Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Wewe na makamba ni mbwa koko
 
Wakati mwingine wanasiasa walewale wanachafuana wenyewe, hasa wanapomwona mmojawao njia imemnyookea ileee moja kwa moja hadi ikulu.
 
Jamaa ni kezi sana hako sasa hivi kamebadili DINI kwamba kawe ka katolik ili kagombee 😂
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Ulisha ona wapi ,watu,jamii wakamwelewa msela,mhuni,mwenye mafanikio ya kustukiza,wakujimwambafai,siyenaushirikiano na jamii yake au mnyanyua makwapa a.k.a mambega?
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Wanaomchukia ni mangedere tu pamoja na vyura wao wote ni mazuzu
 
Hilo genge feki naamini asilimia kubwa lipo nje ya serikali, pia usisahau ndani ya serikali kuna genge hatari zaidi kuliko hilo, (The kitchen cabinet)
Genge la raia feki ndiyo linaongoza serikali kwa sasa lipo ndani ya serikali na ndani ya siasa (ccm)...ni raia feki walio jiingiza kwenye siasa na serikali lengo lao kuu ni kuvuna pesa na kuifanya serikali kuwa mali yao binafsi na familia zao ...kwa sasa wanafanya mchakato wa kufuta sheria za ulinzi wa ardhi na rasilimali ili waweze kumiliki wao hizo rasilimali.
 
Wakati mwingine wanasiasa walewale wanachafuana wenyewe, hasa wanapomwona mmojawao njia imemnyookea ileee moja kwa moja hadi ikulu.
Ndyomaana nadhani kuna sababu nyuma ya paazia, sio rahisi kusambaza chuki kwa mtu ambaye inaonekana ana nafasi au ushawahi
 
Ulisha ona wapi ,watu,jamii wakamwelewa msela,mhuni,mwenye mafanikio ya kustukiza,wakujimwambafai,siyenaushirikiano na jamii yake au mnyanyua makwapa a.k.a mambega?
Unaweza kuthibitisha usela na uhuni wake upo wapi? Au kitu gani aliwahi kusema au kufanya mpaka unamwita msela?
 
...kwa sasa wanafanya mchakato wa kufuta sheria za ulinzi wa ardhi na rasilimali ili waweze kumiliki wao hizo rasilimali.
Kwa sasa sheria inasema Rais ndiye mdhamini wa ardhi yote, sasa hao wanaotaka kubadilisha hii sheria wanataka kuifanya iweje?
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Ukisikia jambo fanyia utafiti ndio ulete uzi,watu wakiongea ujue Kuna mambo wameyaona
 
Back
Top Bottom