chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nashangaa,nchi zote zinazopakana na sisi zimepewa msaada wa haraka na benki ya dunia,IMF,na kuweka kidonda chumvi. Trump kaongea na marais wa nchi tunazopakana nazo na kuahidi misaada kedekede.
Je ule utani wa kuwaita mabeberu wao walijua tunawachukia?sisi watanzania ni watu wa utani kimakabila na ndio asili yetu,japo sijui kwamba kabila gani linautani nao au kama nchi ndio tuna utani nao.
Naomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,
Watupe na sisi kamsaada
Je ule utani wa kuwaita mabeberu wao walijua tunawachukia?sisi watanzania ni watu wa utani kimakabila na ndio asili yetu,japo sijui kwamba kabila gani linautani nao au kama nchi ndio tuna utani nao.
Naomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,
Watupe na sisi kamsaada