- Thread starter
- #41
Hata Gwajima kwenye kanisa lake la ufufuo hizo kazi anazifanya kama Yesu mzee wa upako hoyo yote na zaidi anayafanya..... labda useme kwamba ni matepeli sio kweli hapo utakua huna Imani pia.kuponya wagonjwa na kufufua mfu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Gwajima kwenye kanisa lake la ufufuo hizo kazi anazifanya kama Yesu mzee wa upako hoyo yote na zaidi anayafanya..... labda useme kwamba ni matepeli sio kweli hapo utakua huna Imani pia.kuponya wagonjwa na kufufua mfu
hao kina gwajima hawajawahi kuponya na kufufua wafu, wanafanya abrakadabra tu kwa wapuuziHata Gwajima kwenye kanisa lake la ufufuo hizo kazi anazifanya kama Yesu mzee wa upako hoyo yote na zaidi anayafanya..... labda useme kwamba ni matepeli sio kweli hapo utakua huna Imani pia.
Are sure that Jesus did what you are alleging or can you prove or its a hearsay of religious fanatics.....who reported and recorded such events such action lack authenticity.Nadhani unashindwa kuelewa facts zangu. Science inataka evidence, sio maandiko empty. Wakina Isaac netwon walifanya vumbuzi mbali mbali kwa evidence, is why ni moja ya influential scientist of all time (considering vitu alivyofanya ,ndio tunatumia leo in modern world)
Yesu alifufua mtu but how? Can you provide evidence of that? Albadilisha maji kuwa wine but how? Alitumia chemical yoyote?
Alipaa kurudi kwa baba Mungu but alipaaje? Method gani ilitumika?
You see imani doesnt ask for deep facts, hizo trivial things kuwa alivuta oxygen so does wanafunzi wake . Oxygen is not a big deal kwa wanadam
Science inataka facts, vitu vilifanyikaje and how. Sio imani, imani zinamiss deep facts
Unaweza kudhibitisha hilo kwamba ni wahuni ila yesu yeye alifanya kweli kweli. Jitahidi kua na Imani mkuu.hao kina gwajima hawajawahi kuponya na kufufua wafu, wanafanya abrakadabra tu kwa wapuuzi
kwani we huwaoni matendo yao, wana utaua gani wa kimungu wale?Unaweza kudhibitisha hilo kwamba ni wahuni ila yesu yeye alifanya kweli kweli. Jitahidi kua na Imani mkuu.
Huwezi ku-prove hili zaidi ya kutupigia kelele zako,Jesus Christ of Nazareth was not a human being.he is a living God.
Sawa bossHuwezi ku-prove hili zaidi ya lutupigia kelele zako,
i just asked for facts, scientis inafanya kazi hivi, question->finding facts->research->answers.Are sure that Jesus did what you are alleging or can you prove or its a hearsay of religious fanatics.....who reported and recorded such events such action lack authenticity.
Wewe c mi muislamu mkuu🤣🤣🤣Huwezi ku-prove hili zaidi ya kutupigia kelele zako,
Mkuu sina haki ya kubadlli dini?Wewe c mi muislamu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwezi kubadili, naona unacheza na akili zetu mkuu.Mkuu sina haki ya kubadlli dini?
Uzi umeishia hapa.Hata Hollywood huwezi ku-mingle nao km humuamini Shetani kwamba ndio the most influential kuliko wote duniani
Yesu ndo mtu mwenye impact zaidi duniani hata tukiachana na maswala ya dini Wala sayansi kwa mfano tu nikikuuliza huyo mtume kaacha alama impact gani duniani zaidi ya uislamu hautakua na jibu...Wrong arrangement labda ulete source Muhammad first Isack newton second Jesus third...neenda google ku-prove right.
Newton nae arud atembee juu ya majiyesu nae arudi arushe jiwe angani na likirudi chini ,atoe sababu kwann tutamwelewa ,habari ya kudili na mtu haonekani kwa utetezi wa kijinga eti fumbo la Imani!!!!
Wanasema sio mtu mbona unatuchanganya?Ndio nasikia leo mtu aliyeishi zaidi ya miaka 2000 huko anafananishwa na huyu wa juzi