Wameituibia sana. Ukiuliza wakati unaibiwa wewe ulikuwa wapi?? Wakati alikuwemoNashangaa,nchi zote zinazopakana na sisi zimepewa msaada wa haraka na benki ya dunia,IMF,na kuweka kidonda chumvi. Trump kaongea na marais wa nchi tunazopakana nazo na kuahidi misaada kedekede.
Je ule utani wa kuwaita mabeberu wao walijua tunawachukia?sisi watanzania ni watu wa utani kimakabila na ndio asili yetu,japo sijui kwamba kabila gani linautani nao au kama nchi ndio tuna utani nao.
Naomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,
Watupe na sisi kamsaada
Mmezidisha siasa wanaogopa mkipewa pesa mtaenda kununua Midege kwa keshi mmje muwakoge wenzenuNaomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,
Mbona ule wa world bank alimtuma Hadi kabudi Kama alikua auhitajiMsaada!? Kutoka Word Bank na IMF?!!! Sio charity organisations zile. Ndio mambo Magufuli aliyoyakataa. Wanakupa mkopo wa harakaharaka halafu unafurahia eti umesaidiwa. Kama ni msaada wasamehe walizokupa maana kwao ndio ingekua rahisi zaidi
Hivi ARvs sio msaada ni mkopoMkuu ambacho nafikiri hujakielewa ni kwamba hao mabeberu hawatoi msaada bali wanatoa mkopo mwenye riba hata hizo nchi zilizopewa fedha huo ni mkopo ndugu Na sio msaada, sasa la msingi na kuangalia hapa ni je,tunahitaji huo mkopo sana hasa katika kipindi hiki Cha matatizo ya corona au ni bora tusipate huo mkopo ili kujiondoa katika utumwa wa kutumikia deni?
Na hata nafikiria mh. Magufuli aliwajibu kiaina na kwa akili sana hao jamaa kwa kuwaambia badala ya kutuongezea mkopo katika hiki kipindi kigumu ni bora wangeweza kusamehe baadhi ya madeni ili hizo hela wanazolipwa kila mwezi kama marejesho basi wazitumie katika mapambano haya.
Kwa mtazamo wangu naona hatuhitaji huo mkopo wa fedha katika kipindi hiki maana ni kujiongezea janga jingine baada ya kupita hii corona na janga lenyewe litakuwa ni utumwa wa kulipa mkopo ambao mabeberu wameubatiza jina la “MSAADA”.
Nikweli ule mkopo alikua anauhitaji sana ili kusukuma agenda fulani ya maendeleo na WB wakawa wanaleta vikwazo vingi.Mbona ule wa world bank alimtuma Hadi kabudi Kama alikua auhitaji
Hata wewe unapompa mwanamke hela hawez kukupangia, Bali we ndo unaompangiaNikweli ule mkopo alikua anauhitaji sana ili kusukuma agenda fulani ya maendeleo na WB wakawa wanaleta vikwazo vingi.
Na ndio hapo msingi wa shaka kuhusu mkopo huu wanaoitiwa unapojengeka. Kwamba kwa wema gani hao WB na IMF waliokua nao kwetu hadi watuite twende kukopa tena wenyewe wakiita msaada hyku kwa wakibembeleza?
You are missing the point. Mkopo wa elimu serikali ilikua inauhitaji ndio maana wame comply na hayo masharti ya mabeberu ya kua na njia mbadala kwa hao mabinti wenye viherehere mpaka wakawa wazazi wakiwa bado wanafunzi .Kwenye mkopo wa corona Magufuli amekataa pamoja na kwamba hao mabeberu walikua tayari kutoaHata wewe unapompa mwanamke hela hawez kukupangia, Bali we ndo unaompangia
Jiulize kwanin serekali ilisema tayari Ina njia mbadala kwa wanafunz waliopata mimba ndo ikapewa mkopo
Kama ilikua aihuitaji isingehangaika kutafuta njia mbadala
Kwa hiyo world bank na IMF ndo inayoipigia magoti Tanzania ama kweli Ujinga haujawah kutuacha salama waafrika
Narudia Tena huwez ipangia bank masharti nawakati wao ndo wanaokupa mkopo, lazima ufuate masharti yao mbona ni simple logicYou
You are missing the point. Mkopo wa elimu serikali ilikua inauhitaji ndio maana wame comply na hayo masharti ya mabeberu ya kua na njia mbadala kwa hao mabinti wenye viherehere mpaka wakawa wazazi wakiwa bado wanafunzi .Kwenye mkopo wa corona Magufuli amekataa pamoja na kwamba hao mabeberu walikua tayari kutoa
Logic yake ni kwamba kwanini kama hivyo vyombo vya mabeberu wanazipenda saana nchi zetu wasifute au kusimamisha ulipaji wa mikopo iliyokwishatolewa ili hela za marejesho nchi zitumie kujijengea uwezo wa kupambana na corona kwa kutumia mapato yao ya ndani. Kwanini WB na IMF wanadanganya ili kuzidi kuziingiza nchi masikini kwenye shimo la madeni zaidi? Hiyo ndio hoja ya Rais na mimi naiona ina mantiki
Nikweli ule mkopo alikua anauhitaji sana ili kusukuma agenda fulani ya maendeleo na WB wakawa wanaleta vikwazo vingi.
Na ndio hapo msingi wa shaka kuhusu mkopo huu wanaoitiwa unapojengeka. Kwamba kwa wema gani hao WB na IMF waliokua nao kwetu hadi watuite twende kukopa tena wenyewe wakiita msaada hyku kwa wakibembeleza?
And this is how they have always been strangling nations over the years. Wanakupa mkopo utumie katika sekta ambazo hazizalishi then utumie mapato yako kutoka kwenye vyanzo vingine kulipa deni. Unabaki mtumwa wa madeni miaka yoteNarudia Tena huwez ipangia bank masharti nawakati wao ndo wanaokupa mkopo, lazima ufuate masharti yao mbona ni simple logic
Taarifa za kweli za idadi ya wagonjwa na vifo ndiyo zitasaidia tupewe msaada.
Ukipika report hupewi msaada.
Mikopo ya biashara ipo nenda CRDB utapewa mkopo wa biashara kama unataka.M
Msaada huo ni bure au tutalipa? Kama ni bure sawa lakini kama si bure hauna maana,
Kama wana huruma na sisi watukopeshe pesa za mitaji kwa wafanya biashara wetu waongeze mitaji nchi ipate uchumi, lakini suo misaada ya magonjwa kisha kuna riba.
Tukiwa na pesa tutajitibu wenyewe.
Hizo ni hadithi.And this is how they have always been strangling nations over the years. Wanakupa mkopo utumie katika sekta ambazo hazizalishi then utumie mapato yako kutoka kwenye vyanzo vingine kulipa deni. Unabaki mtumwa wa madeni miaka yote
Kwenye hili wameshtukiwa. Walitaka kutumia corona kama chambo ili tuiume ndoano yao tuzidi kuzama kwenye madeni. Kwa taarifa yako katika mambo yaliyopelekea kuivamia Libya ni nia ya Marehemu Ghadafi kutaka kuiondoa Afrika kwenye utumwa huo wa madeni ya kinyonyaji. Kwenye hili la kukataa huo mkopo (eti wengine wanaita msaasa!!!) Magufuli alikua sahihi kabisa
Hatutaki watuongezee mzigo wa mabenki.Wakiweza wafute au watupunguzie madeni ili hela tulizokuwa tunalipa madeni tutumie kupambana na CoronaNashangaa,nchi zote zinazopakana na sisi zimepewa msaada wa haraka na benki ya dunia,IMF,na kuweka kidonda chumvi. Trump kaongea na marais wa nchi tunazopakana nazo na kuahidi misaada kedekede.
Je ule utani wa kuwaita mabeberu wao walijua tunawachukia?sisi watanzania ni watu wa utani kimakabila na ndio asili yetu,japo sijui kwamba kabila gani linautani nao au kama nchi ndio tuna utani nao.
Naomba waziri wa utamaduni awaambie,tunapotaja majina kama mabeberu,tumeibiwa sana,ni chachandu ya siasa za ndani tu jamani,
Watupe na sisi kamsaada