Kwanini inakuwa hivi?

Kwanini inakuwa hivi?

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Inakuwaje kataifa kadogo kama Israel kanakuwa na uchumi mkubwa. Ina maana sisi hatufanyi kazi
ISRAEL ECONOMY

chrome_screenshot_1651692739996.png
 
... kataifa kadogo ila kenye watu wenye maono, wanaojitambua kwa nini wako duniani, wanaotumia akili, wanaochapa kazi, wanaojiwekea malengo na kuyafikia bila visingizio, na wenye siasa zenye viongozi responsible and accountable. Hiyo ndio tofauti.
 
... kataifa kadogo ila kenye watu wenye maono, wanaojitambua kwa nini wako duniani, wanaotumia akili, wanaochapa kazi, wanaojiwekea malengo na kuyafikia bila visingizio, na wenye siasa zenye viongozi responsible and accountable. Hiyo ndio tofauti.
mkuu, unajua marekani anawapatia hao watu pesa na misaada ya kitaalamu kiasi gani kila mwaka?
 
Tatizo huku kwetu na Afrika kiujumla hatuna uongozi bora ni porojo tu na kuuana kulinda maslahi ya mabeberu wetu. Mfano hapa Tanzania, CCM imemuua Magufuli kisa alikuwa anatetea maslahi ya nchi, alifuta mikataba ya kijinga, alitumbua pia wafanyakazi washenzi, kwa kuona hivi wanaojidai wenye nchi wakaamua kumuua ili watetee maslahi ya mabeberu na yao wenyewe. Na sasa ule ujinga wote wa awamu ya 4 umerudi tena na mikataba ya kijinga ile iliyofutwa imerudishwa upya kuja kulitia taifa hasara.
 
mkuu, unajua marekani anawapatia hao watu pesa na misaada ya kitaalamu kiasi gani kila mwaka?
Marekani anatoa msaada ulimwenguni kote. Licha ya hivyo msaada hauwezi kukufikisha popote
 
Inakuwaje kataifa kadogo kama Israel kanakuwa na uchumi mkubwa. Ina maana sisi hatufanyi kazi
ISRAEL ECONOMY

View attachment 2211818
Hao jamaa wamewejeza kwenye akili na matokeo yake wamekua na uchumi mzuri, technology nzur,jeshi zuri na Kila kitu kizuri wanacho bongo wamewejeza kwenye siasa za udanganyifu matokeo yake Kuna Ufisadi,umasikini,njaa na Kila aina ya uovu.
 
mkuu, unajua marekani anawapatia hao watu pesa na misaada ya kitaalamu kiasi gani kila mwaka?
Sio kweli kwamba wanapewa msaada na USA ila tu jua matajili wengi USA Wana asili ya Israel na ndio walipa Kodi wakubwa huko hicho unachoona misaada ni mchango wao kwa Nchi yao
 
Ulisema kuwa US anaisaidia Israel, sasa mdau akakuuliza ni kwanini US aisaidie Israel zaidi kuliko Tanzania au Japan?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief. Issue ni kwamba Israel imeendelea zaidi ya Tanzania wakati wao ni ka Taifa kadogo, kwa kuongezea, ni kataifa kenye changamoto nyingi hasa ya kuwa kwenye continuous war toka kamezaliwa.

Mimi nimesema hayo maendeleo yao, kwa kuongezea na resilience waliyonayo katika changamoto zao zote ni kutokana na msaada wanaopewa na Marekani.

hiyo hoja ingine ni kama vile tuanze kujadili kwa nini Marekani aisaidie USA may be zaidi ya Tanzania, sioni kama hii inatuelekeza kwenye mjadala wa kama ni kweli msaada wa marekani ndio unawabeba au la.
 
mkuu, unajua marekani anawapatia hao watu pesa na misaada ya kitaalamu kiasi gani kila mwaka?
Kwani sisi tunapewa misaada ya kiasi gani kwa mwaka we unafikiri Israel anategemea misaada kwa maendeleo yake kama sisi!kwa hiyo marekani anampa tu hela hebu tupe sababu ya kumpa hela!!..usitufanye watoto
 
Chief. Issue ni kwamba Israel imeendelea zaidi ya Tanzania wakati wao ni ka Taifa kadogo, kwa kuongezea, ni kataifa kenye changamoto nyingi hasa ya kuwa kwenye continuous war toka kamezaliwa.

Mimi nimesema hayo maendeleo yao, kwa kuongezea na resilience waliyonayo katika changamoto zao zote ni kutokana na msaada wanaopewa na Marekani.

hiyo hoja ingine ni kama vile tuanze kujadili kwa nini Marekani aisaidie USA may be zaidi ya Tanzania, sioni kama hii inatuelekeza kwenye mjadala wa kama ni kweli msaada wa marekani ndio unawabeba au la.
Jamaa ninawakubali kuhusu uwezo wao wa akili. Kufinance viwanda na ubunifu. Pia nchi yao ni jangwa kabisa. Hawana mto, kisima, bwawa wala ziwa,inawabidi wachukue maji ya chumvi toka baharini kisha watoe chumvi kwenye desalination plants halafu watu wakitumia wanakusanya maji taka wanayarecycle kwa ajili ya kilimo. Ila wana maji ya kutosha kutumia mpaka kwenye umwagiliaji. Nchi yao ni jangwa kabisa hakuna mvua wala umande na wanalima na wanavuna sana. Na bado wanaendelea na utafiti wa kuboresha technology yao. Kiufupi wanasema technology waliyogundua ni ndogo mno na wanataka kuboresha zaidi



Ingekuwa bongo hela ya kujenga desalination plants watu wangezilamba zote na hakuna kitu kingefanyika. Au desalination plants zinafanya kazi kwa miezi 3 halafu wanazima kwa ajili ya matengenezo miezi 9 na maposho makubwa ya vikao wangekula . Hapo bado hatujazungumzia upigaji wa hela ya service ya mitambo na bado hawajaiba hela ya umwagiliaji kwenye kibbutz.
 
Back
Top Bottom