[emoji3][emoji3][emoji3]sija hemkwa ila huo ndo ukweli wangu sionagi jipya kwenye hyo mitandao hata comments za mle huona akili ndogo nyingi aiseeSikuchukulia kama dhambi mdogo wangu, ila kwa upeo wako katika mijadala niliona umehemkwa zaidi ya kuongea facts.
Umenena vyema especially huko instagram ndo usisemeMitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Inawezekana wewe hutoki tabaka hilo ndiomana huwezi kuona mateso na manyanyaso waliokuwa wakiyapata wananchi wa hali za chini na hivyo huwezi kuona ni kwa kiasi gani JPM aliweza kupambana na kuleta ahueni kwa wahanga.Matabaka yapo tangu enzi za king Daudi, Hadi wakati wa Yesu na matabaka hayatakaa kamwe yaishe mpaka mwisho wa ulimwengu, so hata kwa huyo mwendazake nothing new, maana wanyonge hawajui kesho zao, katunga misheria katandamizi huko bodi ya mikopo waliokuwa wanalipa kaamua kukomoa kabisa. So unaposema matabaka sijui wewe unaangalia angle gani ndugu
😀😀😀 Wana tuabisha sana hawaHayo maneno na mtazamo wako, ukishirikiana na huyo changu, wanaume wengine hasara kweli
Unaamini kwa nini kama siobkura ndugu?Bongo Kura ni kiini macho tu, siamini kwa kura
SawaMitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Sawa kabisa,Huko kumejaa familia za Makada walioshiba upigaji na baadhi ni wabeba boksi wenye homesick na wengine ni Wahanga wa propaganda za ccm.
Fafanua Chief ili tufaidike na Elimu yakoSawa kabisa,
Ila ndo wananchi hao...
Tena yeye katawala miaka mitano tu .Sawa endeleeni na matusi yenu nyinyi si mnajua kuongea sana. Ila mjue wananchi sio wajinga wanamjua mbaya kwao na mzuri kwao. Magufuli kawafanyia mengi mazuri haya matusi ya kumuita fisadi yatawahukumu siku moja.
wewe kweli🐒 kuwa jf unajiona bonge la msomi na mjanja zaidi kwa taarifa yako tu jf inawatumiaji chini ya idadi ya watu 10000, na watumiaji wake ni kuanzia miaka 15 nakuendeleaNi kweli, tabaka kubwa la wapiga kura wa nchi hii ni huko Instagram na Facebook ambako pia ndipo linapopatikana tabaka kubwa pia la wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri.
Bado tuna safari ndefu kama nchi.
Sisi vilaza ndo tunaohotaji kuongozwa.Kwan hujui Facebook na Instagram ndio mitandao ambayo asilimia kubwa waliomo humo ni vilaza? Kwanza mm msichana akiniambia nina account Facebook nam delete kabisa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Ww pia unaonekana kada unasema kuhusu kadaHuko kumejaa familia za Makada walioshiba upigaji na baadhi ni wabeba boksi wenye homesick na wengine ni Wahanga wa propaganda za ccm.
Haha hahaaaaaHao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1748162
Hayo ya wananchi mbona wako kila corner Ina maana humu jf sio wananchi?Sawa
Lakini hao ndo wananchi, na ndo
Wenye maamuzi katika nchi hi..
Hamnaga uchaguzi huwa tunakamilisha ratibaUnaamini kwa nini kama siobkura ndugu?