAHUSIKA,,, lakin pia na jamaa wametukalia pabaya
Hii hoja ya nchi za Magharibi ni kichaka cha wanasiasa Wa Afrika wanachojifichia kukwepa wajibu wa wao kuidumaza Afrika kimaendeleo.Dhana nzima ya waafrika kudumaa katika kuleta maendeleo kunaenda sambamba na kuendelea kuwa tegemezi kwa mataifa ya magharibi na Marekani.
Misaada au ufadhili tunaopata Africa ni sumu na ndio sababu kubwa inavyofanya tuendelee kudumaa.
Wahindi wachina walitawaliwa kulimwili tu sisi tumetawaliwa kimwili , kifikra na kiimani.Victim hood mindset kutafuta sehemu ya kutupia lawama.
Waafrika adui yetu ni uvivu, ulalamikaji, ulafi na umimi hasa ukabila
Hata wachina na wahindi waliwahi kutawaliwa na wazungu, Leo wahindi ndio kundi linaloongoza kwa kuwa na jamii yenye familia zenye kipato cha juu zaidi Marekani, Wachina wameipigisha nchi yao hatua kwa spidi ya radi
Ni kwa sababu hatuna viongozi wenye uwezo wa kuongoza!Mpaka Leo Bado Kwa sehemu kubwa wanasiasa wetu wanaonesha kwa maneno na matendo yao kuwa wazungu ndiyo ama wanasababisha tusiendelee au wao ndiyo walisababisha tusiendelee.
Kwa nini tunaamini hivyo??
Niger coup ni jibu.Mpaka Leo Bado Kwa sehemu kubwa wanasiasa wetu wanaonesha kwa maneno na matendo yao kuwa wazungu ndiyo ama wanasababisha tusiendelee au wao ndiyo walisababisha tusiendelee.
Kwa nini tunaamini hivyo??