Kwanini Isack Newton anapewa kuwa most influencial person duniani kuliko Yesu?

Kwanini Isack Newton anapewa kuwa most influencial person duniani kuliko Yesu?

Mkuu sisi wa kuristu tunaamini yesu alikua binaadamu na vinasaba vya Umungu pia kuna kipindi anawekwa msalabani uko analia hapo alikua binaadamu, kwahiyo niko sahihi kuwekwa katika binaadamu, jifinze dini yako mkuu.
Kumfanya yesu ndo mungu,hapo ndipo wakristu wengi ujichanganya aseh ,tatizo mlipotoshwa Kwa lengo fulani la wapotoshaji hasa maslahi,binafsi uwa najiuliza ni wakati gani yesu aitwe mungu na wakati gani aitwe mwana??na kwanini,mwanafunzi utamfundishaje Kwa mfano ili awaeleweni?
 
Kumfanya yesu ndo mungu,hapo ndipo wakristu wengi ujichanganya aseh ,tatizo mlipotoshwa Kwa lengo fulani la wapotoshaji hasa maslahi,binafsi uwa najiuliza ni wakati gani yesu aitwe mungu na wakati gani aitwe mwana??na kwanini,mwanafunzi utamfundishaje Kwa mfano ili awaeleweni?
Unamuweka Mungu kwenye mizania ya ubinadamu
 
Google pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo alir muumba huyu Isack newton.

Muhammad the Islamic prophet amepewa nafasi ya kwanza na watu wasio waislamu wanao pinga mafunsisho yake hili lina tufindisha nini.

Sikiliza video hiyo.

View attachment 3154798
Nadhani katika masuala ya uvumbuzi ni Newton. Lakini katika ukombozi wa mwanadamu, kumweka katika nafasi yake, na kuanzisha taifa jipya la Mungu ni Yesu Kristo.
 
Unamuweka Mungu kwenye mizania ya ubinadamu
Hakuna sehemu yesu amesema yeye ni Mungu ila kwa sababu kuna watu wana mawazo finyu wakamlazimisha awe Mungu kama una "uthibistisho usio na utata " unaweza kuweka pia .

Yesu ni BINADAMU hana tofauti na Mimi amelala , ninalala, alikula na mimi ninakula pia n.k
 
Hakuna sehemu yesu amesema yeye ni Mungu ila kwa sababu kuna watu wana mawazo finyu wakamlazimisha awe Mungu kama una "uthibistisho usio na utata " unaweza kuweka pia .

Yesu ni BINADAMU hana tofauti na Mimi amelala , ninalala, alikula na mimi ninakula pia n.k
Ni uelewa wako tu mdogo , Yesu ni Mungu

Yesu hakunakiliwa mahali popote katika biblia akisema, “Mimi ni Mungu.”

Lakini hiyo haimaanishi ya kwamba hakusema kuwa yeye ni Mungu. Kwa mfano ni maneno ya Yesu katika

Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.” Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa wayahudi,

“hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33). Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu. Katika aya zifuatazo hawasahihishi wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.”

Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30). Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?

Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
 
Naona kama vile bila Yesu Kristo Issac asingefanya yale aliyoyafanya:
1. Bila misingi ya agano jipya linalomuhusu Yesu Kristo sidhani ulaya ingekuwa imejengeka kwa misingi ya kistaarabu na maadili ambayo eventually ilipelekea mpaka maendeleo ya sayansi yaliyozaa kina Isaac Newton
2. Ilivyo Kristo anavyoweza kuchukuliwa kama muasisi wa ustaarabu wa magharibi basi Newton anaweza kuchukulia kama Baba wa sayansi ya kisasa maana aliweza elezea vitu complicated kama gravity bila vifaa vyovyote, na ndie wa kwanza kutambua mwanga huu mweupe una rangi mbalimbali na pia ni muasisi wa hesabu za calculus na mengineyo mengi
 
Google pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo alir muumba huyu Isack newton.

Muhammad the Islamic prophet amepewa nafasi ya kwanza na watu wasio waislamu wanao pinga mafunsisho yake hili lina tufindisha nini.

Sikiliza video hiyo.

View attachment 3154798
Hayo mambo ya kwamba ni mungu ni yenu huko makanisani ila kiuhalisia yes alikua mtu maarufu wa kale basi
 
Ni uelewa wako tu mdogo , Yesu ni Mungu

Yesu hakunakiliwa mahali popote katika biblia akisema, “Mimi ni Mungu.”

Lakini hiyo haimaanishi ya kwamba hakusema kuwa yeye ni Mungu. Kwa mfano ni maneno ya Yesu katika

Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.” Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa wayahudi,

“hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33). Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu. Katika aya zifuatazo hawasahihishi wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.”

Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30). Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?

Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!

".....Yesu hakunakiliwa mahali popote katika biblia akisema, “Mimi ni Mungu"........"

Kama hakunakiliwa popote hii inafungua mlango wa contradictions maana kila mtu atatafsiri kauli zake za mafumbo anavyojua yeye so the safe road here ni kuamini alikuwa BINADAMU na MASIHI basssssss.
 
".....Yesu hakunakiliwa mahali popote katika biblia akisema, “Mimi ni Mungu"........"

Kama hakunakiliwa popote hii inafungua mlango wa contradictions maana kila mtu atatafsiri kauli zake za mafumbo anavyojua yeye so the safe road here ni kuamini alikuwa BINADAMU na MASIHI basssssss.
Na sio lazima aseme Mimi ni Mungu, maandiko yanathibitisha hivo

Hata kipindi chake wapo kama wewe waliokuwa wanapinga uungu wake ,siku moja akawapiga swali ambalo mpaka Leo hakuna anayeweza kulijobu akitoa Aya katika kitabu cha Zaburi ,maana walikuwa wanaamini kuanzia Torati ,manabii na Zaburi,

Labda wewe unaweza kujibu, katika Zaburi

Mathayo 22

41Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza, 42“Nyinyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Wa Daudi.” 43Yesu akawaambia, “Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema:
44 ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:Keti upande wangu wa kulia,
mpaka niwaweke maadui zako chini ya miguu yako.’
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?” 46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.Iliyochaguliwa sasa

Pia katika Zaburi 45:7 inasema hivi

Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.


KAMA UNAAMINI VITABU KAMA TORATI ,ZABURI ,NA MANABII ,Nami nakuswalika swali kama la Yesu

Imekuwaje katika Zaburi ,Daudi kusema Mungu,Mungu wako amekutia mafuta,Mafuta ya furaha kuliko wenzako
 
Na sio lazima aseme Mimi ni Mungu, maandiko yanathibitisha hivo

Hata kipindi chake wapo kama wewe waliokuwa wanapinga uungu wake ,siku moja akawapiga swali ambalo mpaka Leo hakuna anayeweza kulijobu akitoa Aya katika kitabu cha Zaburi ,maana walikuwa wanaamini kuanzia Torati ,manabii na Zaburi,

Labda wewe unaweza kujibu, katika Zaburi

Mathayo 22

41Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza, 42“Nyinyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Wa Daudi.” 43Yesu akawaambia, “Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema:
44 ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:Keti upande wangu wa kulia,
mpaka niwaweke maadui zako chini ya miguu yako.’
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?” 46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.Iliyochaguliwa sasa

Pia katika Zaburi 45:7 inasema hivi

Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.


KAMA UNAAMINI VITABU KAMA TORATI ,ZABURI ,NA MANABII ,Nami nakuswalika swali kama la Yesu

Imekuwaje katika Zaburi ,Daudi kusema Mungu,Mungu wako amekutia mafuta,Mafuta ya furaha kuliko wenzako
Brace yourself

1. Zaburi 110:1 Inazungumzia vitu viwili tofauti

Aya hii imetumia maneno mawili tofauti: “BWANA” (Yahweh, kumaanisha Mungu) na “Bwana wangu” (Adonai ). Katika mila ya Kiyahudi, “Bwana wangu” Linaweza kumaanisha mfalme, nabii, au kiongozi mwingine wa kibinadamu, si lazima iwe Mungu.

UFAFANUZI: Daudi kumuita Masihi “Bwana wangu” hakuashirii uungu. Ni ishara ya heshima na mamlaka, jambo linaloendana na kiongozi wa kibinadamu, kama inavyoonekana katika maandiko mengine (mfano, 1 Samweli 25:24).


2. Nafasi ya Masihi kuwa Mkono wa Kuume wa Mungu ni Mamlaka aliyopewa

Kuketi mkono wa kuume wa Mungu kunaonyesha nafasi ya heshima na mamlaka, lakini hakuonyeshi kwamba Masihi ni sawa na Mungu. Kwa mfano, Yosefu aliketi mkono wa kuume wa Farao akitekeleza mamlaka yaliyopewa bila kuwa Farao mwenyewe (Mwanzo 41:40-44).

UFAFANUZI : Masihi kuketi mkono wa kuume wa Mungu inaonyesha jukumu maalum alilopewa na Mungu, si uungu wake. Hili linaendana na matarajio ya Kiyahudi kuhusu Masihi wanayemsubiru wa kibinadamu aliyepewa nguvu na Mungu.


3. Maneno ya Daudi yamekaa kiushairi, Siyo Mafundisho ya Kinadharia

Zaburi 110 ni wimbo wa kusifu na kutukuza, si mafundisho ya moja kwa moja ya kitheolojia. Daudi aliweza kumuita Masihi wa baadaye “Bwana wangu” kishairi bila kuashiria kwamba yeye ni Mungu.

UFAFANUZI : Matumizi ya neno “Bwana” hapa yanaonyesha heshima, si asili ya kiumbe (ontology). Daudi anathibitisha nafasi ya Masihi kama mfalme au kiongozi wa heshima, si Mungu.

4. Kimya cha Mafarisayo Hakimaanishi Uungu wa Yesu

Mafarisayo walinyamaza si kwa sababu walikubaliana na madai ya Yesu, bali kwa sababu walishangazwa na maana ya kiteolojia ya Zaburi 110:1. Walihangaika kuelewa jinsi Masihi angeweza kuwa “mwana wa Daudi” na wakati huo huo aitwe “Bwana” wake.

UFAFANUZI: Kimya hakimaanishi makubaliano. Kinaonyesha kushindwa kueleza kwa wakati huo, si kukubali kwamba Yesu ni Mungu.

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Aya Hii

Katika Mathayo 22:41-46, Yesu hakudai moja kwa moja kwamba yeye ni Mungu. Badala yake, alikosoa ufahamu finyu wa Mafarisayo kuhusu asili na jukumu la Masihi.

UFAFANUZI: Kuuliza swali kuhusu utambulisho wa Masihi hakumaanishi kudai uungu. Aya hii inaelekeza kwenye nafasi ya juu ya Masihi, lakini haihusishi lazima kuwa yeye ni Mungu.

6. Zaburi 110 Haikufasiriwa Hapo Mwanzo Kwamba inazungumzia Uungu

Mila ya Kiyahudi haifasiri Zaburi 110 kama inayoelezea Masihi wa kiungu. Badala yake, inachukuliwa kama wimbo wa kumsifu mfalme au unabii kuhusu mfalme wa baadaye atakayewaongoza Waisraeli chini ya uongozi wa Mungu.

UFAFANUZI: Fasiri ya Kikristo ya Zaburi 110 kama ushahidi wa uungu wa Yesu ni maendeleo ya baadaye ya kiteolojia, si maana ya awali ya zaburi hiyo pitia pia kuhusu " the chalcedonian box" .

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi” Hakumaanishi Uungu

Swali la Yesu linaangazia utambulisho wa Masihi kama mzao wa Daudi na pia “Bwana” wake. Hata hivyo, kuwa mzao wa Daudi na kuitwa “Bwana” katika mamlaka hakumaanishi kwamba Masihi ni Mungu.

UFAFANUZI: Jina “Bwana” katika muktadha wa Zaburi 110:1 linaonyesha mamlaka ya kazi aliyopewa na Mungu, si usawa na Mungu.

8. Muktadha wa Mathayo Unasisitiza Nafasi ya Yesu Kama Masihi, Si Mungu

Katika Injili ya Mathayo, Yesu mara nyingi anasisitiza nafasi yake kama Masihi aliyeteuliwa na Mungu, si Mungu mwenyewe.

Kwa mfano:

Mathayo 16:16: Petro anasema, “Wewe ndiwe Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.” Hii inathibitisha Yesu kama mteule wa Mungu, si Mungu mwenyewe.

Mathayo 24:36: Yesu anasema, “Hakuna ajuaye siku wala saa, hata Mwana, ila Baba peke yake,” akionyesha tofauti kati yake na Mungu.


UFAFANUZI: Muktadha mpana wa Mathayo unaonyesha Yesu akiwa chini ya Mungu, si sawa na Mungu.
 
Brace yourself

1. Zaburi 110:1 Inazungumzia vitu viwili tofauti

Aya hii imetumia maneno mawili tofauti: “BWANA” (Yahweh, kumaanisha Mungu) na “Bwana wangu” (Adonai ). Katika mila ya Kiyahudi, “Bwana wangu” Linaweza kumaanisha mfalme, nabii, au kiongozi mwingine wa kibinadamu, si lazima iwe Mungu.

UFAFANUZI: Daudi kumuita Masihi “Bwana wangu” hakuashirii uungu. Ni ishara ya heshima na mamlaka, jambo linaloendana na kiongozi wa kibinadamu, kama inavyoonekana katika maandiko mengine (mfano, 1 Samweli 25:24).


2. Nafasi ya Masihi kuwa Mkono wa Kuume wa Mungu ni Mamlaka aliyopewa

Kuketi mkono wa kuume wa Mungu kunaonyesha nafasi ya heshima na mamlaka, lakini hakuonyeshi kwamba Masihi ni sawa na Mungu. Kwa mfano, Yosefu aliketi mkono wa kuume wa Farao akitekeleza mamlaka yaliyopewa bila kuwa Farao mwenyewe (Mwanzo 41:40-44).

UFAFANUZI : Masihi kuketi mkono wa kuume wa Mungu inaonyesha jukumu maalum alilopewa na Mungu, si uungu wake. Hili linaendana na matarajio ya Kiyahudi kuhusu Masihi wanayemsubiru wa kibinadamu aliyepewa nguvu na Mungu.


3. Maneno ya Daudi yamekaa kiushairi, Siyo Mafundisho ya Kinadharia

Zaburi 110 ni wimbo wa kusifu na kutukuza, si mafundisho ya moja kwa moja ya kitheolojia. Daudi aliweza kumuita Masihi wa baadaye “Bwana wangu” kishairi bila kuashiria kwamba yeye ni Mungu.

UFAFANUZI : Matumizi ya neno “Bwana” hapa yanaonyesha heshima, si asili ya kiumbe (ontology). Daudi anathibitisha nafasi ya Masihi kama mfalme au kiongozi wa heshima, si Mungu.

4. Kimya cha Mafarisayo Hakimaanishi Uungu wa Yesu

Mafarisayo walinyamaza si kwa sababu walikubaliana na madai ya Yesu, bali kwa sababu walishangazwa na maana ya kiteolojia ya Zaburi 110:1. Walihangaika kuelewa jinsi Masihi angeweza kuwa “mwana wa Daudi” na wakati huo huo aitwe “Bwana” wake.

UFAFANUZI: Kimya hakimaanishi makubaliano. Kinaonyesha kushindwa kueleza kwa wakati huo, si kukubali kwamba Yesu ni Mungu.

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Aya Hii

Katika Mathayo 22:41-46, Yesu hakudai moja kwa moja kwamba yeye ni Mungu. Badala yake, alikosoa ufahamu finyu wa Mafarisayo kuhusu asili na jukumu la Masihi.

UFAFANUZI: Kuuliza swali kuhusu utambulisho wa Masihi hakumaanishi kudai uungu. Aya hii inaelekeza kwenye nafasi ya juu ya Masihi, lakini haihusishi lazima kuwa yeye ni Mungu.

6. Zaburi 110 Haikufasiriwa Hapo Mwanzo Kwamba inazungumzia Uungu

Mila ya Kiyahudi haifasiri Zaburi 110 kama inayoelezea Masihi wa kiungu. Badala yake, inachukuliwa kama wimbo wa kumsifu mfalme au unabii kuhusu mfalme wa baadaye atakayewaongoza Waisraeli chini ya uongozi wa Mungu.

UFAFANUZI: Fasiri ya Kikristo ya Zaburi 110 kama ushahidi wa uungu wa Yesu ni maendeleo ya baadaye ya kiteolojia, si maana ya awali ya zaburi hiyo pitia pia kuhusu " the chalcedonian box" .

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi” Hakumaanishi Uungu

Swali la Yesu linaangazia utambulisho wa Masihi kama mzao wa Daudi na pia “Bwana” wake. Hata hivyo, kuwa mzao wa Daudi na kuitwa “Bwana” katika mamlaka hakumaanishi kwamba Masihi ni Mungu.

UFAFANUZI: Jina “Bwana” katika muktadha wa Zaburi 110:1 linaonyesha mamlaka ya kazi aliyopewa na Mungu, si usawa na Mungu.

8. Muktadha wa Mathayo Unasisitiza Nafasi ya Yesu Kama Masihi, Si Mungu

Katika Injili ya Mathayo, Yesu mara nyingi anasisitiza nafasi yake kama Masihi aliyeteuliwa na Mungu, si Mungu mwenyewe.

Kwa mfano:

Mathayo 16:16: Petro anasema, “Wewe ndiwe Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.” Hii inathibitisha Yesu kama mteule wa Mungu, si Mungu mwenyewe.

Mathayo 24:36: Yesu anasema, “Hakuna ajuaye siku wala saa, hata Mwana, ila Baba peke yake,” akionyesha tofauti kati yake na Mungu.


UFAFANUZI: Muktadha mpana wa Mathayo unaonyesha Yesu akiwa chini ya Mungu, si sawa na Mungu.

Kuthibitisha Uungu wa Yesu Kristo kwa kutumia maandiko ya Biblia, tunapaswa kuzingatia mistari kadhaa ambayo inaonyesha waziwazi , najibu hoja zako kabla sijakupeleka kwa Nabii Daniel na Yohana ,pia Ezekiel walioneshwa Yesu kwenye maono ,Nina ushahidi mwingi wa kimaandiko kuwa Yesu ni Mungu, ingawa Mimi sio Muumini wa Trinity

Twende sasa kwenye hoja zako


1. Zaburi 110:1 na Uungu wa Yesu

Jibu: Yesu alitumia Zaburi 110:1 kuthibitisha uhusiano wake na Daudi na mamlaka yake. Katika Mathayo 22:44, Yesu aliuliza jinsi Masihi angeweza kuwa mwana wa Daudi na bado aitwe "Bwana." Hii inaonyesha kuwa Masihi ana nafasi ya kipekee na ya juu, inayozidi nafasi ya mfalme wa kawaida wa kibinadamu. Hii pia inalingana na mafundisho ya Agano Jipya kwamba Yesu ni "Mwana wa Mungu" aliye sawa na Mungu (Yohana 5:18).

2. Yesu Kuketi Mkono wa Kuume wa Mungu

Jibu: Kuketi mkono wa kuume wa Mungu hakuashirii nafasi ya chini, bali mamlaka kamili. Katika Waebrania 1:3, Yesu anaelezwa kuwa "Mwangaza wa utukufu wa Mungu na chapa halisi ya nafsi yake." Nafasi hii inathibitisha uungu wa Yesu. Zaidi ya hayo, katika Mathayo 26:64, Yesu alithibitisha kwamba ataketi mkono wa kuume wa Mungu, jambo lililowafanya Mafarisayo kumshutumu kwa kukufuru, wakitambua kwamba alidai usawa na Mungu.

3. Maneno ya Daudi Katika Zaburi 110:1

Jibu: Zaburi 110 inaeleza unabii wa moja kwa moja wa Masihi. Katika Matendo 2:34-36, Petro aliitumia Zaburi hii kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Masihi aliyefufuliwa na kuketi mkono wa kuume wa Mungu. Hili linaonyesha kwamba maandiko hayo ni zaidi ya shairi—ni unabii wa kinadharia wa kiungu kuhusu Yesu.

4. Kimya cha Mafarisayo

Jibu: Kimya chao ni muhimu kwani walishindwa kupinga hoja za Yesu kwa maandiko. Hii inadhihirisha kwamba Yesu alikuwa na mamlaka zaidi ya mafundisho yao, jambo ambalo lilikuwa la kipekee kwa mtu wa kawaida. Zaidi ya hayo, katika Yohana 10:33, Mafarisayo walimshutumu Yesu kwa kujifanya sawa na Mungu, wakitambua madai yake ya uungu

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Mathayo 22

Jibu: Ingawa Yesu mara nyingi alitumia lugha ya mfano na mafumbo, alifanya madai ya moja kwa moja kuhusu uungu wake mahali pengine. Katika Yohana 8:58, alisema, "Kabla Abrahamu hajazaliwa, Mimi niko," akitumia jina la kiungu "Mimi Niko" ambalo Mungu alitumia katika Kutoka 3:14. Hii ni madai ya wazi ya uungu.

6. Fasiri ya Kiyahudi ya Zaburi 110

Jibu: Mila ya Kiyahudi inaweza kuelezea Zaburi 110 kwa njia tofauti, lakini Agano Jipya linathibitisha kwamba maandiko ya Agano la Kale yanaonyesha uungu wa Yesu. Katika Luka 24:27, Yesu aliwaeleza wanafunzi wake jinsi maandiko yote ya Agano la Kale yanavyomuelekeza yeye

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi”

Jibu: Yesu si tu mwana wa Daudi bali ni zaidi. Katika Ufunuo 22:16, Yesu alisema, "Mimi ni mzizi na uzao wa Daudi," akionyesha kwamba yeye ndiye chanzo na mrithi wa Daudi, jambo linaloweza tu kufanywa na Mungu

8. Mathayo na Nafasi ya Yesu

Jibu: Katika Mathayo 1:23, Yesu anaelezewa kuwa "Imanueli," jina linalomaanisha "Mungu pamoja nasi." Hii ni uthibitisho wa wazi wa uungu wa Yesu. Zaidi ya hayo, katika Mathayo 28:18-20, Yesu alisema ana mamlaka yote mbinguni na duniani, mamlaka yanayoweza kuwa ya Mungu pekee.


Hitimisho

Yesu alithibitisha mara kwa mara uungu wake kupitia maneno, matendo, na nafasi yake ya kipekee katika mpango wa wokovu wa Mungu. Hoja za kukataa uungu wake zinaweza kukanushwa kwa kuzingatia maandiko ya Agano Jipya na rejea kutoka Agano la Kale. Rejea kama Yohana 1:1, Yohana 10:30, na Ufunuo 1:8 zinaonyesha wazi kwamba Yesu ni Mungu.
 
Brace yourself

1. Zaburi 110:1 Inazungumzia vitu viwili tofauti

Aya hii imetumia maneno mawili tofauti: “BWANA” (Yahweh, kumaanisha Mungu) na “Bwana wangu” (Adonai ). Katika mila ya Kiyahudi, “Bwana wangu” Linaweza kumaanisha mfalme, nabii, au kiongozi mwingine wa kibinadamu, si lazima iwe Mungu.

UFAFANUZI: Daudi kumuita Masihi “Bwana wangu” hakuashirii uungu. Ni ishara ya heshima na mamlaka, jambo linaloendana na kiongozi wa kibinadamu, kama inavyoonekana katika maandiko mengine (mfano, 1 Samweli 25:24).


2. Nafasi ya Masihi kuwa Mkono wa Kuume wa Mungu ni Mamlaka aliyopewa

Kuketi mkono wa kuume wa Mungu kunaonyesha nafasi ya heshima na mamlaka, lakini hakuonyeshi kwamba Masihi ni sawa na Mungu. Kwa mfano, Yosefu aliketi mkono wa kuume wa Farao akitekeleza mamlaka yaliyopewa bila kuwa Farao mwenyewe (Mwanzo 41:40-44).

UFAFANUZI : Masihi kuketi mkono wa kuume wa Mungu inaonyesha jukumu maalum alilopewa na Mungu, si uungu wake. Hili linaendana na matarajio ya Kiyahudi kuhusu Masihi wanayemsubiru wa kibinadamu aliyepewa nguvu na Mungu.


3. Maneno ya Daudi yamekaa kiushairi, Siyo Mafundisho ya Kinadharia

Zaburi 110 ni wimbo wa kusifu na kutukuza, si mafundisho ya moja kwa moja ya kitheolojia. Daudi aliweza kumuita Masihi wa baadaye “Bwana wangu” kishairi bila kuashiria kwamba yeye ni Mungu.

UFAFANUZI : Matumizi ya neno “Bwana” hapa yanaonyesha heshima, si asili ya kiumbe (ontology). Daudi anathibitisha nafasi ya Masihi kama mfalme au kiongozi wa heshima, si Mungu.

4. Kimya cha Mafarisayo Hakimaanishi Uungu wa Yesu

Mafarisayo walinyamaza si kwa sababu walikubaliana na madai ya Yesu, bali kwa sababu walishangazwa na maana ya kiteolojia ya Zaburi 110:1. Walihangaika kuelewa jinsi Masihi angeweza kuwa “mwana wa Daudi” na wakati huo huo aitwe “Bwana” wake.

UFAFANUZI: Kimya hakimaanishi makubaliano. Kinaonyesha kushindwa kueleza kwa wakati huo, si kukubali kwamba Yesu ni Mungu.

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Aya Hii

Katika Mathayo 22:41-46, Yesu hakudai moja kwa moja kwamba yeye ni Mungu. Badala yake, alikosoa ufahamu finyu wa Mafarisayo kuhusu asili na jukumu la Masihi.

UFAFANUZI: Kuuliza swali kuhusu utambulisho wa Masihi hakumaanishi kudai uungu. Aya hii inaelekeza kwenye nafasi ya juu ya Masihi, lakini haihusishi lazima kuwa yeye ni Mungu.

6. Zaburi 110 Haikufasiriwa Hapo Mwanzo Kwamba inazungumzia Uungu

Mila ya Kiyahudi haifasiri Zaburi 110 kama inayoelezea Masihi wa kiungu. Badala yake, inachukuliwa kama wimbo wa kumsifu mfalme au unabii kuhusu mfalme wa baadaye atakayewaongoza Waisraeli chini ya uongozi wa Mungu.

UFAFANUZI: Fasiri ya Kikristo ya Zaburi 110 kama ushahidi wa uungu wa Yesu ni maendeleo ya baadaye ya kiteolojia, si maana ya awali ya zaburi hiyo pitia pia kuhusu " the chalcedonian box" .

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi” Hakumaanishi Uungu

Swali la Yesu linaangazia utambulisho wa Masihi kama mzao wa Daudi na pia “Bwana” wake. Hata hivyo, kuwa mzao wa Daudi na kuitwa “Bwana” katika mamlaka hakumaanishi kwamba Masihi ni Mungu.

UFAFANUZI: Jina “Bwana” katika muktadha wa Zaburi 110:1 linaonyesha mamlaka ya kazi aliyopewa na Mungu, si usawa na Mungu.

8. Muktadha wa Mathayo Unasisitiza Nafasi ya Yesu Kama Masihi, Si Mungu

Katika Injili ya Mathayo, Yesu mara nyingi anasisitiza nafasi yake kama Masihi aliyeteuliwa na Mungu, si Mungu mwenyewe.

Kwa mfano:

Mathayo 16:16: Petro anasema, “Wewe ndiwe Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.” Hii inathibitisha Yesu kama mteule wa Mungu, si Mungu mwenyewe.

Mathayo 24:36: Yesu anasema, “Hakuna ajuaye siku wala saa, hata Mwana, ila Baba peke yake,” akionyesha tofauti kati yake na Mungu.


UFAFANUZI: Muktadha mpana wa Mathayo unaonyesha Yesu akiwa chini ya Mungu, si sawa na Mungu.


Maandiko yanayothibitisha Yesu ni Mungu ni mengi sana

Hakuna nabii au mtume mwenye hizi Sifa za Yesu

Hizi ni baadhi ya sifa za Mungu ambazo zinahusishwa pia na Yesu, kulingana na maandiko ya Biblia. Sifa hizi zinaonyesha asili ya kiungu ya Yesu.

1. Alfa na Omega

Mungu ni Alfa na Omega:

Isaya 44:6 – “Mimi ni wa kwanza na wa mwisho; hakuna Mungu ila mimi.”

Ufunuo 1:8 – “Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliye, aliyekuwako, na atakayekuja, Mwenyezi.”


Yesu ni Alfa na Omega:

Ufunuo 22:13 – “Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.”

Ufunuo 1:17-18 – Yesu anasema, “Usiogope. Mimi ni wa kwanza na wa mwisho, na aliye hai. Nilikuwa nimekufa, na tazama, sasa ni hai milele na milele!”

Ufafanuzi: Alfa na Omega inaonyesha asili ya milele na mamlaka ya kimungu ya Yesu sawa na ya Mungu.

2. Msamehe Dhambi

Mungu husamehe dhambi:

Isaya 43:25 – “Mimi, naam, mimi ndimi nifutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitakumbuka dhambi zako.”

Zaburi 103:12 – “Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo alivyoikweza dhambi zetu mbali nasi.”


Yesu husamehe dhambi:

Marko 2:5-7 – Yesu anamwambia mtu aliyepooza, “Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.” Mafarisayo wanahoji, “Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”

Luka 7:48 – Yesu anamwambia mwanamke aliyemimina mafuta, “Dhambi zako zimesamehewa.”



Ufafanuzi: Yesu kusamehe dhambi inaonyesha mamlaka sawa na ya Mungu, kwa kuwa kusamehe dhambi ni kazi ya Mungu peke yake.

3. Hakimu wa Wote

Mungu ni Hakimu wa wote:

Zaburi 50:6 – “Mbingu zatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.”

Mhubiri 12:14 – “Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila tendo, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au baya.”


Yesu ni Hakimu wa wote:

Yohana 5:22-23 – “Kwa maana Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amemkabidhi Mwana hukumu yote, ili watu wote wamheshimu Mwana kama wanavyomheshimu Baba.”

Matendo 10:42 – “Yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu.”



Ufafanuzi: Yesu akihukumu ulimwengu anaonyesha mamlaka ya kiungu ambayo ni sawa na ya Mungu.

4. Mwokozi wa Watu

Mungu ni Mwokozi:

Isaya 43:11 – “Mimi, naam, mimi ndimi Bwana, zaidi yangu mimi hakuna mwokozi.”

Hosea 13:4 – “Hakuna Mungu ila mimi, zaidi yangu mimi hakuna mwokozi.”


Yesu ni Mwokozi:

Yohana 4:42 – “Tumekwisha kusikia wenyewe, na tunajua ya kuwa huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu.”

Matendo 4:12 – “Wala hakuna wokovu kwa mwingine awaye yote, kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kwalo lazima tuokolewe.”



Ufafanuzi: Yesu kutajwa kama Mwokozi inathibitisha nafasi yake ya kiungu.

Sifa hizi zinaonyesha kwamba Yesu ana asili ya kiungu sawa na Mungu, kulingana na maandiko.
 
Brace yourself

1. Zaburi 110:1 Inazungumzia vitu viwili tofauti

Aya hii imetumia maneno mawili tofauti: “BWANA” (Yahweh, kumaanisha Mungu) na “Bwana wangu” (Adonai ). Katika mila ya Kiyahudi, “Bwana wangu” Linaweza kumaanisha mfalme, nabii, au kiongozi mwingine wa kibinadamu, si lazima iwe Mungu.

UFAFANUZI: Daudi kumuita Masihi “Bwana wangu” hakuashirii uungu. Ni ishara ya heshima na mamlaka, jambo linaloendana na kiongozi wa kibinadamu, kama inavyoonekana katika maandiko mengine (mfano, 1 Samweli 25:24).


2. Nafasi ya Masihi kuwa Mkono wa Kuume wa Mungu ni Mamlaka aliyopewa

Kuketi mkono wa kuume wa Mungu kunaonyesha nafasi ya heshima na mamlaka, lakini hakuonyeshi kwamba Masihi ni sawa na Mungu. Kwa mfano, Yosefu aliketi mkono wa kuume wa Farao akitekeleza mamlaka yaliyopewa bila kuwa Farao mwenyewe (Mwanzo 41:40-44).

UFAFANUZI : Masihi kuketi mkono wa kuume wa Mungu inaonyesha jukumu maalum alilopewa na Mungu, si uungu wake. Hili linaendana na matarajio ya Kiyahudi kuhusu Masihi wanayemsubiru wa kibinadamu aliyepewa nguvu na Mungu.


3. Maneno ya Daudi yamekaa kiushairi, Siyo Mafundisho ya Kinadharia

Zaburi 110 ni wimbo wa kusifu na kutukuza, si mafundisho ya moja kwa moja ya kitheolojia. Daudi aliweza kumuita Masihi wa baadaye “Bwana wangu” kishairi bila kuashiria kwamba yeye ni Mungu.

UFAFANUZI : Matumizi ya neno “Bwana” hapa yanaonyesha heshima, si asili ya kiumbe (ontology). Daudi anathibitisha nafasi ya Masihi kama mfalme au kiongozi wa heshima, si Mungu.

4. Kimya cha Mafarisayo Hakimaanishi Uungu wa Yesu

Mafarisayo walinyamaza si kwa sababu walikubaliana na madai ya Yesu, bali kwa sababu walishangazwa na maana ya kiteolojia ya Zaburi 110:1. Walihangaika kuelewa jinsi Masihi angeweza kuwa “mwana wa Daudi” na wakati huo huo aitwe “Bwana” wake.

UFAFANUZI: Kimya hakimaanishi makubaliano. Kinaonyesha kushindwa kueleza kwa wakati huo, si kukubali kwamba Yesu ni Mungu.

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Aya Hii

Katika Mathayo 22:41-46, Yesu hakudai moja kwa moja kwamba yeye ni Mungu. Badala yake, alikosoa ufahamu finyu wa Mafarisayo kuhusu asili na jukumu la Masihi.

UFAFANUZI: Kuuliza swali kuhusu utambulisho wa Masihi hakumaanishi kudai uungu. Aya hii inaelekeza kwenye nafasi ya juu ya Masihi, lakini haihusishi lazima kuwa yeye ni Mungu.

6. Zaburi 110 Haikufasiriwa Hapo Mwanzo Kwamba inazungumzia Uungu

Mila ya Kiyahudi haifasiri Zaburi 110 kama inayoelezea Masihi wa kiungu. Badala yake, inachukuliwa kama wimbo wa kumsifu mfalme au unabii kuhusu mfalme wa baadaye atakayewaongoza Waisraeli chini ya uongozi wa Mungu.

UFAFANUZI: Fasiri ya Kikristo ya Zaburi 110 kama ushahidi wa uungu wa Yesu ni maendeleo ya baadaye ya kiteolojia, si maana ya awali ya zaburi hiyo pitia pia kuhusu " the chalcedonian box" .

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi” Hakumaanishi Uungu

Swali la Yesu linaangazia utambulisho wa Masihi kama mzao wa Daudi na pia “Bwana” wake. Hata hivyo, kuwa mzao wa Daudi na kuitwa “Bwana” katika mamlaka hakumaanishi kwamba Masihi ni Mungu.

UFAFANUZI: Jina “Bwana” katika muktadha wa Zaburi 110:1 linaonyesha mamlaka ya kazi aliyopewa na Mungu, si usawa na Mungu.

8. Muktadha wa Mathayo Unasisitiza Nafasi ya Yesu Kama Masihi, Si Mungu

Katika Injili ya Mathayo, Yesu mara nyingi anasisitiza nafasi yake kama Masihi aliyeteuliwa na Mungu, si Mungu mwenyewe.

Kwa mfano:

Mathayo 16:16: Petro anasema, “Wewe ndiwe Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.” Hii inathibitisha Yesu kama mteule wa Mungu, si Mungu mwenyewe.

Mathayo 24:36: Yesu anasema, “Hakuna ajuaye siku wala saa, hata Mwana, ila Baba peke yake,” akionyesha tofauti kati yake na Mungu.


UFAFANUZI: Muktadha mpana wa Mathayo unaonyesha Yesu akiwa chini ya Mungu, si sawa na Mungu.

Huyu mfano wa mwanadamu ni nani alioneshwa Nabii Ezekiel ,miaka 600 kabla ya Yesu kuja duniani ?

." Tukio hili linaonekana hasa katika Ezekieli 1 wakati anapokuwa kwenye uhamisho kando ya Mto Kebari. Katika maono haya, Ezekieli anaelezea kiumbe wa kiungu ambaye alikuwa na sifa za pekee zinazoweza kufasiriwa kuwa mfano wa mwanadamu.

Maelezo ya Maono

Katika Ezekieli 1:26-28, Ezekieli anaona kitu kinachoonekana kama kiti cha enzi, na juu yake kuna “mfano wa mtu.” Maneno yake:

“Na juu ya kile kilichoonekana kama kiti cha enzi kulikuwa na mfano wa mtu aliyeketi juu yake juu kabisa.”


Mtu huyu alikuwa akiwaka kwa mwanga kama wa moto, huku akizungukwa na utukufu unaolingana na rangi ya upinde wa mvua.

Maono ya mfano wa mwanadamu kama yalivyoelezwa na Danieli na Yohana yanafanana sana, hasa katika kuonyesha utukufu wa kiumbe huyu na mamlaka yake. Hapa kuna mlinganisho wa vipengele muhimu:


Miaka 500 baadae kabla ya Yesu kuja duniani ,Nabii Daniel pia anaoneshwa maono haya 👇👇

Danieli 7:13-14:
“Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, pamoja na mawingu ya mbinguni alikuja mmoja aliye mfano wa mwanadamu; akamkaribia Mzee wa Siku, wakamleta karibu naye.”


Mfano huu wa mwanadamu alipewa mamlaka, utukufu, na ufalme usio na mwisho.

Miaka 70 baadae baada ya Yesu kupata mbinguni , Yohana nabii akiwa Patmo anaoneshwa na yeye


Ufunuo 1:13:

“Na katikati ya vile vinara vya taa saba kulikuwa na mtu kama mwana wa Adamu, amevaa vazi refu hadi miguuni, na kuvaa mshipi wa dhahabu kifuani.”

Yohana anamwona Mwana wa Adamu akiwa na sifa za kiungu na mamlaka, akiangazia utukufu na heshima ya mfano wa mwanadamu huyu.


Msikilize Danieli

Danieli 10:5-6:

“Nikainua macho yangu, na tazama, mbele yangu alikuwepo mtu aliyevaa nguo za kitani... Uso wake ulikuwa kama mwanga wa umeme, macho yake kama miali ya moto, na sauti yake kama sauti ya umati wa watu.”

Rudi kwa Yohana ,utagundua wanayemuona ni yule yule ,


Ufunuo 1:14-16:

“Macho yake yalikuwa kama mwali wa moto; miguu yake kama shaba iliyosafishwa sana... Uso wake ulikuwa kama jua lenye kuangaza kwa nguvu zake.”

Maono ya Yohana yanalingana kwa sifa na maelezo ya utukufu wa mfano wa mwanadamu aliyoona Danieli.

Kuhusu Mamlaka na Ufalme wa huyu mfano wa Mwanadamu, Daniel anasemaje

Danieli 7:14:

“Akapewa mamlaka, heshima, na ufalme; mataifa yote, kabila zote, na lugha zote zilimhudumia.”



Mfano wa mwanadamu hapa anaonyesha mamlaka ya kiungu ambayo ni ya milele na haiwezi kuondolewa.

Yohana naye anasemaje alichoona


Ufunuo 1:18:

“Mimi ni yeye aliye hai; nilikufa, na tazama, niko hai milele na milele, nami ninazo funguo za mauti na kuzimu.”



Yesu, kama mfano wa mwanadamu, ana mamlaka juu ya uzima na mauti, akidhihirisha ukuu wake wa kiungu.


Danieli: Mfano wa mwanadamu anaonekana akimkaribia Mzee wa Siku (ambaye ni Mungu) ili kupokea mamlaka, akionyesha kushirikiana na Mungu katika kazi za mbingu.

Yohana: Mfano wa mwanadamu anaonekana moja kwa moja katika utukufu wake wa kiungu, akionyesha kuwa ndiye aliyeketi katika kiti cha enzi, mamlaka ambayo Danieli aliiona ikitolewa.


Hitimisho

Maono haya matatu ya Ezekiel, Daniel na Yohana yanaonyesha uhusiano wa karibu kati ya mfano wa mwanadamu na Mungu. Huyu mfano wa mwanadamu ni Yesu Kristo, ambaye anashirikiana na Mungu Baba katika mamlaka ya ulimwengu wote. Maono haya yanasisitiza utukufu wake, mamlaka, na jukumu lake kama Mwokozi wa ulimwengu.
 
Inasemekana yule jamaa alikuwa mwizi wa mbao, siku aliyokamatwa akabebeshwa mbao alizoiba huku raia wenye hasira wakimpa kichapo
 
Elon ana mchango mkubwa duniani kuliko yesu
 
Yesu alikuwa ni pimbi tu katika harakati zake za unabii.....
Na serikali iliyomnanga ilishakuwa imeendelea na kubumburuka kuhusu maisha ya duniani kwa kujua kukusanya kodi na kuwa na jeshi imara.....
 
Kuthibitisha Uungu wa Yesu Kristo kwa kutumia maandiko ya Biblia, tunapaswa kuzingatia mistari kadhaa ambayo inaonyesha waziwazi , najibu hoja zako kabla sijakupeleka kwa Nabii Daniel na Yohana ,pia Ezekiel walioneshwa Yesu kwenye maono ,Nina ushahidi mwingi wa kimaandiko kuwa Yesu ni Mungu, ingawa Mimi sio Muumini wa Trinity

Twende sasa kwenye hoja zako


1. Zaburi 110:1 na Uungu wa Yesu

Jibu: Yesu alitumia Zaburi 110:1 kuthibitisha uhusiano wake na Daudi na mamlaka yake. Katika Mathayo 22:44, Yesu aliuliza jinsi Masihi angeweza kuwa mwana wa Daudi na bado aitwe "Bwana." Hii inaonyesha kuwa Masihi ana nafasi ya kipekee na ya juu, inayozidi nafasi ya mfalme wa kawaida wa kibinadamu. Hii pia inalingana na mafundisho ya Agano Jipya kwamba Yesu ni "Mwana wa Mungu" aliye sawa na Mungu (Yohana 5:18).

2. Yesu Kuketi Mkono wa Kuume wa Mungu

Jibu: Kuketi mkono wa kuume wa Mungu hakuashirii nafasi ya chini, bali mamlaka kamili. Katika Waebrania 1:3, Yesu anaelezwa kuwa "Mwangaza wa utukufu wa Mungu na chapa halisi ya nafsi yake." Nafasi hii inathibitisha uungu wa Yesu. Zaidi ya hayo, katika Mathayo 26:64, Yesu alithibitisha kwamba ataketi mkono wa kuume wa Mungu, jambo lililowafanya Mafarisayo kumshutumu kwa kukufuru, wakitambua kwamba alidai usawa na Mungu.

3. Maneno ya Daudi Katika Zaburi 110:1

Jibu: Zaburi 110 inaeleza unabii wa moja kwa moja wa Masihi. Katika Matendo 2:34-36, Petro aliitumia Zaburi hii kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Masihi aliyefufuliwa na kuketi mkono wa kuume wa Mungu. Hili linaonyesha kwamba maandiko hayo ni zaidi ya shairi—ni unabii wa kinadharia wa kiungu kuhusu Yesu.

4. Kimya cha Mafarisayo

Jibu: Kimya chao ni muhimu kwani walishindwa kupinga hoja za Yesu kwa maandiko. Hii inadhihirisha kwamba Yesu alikuwa na mamlaka zaidi ya mafundisho yao, jambo ambalo lilikuwa la kipekee kwa mtu wa kawaida. Zaidi ya hayo, katika Yohana 10:33, Mafarisayo walimshutumu Yesu kwa kujifanya sawa na Mungu, wakitambua madai yake ya uungu

5. Yesu Hakudai Moja kwa Moja Uungu Katika Mathayo 22

Jibu: Ingawa Yesu mara nyingi alitumia lugha ya mfano na mafumbo, alifanya madai ya moja kwa moja kuhusu uungu wake mahali pengine. Katika Yohana 8:58, alisema, "Kabla Abrahamu hajazaliwa, Mimi niko," akitumia jina la kiungu "Mimi Niko" ambalo Mungu alitumia katika Kutoka 3:14. Hii ni madai ya wazi ya uungu.

6. Fasiri ya Kiyahudi ya Zaburi 110

Jibu: Mila ya Kiyahudi inaweza kuelezea Zaburi 110 kwa njia tofauti, lakini Agano Jipya linathibitisha kwamba maandiko ya Agano la Kale yanaonyesha uungu wa Yesu. Katika Luka 24:27, Yesu aliwaeleza wanafunzi wake jinsi maandiko yote ya Agano la Kale yanavyomuelekeza yeye

7. Yesu Kuwa “Mwana wa Daudi”

Jibu: Yesu si tu mwana wa Daudi bali ni zaidi. Katika Ufunuo 22:16, Yesu alisema, "Mimi ni mzizi na uzao wa Daudi," akionyesha kwamba yeye ndiye chanzo na mrithi wa Daudi, jambo linaloweza tu kufanywa na Mungu

8. Mathayo na Nafasi ya Yesu

Jibu: Katika Mathayo 1:23, Yesu anaelezewa kuwa "Imanueli," jina linalomaanisha "Mungu pamoja nasi." Hii ni uthibitisho wa wazi wa uungu wa Yesu. Zaidi ya hayo, katika Mathayo 28:18-20, Yesu alisema ana mamlaka yote mbinguni na duniani, mamlaka yanayoweza kuwa ya Mungu pekee.


Hitimisho

Yesu alithibitisha mara kwa mara uungu wake kupitia maneno, matendo, na nafasi yake ya kipekee katika mpango wa wokovu wa Mungu. Hoja za kukataa uungu wake zinaweza kukanushwa kwa kuzingatia maandiko ya Agano Jipya na rejea kutoka Agano la Kale. Rejea kama Yohana 1:1, Yohana 10:30, na Ufunuo 1:8 zinaonyesha wazi kwamba Yesu ni Mungu.
Uthibitisho woote uliyoweka ni "Fulani anaelezea hivi" , "Fulani alitafasiri hivi " , "Alisema hivi hivyo inamaanisha yeye ni hivi " mkuu bado sijaona pahali umethibitisha uungu wake kwa sababu yeye mwenyewe hakuwahi ku claim hivyo ndiyo maana mwanzo nilikuomba UNAMBIGUOUS VERSE yoyote ile inayoonesha ali claim directly kwamba yeye ni Mungu its just that simple .

Kama aliweza ku claim umasihi basi sidhani kama kuna ugumu wa yeye ku claim uungu hadi ifike hatua ya kuacha mafumbo ambayo badaye miaka zaidi ya 500 walitokea watu wakaanza kufasiri na kujadili baadhi ya aya kwa uelewa wao (NARUDIA TENA KASOME KUHUSU CHALCEDONIAN BOX ) kitu kilichopelekea kumpatia uungu wakati mwanzo haikuwa hivyo .
 
Uthibitisho woote uliyoweka ni "Fulani anaelezea hivi" , "Fulani alitafasiri hivi " , "Alisema hivi hivyo inamaanisha yeye ni hivi " mkuu bado sijaona pahali umethibitisha uungu wake kwa sababu yeye mwenyewe hakuwahi ku claim hivyo ndiyo maana mwanzo nilikuomba UNAMBIGUOUS VERSE yoyote ile inayoonesha ali claim directly kwamba yeye ni Mungu its just that simple .

Kama aliweza ku claim umasihi basi sidhani kama kuna ugumu wa yeye ku claim uungu hadi ifike hatua ya kuacha mafumbo ambayo badaye miaka zaidi ya 500 walitokea watu wakaanza kufasiri na kujadili baadhi ya aya kwa uelewa wao (NARUDIA TENA KASOME KUHUSU CHALCEDONIAN BOX ) kitu kilichopelekea kumpatia uungu wakati mwanzo haikuwa hivyo .

Nimekupa maandiko, wewe unataka vipande vya maandiko

Mimi naamini Biblia yote kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo

Ninapojenga hoja natumia biblia nzima ,

Biblia inajitegemea yenyewe ,ndio maana umeona natembea kote kwa Ezekiel na Daniel ,Daudi ,kabla ya Yesu ,nimekuja kwa Yohana ,Mathayo baada ya Yesu

Wewe kama huamini biblia nzima ,sema Ijulikane

Naweza kujenga hoja ya UUNGU wa Yesu kuanzia Asubuhi Hadi jioni ,

Nilikuuliza swali hukujibu

Zaburi inasema MUNGU,MUNGU WAKO AMEKUTIA MAFUTA ...

Nimejibu hoja zako zote

Nimekupa mifano ya Sifa za Mungu ndio hizo hizo anazo Yesu Tena kwa maandiko

Nilitegemea uje ujibu hoja zangu kwa kukanusha kwa maandiko

Zaidi umekuja kukana kuwa hutaki maandiko ya manabii wengine wakithibitisha Yesu ni Mungu unataka Yesu aseme Mimi ni Mungu ,

Hii ni wazi umeishiwa hoja ,kama utakuja hapa ,njoo jibu hoja zangu moja moja kwa maandiko

Kama hauamini Biblia yote unaamini vipande ,basi funga mjadala ,aje anayeamini Biblia nzima .
 
Back
Top Bottom