Kwanini Imani/dini zimejengwa katika misingi ya Ahadi na Vitisho..?

Kwanini Imani/dini zimejengwa katika misingi ya Ahadi na Vitisho..?

Hebu fikiria, Mungu mwemye uwezo wa ajabu, aandae moto wa kuchoma watu wake!!! Hapo utajua tu ni tishio ili upokee imani yao na kuacha imami yako. Wasiokuwa na maono ndio walioacha jadi yao na kufuata ya kizungu. Ujue kwamba DNA yako inaendana na mababu zako na sio Wayahudi. Tuwaachie wayahudi dini yao, tufuate imani yetu ya jadi.
 
Pamoja na kutishwa kote huko bado wazinzi kibao na hata wenye elimu zao na wameapishwa kwa vitabu ili kutuongoza ila wanaiba kweli kweli

Sasa bila vitisho hawa si wangetuchinja kabisa
 
Back
Top Bottom