Kwanini iitwe Tanganyika law society na sio Tanzania law society?

Kumbuka hiki chama mpaka sasa 2024 kina umri wa miaka 70, Muungano haujafika umri huo. Kwahiyo kilianzishwa kipindi cha TANGANYIKA!
 
Kumbuka hiki chama mpaka sasa 2024 kina umri wa miaka 70, Muungano haujafika umri huo. Kwahiyo kilianzishwa kipindi cha TANGANYIKA!
Hata Tanganyika nchi ilimpata uhuru kabla ya muungano, baada ya muungano ilibadilika na kuwa Tanzania.
Msingi wa SWALI langu ni huu...Fatuma Karume anatokea Zanzibar ni mwanachama na ALIWAHI kuwa mwenyekiti wa TLS...na hapo juu nimeambiwa Zanzibar pia ipo society kama hii...Sasa hainingii akilini why iitwe Tanganyika na sio Tanzania...
Je katika Zanzibar law society mtu kutoka Bara anaweza kuwa president??
Je Ili uwe kiongozi wa TLS ni LAZMA uwe na ubishani na serikali na ndo mana bi Fatma alishinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…