Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Kwa sasa sheria inasema Rais ndiye mdhamini wa ardhi yote, sasa hao wanaotaka kubadilisha hii sheria wanataka kuifanya iweje?
Wanataka Wageni na wafanya biashara waweze kumiliki zaidi ya watanzania ...yaani misingi ya rasilimali za tanganyika iwe ni miliki binafsi.
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Ni mjinga fulani anayejiamini bure tu. Connection za baba yake zilimfanya kua na ndoto kubwa kisiasa isiyostahili.
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
kakutuma?
unalipwa sh ngapi?
 
Mwaka 2024 hakukuwa na mgao rasmi wa kukera wa umeme, ashukuriwe aliyeharibu mazingira ili tupate umeme wa uhakika.
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Kwahiyo unakuri kua wote nimafisadi😄😄na by the way ni lini alikua anakubalika na nani alikua anamkubali?
 
Yap yaleyale ya Lowassa ndo wantaka yamkute January Propaganda za kipumbavu mzee Lowasa mwishowe kafa waliomuita fisadi ndo wanasema yalikua mambo ya siasa
Tena Lowassa aliitwa fisadi kuliko hata January, Lakini alisimama na wananchi wakamkubali....
 
Wanataka Wageni na wafanya biashara waweze kumiliki zaidi ya watanzania ...yaani misingi ya rasilimali za tanganyika iwe ni miliki binafsi.
Kwa maana hiyo lazima wabadili katiba? Au baadhi ya vifungu vya sheria?
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Sio mtendaji yani akikaa sehem malalamiko kibao hakuna linaloenda,
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
muulize
 
Back
Top Bottom