Kwanini IMF na Benki ya Dunia wameitenga Tanzania katika mgao wa fedha za Corona? Au ule utani kwamba sisi matajiri, wao wametuibia, uliwachukiza?

Kwanini IMF na Benki ya Dunia wameitenga Tanzania katika mgao wa fedha za Corona? Au ule utani kwamba sisi matajiri, wao wametuibia, uliwachukiza?

Nashangaa,nchi zote zinazopakana na sisi zimepewa msaada wa haraka na benki ya dunia,IMF,na kuweka kidonda chumvi. Trump kaongea na marais wa nchi tunazopakana nazo na kuahidi misaada kedekede.

Je ule utani wa kuwaita mabeberu wao walijua tunawachukia?sisi watanzania ni watu wa utani kimakabila na ndio asili yetu,japo sijui kwamba kabila gani linautani nao au kama nchi ndio tuna utani nao.

Naomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,

Watupe na sisi kamsaada
Kwanza, huo sio mgao ni mkopo. Pili, inawezekana Tanzania haikuomba. Tatu, inawezekana tuliomba lakini kwa vigezo tumeonekana sisi tuna afadhali kuliko hao wengine. Nne, kupigiwa simu na Trump? What for kama kwake Corona imemshinda na sasa hivi Uongozi wa Serikali yake unafikiria kumzuia kabisa asiongee lolote kuhusu Corona!?
 
Kwanza, huo sio mgao ni mkopo. Pili, inawezekana Tanzania haikuomba. Tatu, inawezekana tuliomba lakini kwa vigezo tumeonekana sisi tuna afadhali kuliko hao wengine. Nne, kupigiwa simu na Trump? What for kama kwake Corona imemshinda na sasa hivi Uongozi wa Serikali yake unafikiria kumzuia kabisa asiongee lolote kuhusu Corona!?

Kuna watu wajinga wanafikili hizo nchi zimepata bingo, hakuna kitu cha bure katika hizo pesa, zingekuwa za bure hata hapa kwetu tungeongeza namba za wagonjwa na vifo ili tupate kwani tungekuwa na hasara gani kuongeza namba tu, hata wanaokufa kwa ajari tungeongeza ili namba iwe kubwa, watu wafikiri kabla ya ushabiki.
 
Kuna watu wajinga wanafikili hizo nchi zimepata bingo, hakuna kitu cha bure katika hizo pesa, zingekuwa za bure hata hapa kwetu tungeongeza namba za wagonjwa na vifo ili tupate kwani tungekuwa na hasara gani kuongeza namba tu, hata wanaokufa kwa ajari tungeongeza ili namba iwe kubwa, watu wafikiri kabla ya ushabiki.
Upeo wao umefikia hapo. Na hao ndio wale walipokuwa vyuo vikuu walikuwa wanafoji taarifa Bodi ya Mikopo wapate asilimia mia. Sasa kwenye kulipa wanalialia!
 
Ukiona Mabeberu yanakunyima msaada ujue umeyabinya makende

Tanzania, Venezuela i na iran tunanyanyasika sana mbele ya Mabeberu ila tutapindua meza kibabe
Ndio majibu tuliyokuwa tunayategemea toka kwako fala wewe
 
Back
Top Bottom