Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Kwa vile JPM alimshindwa, na alitoa ushahidi kwanini J hafai. Toka hapo. hiyo laana inamtesa.Unaweza kufafanua ni kwanini anakuwa adui wa uzalendo? Au aliwahi kuhatarisha amani ya taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vile JPM alimshindwa, na alitoa ushahidi kwanini J hafai. Toka hapo. hiyo laana inamtesa.Unaweza kufafanua ni kwanini anakuwa adui wa uzalendo? Au aliwahi kuhatarisha amani ya taifa?
Wewe na makamba ni mbwa kokoNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Ulisha ona wapi ,watu,jamii wakamwelewa msela,mhuni,mwenye mafanikio ya kustukiza,wakujimwambafai,siyenaushirikiano na jamii yake au mnyanyua makwapa a.k.a mambega?Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Wanaomchukia ni mangedere tu pamoja na vyura wao wote ni mazuzuNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Genge la raia feki ndiyo linaongoza serikali kwa sasa lipo ndani ya serikali na ndani ya siasa (ccm)...ni raia feki walio jiingiza kwenye siasa na serikali lengo lao kuu ni kuvuna pesa na kuifanya serikali kuwa mali yao binafsi na familia zao ...kwa sasa wanafanya mchakato wa kufuta sheria za ulinzi wa ardhi na rasilimali ili waweze kumiliki wao hizo rasilimali.Hilo genge feki naamini asilimia kubwa lipo nje ya serikali, pia usisahau ndani ya serikali kuna genge hatari zaidi kuliko hilo, (The kitchen cabinet)
Ndyomaana nadhani kuna sababu nyuma ya paazia, sio rahisi kusambaza chuki kwa mtu ambaye inaonekana ana nafasi au ushawahiWakati mwingine wanasiasa walewale wanachafuana wenyewe, hasa wanapomwona mmojawao njia imemnyookea ileee moja kwa moja hadi ikulu.
Ukiwa smart kwenye ulimwengu wa wajinga lazima utaambulia chukiChichiem na watu smart kichwani ni mbingu na ardhi...hata mm sijajuaga why jamaa anashambuliwaga sana sijawah ona kosa lake
Mfano??Lakini yapo mazuri aliyowahi kufanya
Mkuu, kwani tiketi ya urais wanatoa katoliki? Au mimi ndyo sijaelewaJamaa ni kezi sana hako sasa hivi kamebadili DINI kwamba kawe ka katolik ili kagombee 😂
Unaweza kuthibitisha usela na uhuni wake upo wapi? Au kitu gani aliwahi kusema au kufanya mpaka unamwita msela?Ulisha ona wapi ,watu,jamii wakamwelewa msela,mhuni,mwenye mafanikio ya kustukiza,wakujimwambafai,siyenaushirikiano na jamii yake au mnyanyua makwapa a.k.a mambega?
Kwa sasa sheria inasema Rais ndiye mdhamini wa ardhi yote, sasa hao wanaotaka kubadilisha hii sheria wanataka kuifanya iweje?...kwa sasa wanafanya mchakato wa kufuta sheria za ulinzi wa ardhi na rasilimali ili waweze kumiliki wao hizo rasilimali.
Ukisikia jambo fanyia utafiti ndio ulete uzi,watu wakiongea ujue Kuna mambo wameyaonaNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Mambo gani? Kama ni ufisadi nani ambaye hafanyi katika serikali hii ya kula kwa urefu wa kamba?Ukisikia jambo fanyia utafiti ndio ulete uzi,watu wakiongea ujue Kuna mambo wameyaona
Kwa mfano nikakuambia ni Fisadi ww unapungukiwa au unaongezeka nn?Mambo gani? Kama ni ufisadi nani ambaye hafanyi katika serikali hii ya kula kwa urefu wa kamba?
Lini amebadili dini ?Jamaa ni kezi sana hako sasa hivi kamebadili DINI kwamba kawe ka katolik ili kagombee 😂
Nimeshangaa hawataki TAKUkuru iwajibike wakati huu michakato ya Uchaguzi, baada ya Uchaguzi wanaanza kura zinechakachuliwa!!! Wanachosha!Sio serikalini hata wasio shika serikali ni mafisadi muite mwenyekiti aje akemee ufisadi kama anaweza
Hakuna asiye fisadi katika serikali yetu, hata wewe ukipata nafasi ghafla tutaona ukwasi umekujaaKwa mfano nikakuambia ni Fisadi ww unapungukiwa au unaongezeka nn?