boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Yap yaleyale ya Lowassa ndo wantaka yamkute January Propaganda za kipumbavu mzee Lowasa mwishowe kafa waliomuita fisadi ndo wanasema yalikua mambo ya siasaJanuary anachukiwa na wanao mchukia hawajui wanamchukia kwa sababu gani.