Kwanini Ibada ya Eid maeneo mengi Tanzania imefanyika nje ya nyumba za Ibada?Kiimani kuna Sehemu tumekiuka masharti ya dini au inaruhusiwa

Kwanini Ibada ya Eid maeneo mengi Tanzania imefanyika nje ya nyumba za Ibada?Kiimani kuna Sehemu tumekiuka masharti ya dini au inaruhusiwa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Dini ya kiislam inatoa mwongozo wa kila jambo linalohusu ibada na hata maisha binafsi ya muumini wa dini hiyo.

Nimeona ibada ya Eid ikifanyika maeneo ya wazi kama viwanja vya mpira na maeneo mengine kama haya. Mimi kama great thinker kazi yangu nikuibua mada kwa lengo la kubadilishana uzoefu, uelewa na kupeana elimu.

Nakuja kwenu nikihoji ibada hii takatifu kufanyika nje ya nyumba za ibada ni sahihi?

Ibada hii kuongozwa zaidi na viongozi wa kisiasa na kutoa hotuba hata katika maeneo ambayo siyo ya hotuba ni sawa?

Niliosoma dini zungumze na adhara hii mkitufunda tusiwe tukawa tunakosea lakini tu kwa sababu kuna kiongozi wa kisiasa tukashindwa kukemea.

Tupo tayari kuelimika
 
Dini ya kiislam inatoa mwongozo wa kila jambo linalohusu ibada na hata maisha binafsi ya muumini wa dini hiyo.

Nimeona ibada ya Eid ikifanyika maeneo ya wazi kama viwanja vya mpira na maeneo mengine kama haya. Mimi kama great thinker kazi yangu nikuibua mada kwa lengo la kubadilishana uzoefu, uelewa na kupeana elimu.

Nakuja kwenu nikihoji ibada hii takatifu kufanyika nje ya nyumba za ibada ni sahihi?

Ibada hii kuongozwa zaidi na viongozi wa kisiasa na kutoa hotuba hata katika maeneo ambayo siyo ya hotuba ni sawa?

Niliosoma dini zungumze na adhara hii mkitufunda tusiwe tukawa tunakosea lakini tu kwa sababu kuna kiongozi wa kisiasa tukashindwa kukemea.

Tupo tayari kuelimika
Mtume ametutaka tunapoenda eidel tuchukue familia yetu yote na wajane na wazee na vizuri kuswaliwa sehemu ya wazi
 
Dini ya kiislam inatoa mwongozo wa kila jambo linalohusu ibada na hata maisha binafsi ya muumini wa dini hiyo.

Nimeona ibada ya Eid ikifanyika maeneo ya wazi kama viwanja vya mpira na maeneo mengine kama haya. Mimi kama great thinker kazi yangu nikuibua mada kwa lengo la kubadilishana uzoefu, uelewa na kupeana elimu.

Nakuja kwenu nikihoji ibada hii takatifu kufanyika nje ya nyumba za ibada ni sahihi?

Ibada hii kuongozwa zaidi na viongozi wa kisiasa na kutoa hotuba hata katika maeneo ambayo siyo ya hotuba ni sawa?

Niliosoma dini zungumze na adhara hii mkitufunda tusiwe tukawa tunakosea lakini tu kwa sababu kuna kiongozi wa kisiasa tukashindwa kukemea.

Tupo tayari kuelimika
Inaruhusiwa
 
Dini ya kiislam inatoa mwongozo wa kila jambo linalohusu ibada na hata maisha binafsi ya muumini wa dini hiyo.

Nimeona ibada ya Eid ikifanyika maeneo ya wazi kama viwanja vya mpira na maeneo mengine kama haya. Mimi kama great thinker kazi yangu nikuibua mada kwa lengo la kubadilishana uzoefu, uelewa na kupeana elimu.

Nakuja kwenu nikihoji ibada hii takatifu kufanyika nje ya nyumba za ibada ni sahihi?

Ibada hii kuongozwa zaidi na viongozi wa kisiasa na kutoa hotuba hata katika maeneo ambayo siyo ya hotuba ni sawa?

Niliosoma dini zungumze na adhara hii mkitufunda tusiwe tukawa tunakosea lakini tu kwa sababu kuna kiongozi wa kisiasa tukashindwa kukemea.

Tupo tayari kuelimika
Unajua haya mapokeo yana changamoto sana, hasa umkute muumini asiyejua kuhoji/kujihoji. Yeye ni kuamini tu. Utakuta siku ya Eid huko Arabuni wakati huo walikiwa wakiswalia tu msikitini. By coincidence siku ya Eid ikaangukia siku msikiti unafanyiwa ukarabati, basi ibada ikafanyikia nje. Sasa kwa kutojua, wafuasi wakalibeba wakidhani ni utaratibu. Na sasa umeshazoeleka. Ni mawazo yangu
 
Back
Top Bottom