Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Eng. anaanzishiwa kesi mpyaaaa,ya jezi.Kwa kweli maradhi yote ugua lakini usiombee kufungwa.
ulimwengu wa roho una nguvu sana kuliko huu wa mwili
Nyundo nzito kwa anayeelewa.Unafiki ni kuhubiri kunywa maji wakati anayehubiri anakunywa mvinyo.Ni vizuri ushauri huu uwafikie viongozi wetu wanapokataa rangi nyekundu au nyeupe kuwapo kwenye logo za wadhamini
Hiki kiherehere kwenye mambo ya watu kitumie kwenye maisha yako utafika mbaliHili jambo linafikirisha sana. Alianza Nabi, wakaja wachezaji wao kwenye tamasha lao, sasa viongozi wao tena katika mechi dhidi ya Simba. Kuna siku nilisema ndani ya misimu mitatu ijayo tutaiona Yanga ikiwa na jezi nyeupe.
Huu uchawi wa rangi si ninyi utopolo mliwahi kujiapiza hadi mdhamini kabadili rangi ya logo?Tumeshafikia kuulizia nguo wanazo vaa watu!!! Hii inatusaidia nini katika mpira wa miguu?
Mbumbumbu mwenzako huyoUnampangia mtu mavazi??ila utopolo??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama changudoa aliyekopwaIla Yanga wana hasira aloooo....
Hua mna hasira mkikopwa?Kama changudoa aliyekopwa