Kwanini Injinia alivaa nguo nyeupe kinyume na utamaduni wetu wa Yanga?

Kwanini Injinia alivaa nguo nyeupe kinyume na utamaduni wetu wa Yanga?

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
1692078667891.png
 
Huyu angeweza kuivaa kama nguo yake katika shughuli nyingine nje ya uwanja, tungemuelewa. Sasa unaenda uwanjani kuishangilia timu yako huku ukisisitiza mashabiki tununue jezi rasmi za timu, halafu wewe unakuja umevaa nguo yenye rangi ya wapinzani wetu, ni sawa hiyo kweli?

1692081541723.png
 
Back
Top Bottom