Sijakuelewa mkuu fafanua zaid.Hata Hollywood huwezi ku-mingle nao km humuamini Shetani kwamba ndio the most influential kuliko wote duniani
Haya tumesilimu!Google pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo alir muumba huyu Isack newton.
Muhammad the Islamic prophet amepewa nafasi ya kwanza na watu wasio waislamu wanao pinga mafunsisho yake hili lina tufindisha nini. Sikiliza video hiyo.View attachment 3154798
Huwezi kua actor Hollywood km huamini km Shetani ndio the most influential kuliko chochote dunianiSijakuelewa mkuu fafanua zaid.
Mkuu sisi wa kuristu tunaamini yesu alikua binaadamu na vinasaba vya Umungu pia kuna kipindi anawekwa msalabani uko analia hapo alikua binaadamu, kwahiyo niko sahihi kuwekwa katika binaadamu, jifinze dini yako mkuu.Unaandika utazani hauna kichwa mkuu...Umesema watu maarufu si ndio..then ukasema Isack Newton...Then ukasema Mtu huyo alitakiwa kua Yesu,kwa sababu yesu Ni mungu...mbona Unatuchanganya tuelewe kipi...em tuliza kichwa then tuambie ili tujue tuna solve vp malalamiko yako..Yesu Ni Mtu au Ni mungu...??,tuanzie apo kwanza..
Wewe una mhemuko jibu kihoja sikiliza video acha kukurupuka.Haya tumesilimu!
Umefurahi?
Tatizo ni kukalilishwa Ila haujaielewa biblia..Mkuu sisi wa kuristu tunaamini yesu alikua binaadamu na vinasaba vya Umungu pia kuna kipindi anawekwa msalabani uko analia hapo alikua binaadamu, kwahiyo niko sahihi kuwekwa katika binaadamu, jifinze dini yako mkuu.
Kwahiyo mkuu unataka kusema yesu pamoja nakua na binasaba vya umungu hakua mungu ni uzushi na ujinga wasisi wa kuristo?Tatizo ni kukalilishwa Ila haujaielewa biblia..
Hivi unajua kua Kuna Binadam wana vinasaba Vya Sickle cell lakin sio Wagonjwa wa Sickle cell.,??
Wrong arrangement labda ulete source Muhammad first Isack newton second Jesus third...neenda google ku-prove right.