Genius hajitambulishi kama ni genius bali watu ndo watamsoma ni genius, ukijiona wewe ni great thinker tambua una upeo mdogo sana wa kufikiri ila unajifananisha na mtu fulani ambaye anasomeka kuwa ni great thinker. Ubongo ulio empty ndio ucopy na kujifake kuwa someone else. Majority ya wanaojiita great thinker ni vilasa wajanja wajanja.Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Hujui hata maana ya great thinker wewe na hata definition ya genious hujui ka simple logic inakushinda ndo Mambo makubwa utayawezaGenius hajitambulishi kama ni genius bali watu ndo watamsoma ni genius, ukijiona wewe ni great thinker tambua una upeo mdogo sana wa kufikiri ila unajifananisha na mtu fulani ambaye anasomeka kuwa ni great thinker. Ubongo ulio empty ndio ucopy na kujifake kuwa someone else. Majority ya wanaojiita great thinker ni vilasa wajanja wajanja.
Utawasoma vipi? Ni wale wanaopenda kuwabeza wenzao na kuwaona vilaza.
Asante kwa mchango wakoHujui hata maana ya great thinker wewe na hata definition ya genious hujui ka simple logic inakushinda ndo Mambo makubwa utayaweza
Wewe na uzee wote hujakua licha ya kuwa na wajukuu aisee unazeeka vibaya, vile ulizaliwa vilabu vya gongo Basi unawaza wote ni wakudanga Kama ulivopatikana kwa njia hyoUnadhani kila mtu ni Mwanaume hapa, ukiambiwa hizi ni akili za kudanga utachukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sitafti excuse, hafu wewe ni mjinga kudandia usiyoyajua jiheshimu aisee. Acha kiherehere aiseeSista unapofanya mijadala na watu achana na maneno kama haya 'mwanaume mzima' jifunze kutetea hoja zako bila excuse za kijinga kama hizo!!
Umechagua comments ambazo umeona zinamlilia dictator ucharwa, ila ata huku fecebook kuna watu wengi tu wanacomment kutokupendezwa na mwendazake, kama unabisha tulete ushaidiBaada ya ishu ya CAG nikasema niingie mitandaoni nione reaction ya wananchi juu ya serikali ya JPM.
Twitter na JF kama kawaida ni matusi tu na kejeli kwa mwendazake, ila awa ni wachache na tumeshawazoea hawanaga madhala.
Nikasema niingie kwa majority ya wananchi huko Facebook na Instagram penye watumiaji 90% wa social media wa Tanzania.
Nikakuta vilio na kukata tamaa kwa wananchi baada ya kuona kipenzi chao JPM anazushiwa uongo na mema yake yanapondwa.
Wananchi imani yao kwa Magufuli ni kubwa sana, waite wajinga awajaelimika ila kuna namna JPM aligusa maisha yao na akatengeneza connection nao. Hakuna kitu mtafanya sasa hivi kufuta hii love ya raia kwa JPM.
Nawashauri CCM na wapinzani mnaoendeleza vita na JPM wasibeze hivi vilio maana awa wananchi watawaadhibu siku moja. Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.
Msije sema hamkuambiwa.
View attachment 1748149View attachment 1748150View attachment 1748151View attachment 1748152View attachment 1748153View attachment 1748154
Unaandika upumbavu had aibu ninaona mimiSifuti huo ndo ukweli mitandao yenye watu smart hujulikana walioko fb, na Instagram ukiwauliza LinkedIn ni Nini hawajui kabisa
Na wewe utakuwa kichaa wa kwenda mirembe ka unasoma upumbavu wangu, hafu aibu uone ya Nini kwa maoni yangu binafsi huko ka sikuwashwa washwa Nini?Unaandika upumbavu had aibu ninaona mimi
Sawa geniusNa wewe utakuwa kichaa wa kwenda mirembe ka unasoma upumbavu wangu, hafu aibu uone ya Nini kwa maoni yangu binafsi huko ka sikuwashwa washwa Nini?
Sio kila kitakachoandikwa kitafuraisha mengine ya kupite tu ndugu.mfyuu
I'm not genious so stay away from me.Sawa genius
so now the topic has shifted from discussing the lower level of understanding for people who use facebook and instagram to discussing my smartness and eloquent in english?.So u pretend to be “smart” kwa kuandika kizungu cha Google,na unajisifia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna Lolote We Kenge Acha Kujimwambafai... Sura Mbaya Kama KMajority of them, ukitoa watu wachache ambao ni exceptional, hafu umejuaje ka na I'd ya old niliacha nikaja na hii ya 2015 na hii nikiiacha Nika create mpya haimanishi sifahamu Jambo lolote
na wewe ni great thinker pia?Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
wewe pia kweny kundi la watu wenye upeo mkubwa upo kumbe?Ni kweli, tabaka kubwa la wapiga kura wa nchi hii ni huko Instagram na Facebook ambako pia ndipo linapopatikana tabaka kubwa pia la wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri.
Bado tuna safari ndefu kama nchi.