Kwanini Israel haina mpango wa kuifuta Hesbullah kama Hamas?

Kwanini Israel haina mpango wa kuifuta Hesbullah kama Hamas?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
 
Tayari mashambulizi dhidi ya hao magaidi wa Hezbola yameshaanza na wamekiri kwamba wapiganaji wao 14 tayari wameshauliwa na jeshi la Israel.

Huko Lebanon tayari kunawaka moto na raia zaidi ya 4,000 wameshahama maeneo yao kuepuka mashambulizi makali ya ndege za Israel.

Itakumbukwa kwamba leo ndio Israel imeanza rasmi mashambulizi ya anga dhidi ya magaidi ya Hezbola kwani kabla ya hapo Israel imekuwa ikijibu mashambulizi kwa kutumia mizinga tu.
 
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
Hesbullah ndio kitu gani?
 
Hamasi kamshindwa atamuweza Hezbullah 😂

Wavaa nepi wameisha anza kuomba nchi ziwasaidie matekwa wao warudishwe, kwanza hututaki mpaa tuwamalize Hamasi, ohh sijui Amerika anatusaidia tutamaliza hizo underground bunker leo wamebadilisha Wimbo wa tarabu 😂

Narudia tena Israel kupigana tu na Hamasi mpaa America, Muingereza, Mfaransa, Mjeruman na Mkanada wamemsaidie na hatujui labda Italy, Australia, South Korea, na Japani wanamsaidia na badhi ya nchi za kinafiki za kiarabu 😂
 
Tayari mashambulizi dhidi ya hao magaidi wa Hezbola yameshaanza na wamekiri kwamba wapiganaji wao 14 tayari wameshauliwa na jeshi la Israel.

Huko Lebanon tayari kunawaka moto na raia zaidi ya 4,000 wameshahama maeneo yao kuepuka mashambulizi makali ya ndege za Israel.

Itakumbukwa kwamba leo ndio Israel imeanza rasmi mashambulizi ya anga dhidi ya magaidi ya Hezbola kwani kabla ya hapo Israel imekuwa ikijibu mashambulizi kwa kutumia mizinga tu.
Israeli losses suffered from Hezbollah attacks so far:

  • 40 IDF deaths
  • 12 Merkavas destroyed
  • At least 2 APCs destroyed
  • At least 1 Hummer destroyed
  • At least 20 radar and surveillance sites destroyed

Source: PressTV & Al-Mayadeen
 
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
Waivamie Kama walivyofanya hamas ndipo utawafahamu vzr wayaudi
 
Israeli losses suffered from Hezbollah attacks so far:

  • 40 IDF deaths
  • 12 Merkavas destroyed
  • At least 2 APCs destroyed
  • At least 1 Hummer destroyed
  • At least 20 radar and surveillance sites destroyed

Source: PressTV & Al-Mayadeen
Hiyo source ni wahuni tu na magaidi, hakuna anayeweza kuiamini.
 
Tayari mashambulizi dhidi ya hao magaidi wa Hezbola yameshaanza na wamekiri kwamba wapiganaji wao 14 tayari wameshauliwa na jeshi la Israel.

Huko Lebanon tayari kunawaka moto na raia zaidi ya 4,000 wameshahama maeneo yao kuepuka mashambulizi makali ya ndege za Israel.

Itakumbukwa kwamba leo ndio Israel imeanza rasmi mashambulizi ya anga dhidi ya magaidi ya Hezbola kwani kabla ya hapo Israel imekuwa ikijibu mashambulizi kwa kutumia mizinga tu.
"Na tutampiga yeyote anayeleta jeuri mbele yetu " by Netanyahu
 
Pole Sana mkuu . Tumuombe Allah azidi kuwapigania ndugu zetu katika imaan 😭😭😭
Hamasi kamshindwa atamuweza Hezbullah 😂

Wavaa nepi wameisha anza kuomba nchi ziwasaidie matekwa wao warudishwe, kwanza hututaki mpaa tuwamalize Hamasi, ohh sijui Amerika anatusaidia tutamaliza hizo underground bunker leo wamebadilisha Wimbo wa tarabu 😂

Narudia tena Israel kupigana tu na Hamasi mpaa America, Muingereza, Mfaransa, Mjeruman na Mkanada wamemsaidie na hatujui labda Italy, Australia, South Korea, na Japani wanamsaidia na badhi ya nchi za kinafiki za kiarabu 😂
 
Israeli losses suffered from Hezbollah attacks so far:

  • 40 IDF deaths
  • 12 Merkavas destroyed
  • At least 2 APCs destroyed
  • At least 1 Hummer destroyed
  • At least 20 radar and surveillance sites destroyed

Source: PressTV & Al-Mayadeen
Huu ni uongo.
 
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
Israel ni mashoga tu , hawawezi kupigana mpaka wasaidiwe na mabasha zao Marekani, kama wanaume kweli waingie Gaza kwa miguuu
 
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
hawajawatonya tu hezbullah ila wapo kwenye mpango huo. mpango wao wakimalizana na hamas wanaenda lebanon, na ndio maana hata wayahudi wa kaskazini wamekuwa evacuated.
 
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.

Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni jeshi la kisasa na ndio hatarishi kwa usalama wao kuliko Hamas.

Na leo nimemsoma kamanda wa IDF anashauri wahairishe kwanza kuifuta Hamas waelekeze nguvu kujilinda na Hesbullah kaskazini.

Kwa nini Israel kwa Kushirikiana na US wasianze kuifuta Hesbullah kwanza maana kwa mtazamo wangu naona hao mabingwa ndio hatari zaidi. Nakumbuka walipigana miaka flani ngoma ikawa kama droo hadi mapigano yakasitishwa kwa makubaliano.
sasa hivi Hisbollah hachomoi. hassan naslalah anatafuta kazi ya ukonda Iran mapemaaa akijua yalomkuta Hamas yeyey hayakwepi
 
Israeli losses suffered from Hezbollah attacks so far:

  • 40 IDF deaths
  • 12 Merkavas destroyed
  • At least 2 APCs destroyed
  • At least 1 Hummer destroyed
  • At least 20 radar and surveillance sites destroyed

Source: PressTV & Al-Mayadeen
Hahaaaa!! Chanzo press Tv!!! Daaaa, hivi hicho kituo bado kipo? Daaa kuna mtangazaji mmoja mzungu(British) alikuwa anakipindi chake, ni mtia sumu balaa kwa US, hata akiuawa mwanajeshi mmoja wa US, kipindi cha vita ya huko Afghanistan, yeye atakwambia 100!!!
 
Back
Top Bottom