Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Nyerere mbona ana sanamu yake Arusha? Au nyinyi mnapinga tu! Bila kufanya utafiti!Hii nchi ina mambo ya ajabu sana... Pata picha kila rais mstaafu au mwendazake akijengewa sanamu? Hivi Nyerere hastahili sanamu?
Mkapa alishakufa, tena Sanamu lake linatakiwa litangulie kabla la MagufuliHao uliotaja hawajafa bado.. kizazi cha sasa ukifa ndipo unakuwa lulu
Magufuli ana out standing ya kuteka na kuua,je mnamjengea sanamj kwaajilj ya hiyo?Ulishawahi kujiuliza kwa nini huwa kuna maazimisho ya waziri mkuu Moringe Sokoine tu?
Ili ukumbukwe lazima uwe na outstanding performance
Ina thamani ganiNyerere mbona ana sanamu yake Arusha? Au nyinyi mnapinga tu! Bila kufanya utafiti!
Nyerere si alishajengwa na MaguHii nchi ina mambo ya ajabu sana... Pata picha kila rais mstaafu au mwendazake akijengewa sanamu? Hivi Nyerere hastahili sanamu?
Wote Mwinyi, Kikwete na Hayati Mkapa walipewa Nyumba na hii iko kisheria sio hisani!Mwinyi kapewa gari, Kikwete - nyumba, Mkapa - tausi, Magufuli - sanamu
No Nyerere alijengewa na Kigwangallah!Nyerere si alishajengwa na Magu
Mkapa IPO Wapi?Nyerere mbona ana sanamu yake Arusha? Au nyinyi mnapinga tu! Bila kufanya utafiti!
Tena alishirikiana na KIGWANGALANyerere si alishajengwa na Magu
Maadhimisho ya kumbukizi ya Hayati Moringe huwa yanafanywa na SUA tu sio Kitaifa...lakini pia huwa kuna Nyerere day na Karume day pia!Ulishawahi kujiuliza kwa nini huwa kuna maazimisho ya waziri mkuu Moringe Sokoine tu?
Ili ukumbukwe lazima uwe na outstanding performance