boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Yap yaleyale ya Lowassa ndo wantaka yamkute January Propaganda za kipumbavu mzee Lowasa mwishowe kafa waliomuita fisadi ndo wanasema yalikua mambo ya siasaJanuary anachukiwa na wanao mchukia hawajui wanamchukia kwa sababu gani.
Wanataka Wageni na wafanya biashara waweze kumiliki zaidi ya watanzania ...yaani misingi ya rasilimali za tanganyika iwe ni miliki binafsi.Kwa sasa sheria inasema Rais ndiye mdhamini wa ardhi yote, sasa hao wanaotaka kubadilisha hii sheria wanataka kuifanya iweje?
Ni mjinga fulani anayejiamini bure tu. Connection za baba yake zilimfanya kua na ndoto kubwa kisiasa isiyostahili.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
kakutuma?Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
utasuburi sanaHama TANZANIA 🇹🇿 maana hakwepeki ni swala la mda tu. Time will tell!
Kwahiyo unakuri kua wote nimafisadi😄😄na by the way ni lini alikua anakubalika na nani alikua anamkubali?Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
kwa baba yake na mama yakeUnahisi wapi anakopendwa?
Tena Lowassa aliitwa fisadi kuliko hata January, Lakini alisimama na wananchi wakamkubali....Yap yaleyale ya Lowassa ndo wantaka yamkute January Propaganda za kipumbavu mzee Lowasa mwishowe kafa waliomuita fisadi ndo wanasema yalikua mambo ya siasa
Kwa maana hiyo lazima wabadili katiba? Au baadhi ya vifungu vya sheria?Wanataka Wageni na wafanya biashara waweze kumiliki zaidi ya watanzania ...yaani misingi ya rasilimali za tanganyika iwe ni miliki binafsi.
Hakuna aliye nituma, kwanza mimi ni nani mpaka nitumwe, hata balozi wa nyumba kumi hanijuikakutuma?
unalipwa sh ngapi?
Jamaa hajawahi kubadili dini sema mama yake ni mkatoliki tunasali nae parokia ya WazoJamaa ni kezi sana hako sasa hivi kamebadili DINI kwamba kawe ka katolik ili kagombee 😂
Sio mtendaji yani akikaa sehem malalamiko kibao hakuna linaloenda,Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Wapuuzi!Nimeshangaa hawataki TAKUkuru iwajibike wakati huu michakato ya Uchaguzi, baada ya Uchaguzi wanaanza kura zinechakachuliwa!!! Wanachosha!
muulizeNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.