Haha haha haanenda kafanye research kwenye tovuti mbali mbali za vita na historia utapata ukweli.
USA alikimbia uwanja wa vita vetnam na kusepa baada ya kuuwawa wanajeshi wake 50,000
Na majenerali 12.
Hiyo ndio vita pekee ambayo USA walikubali kukimbia uwanja wa vita
bila marekani kuwa nuke wale ingekua shida kuna sehemu waliwa train had raia kua wakifika wanajeshi wa maeekani walikua wanashambuliwaMiungu ya Samurai wa kijapan unajua au unaisikia. Imani kali wale Hamas warudi darasani.
shidaWalevi
Samurai sio mchezo; mambo ya imani ni hatari.bila marekani kuwa nuke wale ingekua shida kuna sehemu waliwa train had raia kua wakifika wanajeshi wa maeekani walikua wanashambuliwa
Ndo yukoje uyoSamurai sio mchezo; mambo ya imani ni hatari.
Haha haha haa
Sina ninachojua bro
Chanzo cha hiyo vita ni nini bro?Kuna jenerali tegemezi aliuwawa anaitwa Major General George William Casey Sr
raia wa marekani wakaanza maandamano kwamba ndugu zao warudishwe marekani..
Maana kama mpaka majenerali wanauwawa hiyo vita ni ngumu
Marekani waliivamia vietnamChanzo cha hiyo vita ni nini bro?
Lazma kuwe na chanzo mkuuMarekani waliivamia vietnam
mkuu si una bundle ingia hapo google usome huu si uzi wa vietnam warLazma kuwe na chanzo mkuu
Chanzo cha hiyo vita ni nini bro?
kuhusu VIETNAM ni uhalisia hizo movie na kuna MOVIE baadhi serikali ilizipiga marufuku zisitolewe lakini zikatolewa kibingwaKuhusu Vietnam bila shaka muvi zimekudanganya sana
Ahsante!! Kuna mdau hapo juu naona amepoteanaVita ilikuwa ya wenyewe kwa wenyewe vietnam ya kusini na Vietnam ya kaskazini.. kuna upande ulitaka vietnam iwe nchi ya kibepari na upande mwingine ulitaka vietnam iwe nchi ya kijamaa..
Marekani akaenda kusaidia jeshi la vietnam ya kusini ili alinde maslahi yake ya ubepari.
Shida alipofika vitani raia wa vietnam wote wakamgeuka wa kusini na kaskazini wakaanza kumbonda mmarekani kwa nini kavamia nchi yao huku vita sio yake .
Ndipo vita ikabadilika ikawa ya vietnam vs USA.
Wa vietnam walitumia mbinu ya kutoogopa kufa wengi ila wao waue wanajeshi wote muhimu wa marekani
Hivyo kila jenerali wa marekani aliyepelekwa vitani alikuwa anarudi kwenye jeneza kama maiti.
Ukishamuua jenerali kwenye vita wanajeshi wa chini wanakosa kiongozi.. hivyo unawaua kiurahisi
kumbe hujui chochote Kuhusu VIETNAM mzee halafu unabisha movie sijui zimefanyajeChanzo cha hiyo vita ni nini bro?
Ha ha hakumbe hujui chochote Kuhusu VIETNAM mzee halafu unabisha movie sijui zimefanyaje
hivi unajua kwamba MAHALAMIA WAFARANSA ndio wakwanza kupigana na wavete baada kula kichapo ndo wakaja WAMAREKANI nao wakala KICHAPO
Jidanganye kwa stories za vijiweni mkishiba mihogo na chachandu. Jidanganye tu.Kushinda vita siyo Nguvu,siyo silaha,Siyo technology!
Kati ya kitu ambacho kinahitajika kwene mapigano yyte yale n SPIRIT /IMANI.
Imani yakutoshindwa, Imani ya kutoa kila ulicho nacho kupigana
Imani ya kutumia mbinu zote ulizonazo.
Najua wajuaji watabisha ila NIAMININI MM! Kati ya vitu hatari duniani ni kupoteza iman.
Mifano:
Nani alijua Marekani ingeshindwa na Vietnam??
Nani alijua Hamas leo bado watakua hai wanajipanga kukinukisha tena ( mi siyo shabiki wa hili kundi n mfano)
Nani alijua Marekani na Soviet zingeshindwa afghastan nani??
Nani alijua kama Korea Kasikazini ingewashinda Marekani na Korea kusini pamoja na maelfu ya mabomu.
Ama nani alijua kama Fidel castro wa nchi ndogo kama pilitoni Cuba angewashinda marekani kwa miaka yake yote.
Mifano ni endless
Nani alijua hayo!!
NAKILI KUSEMA JESHI LA KONGO NI DHAIFU KWASABABU LIMEKOSA IMANI MORALI NA HALIJITOI KWA KILA KITU KISHINDA.
Blue Lee kutoka china Mtaalam wa Kung fu duniani aliwai kusema:
“HAPA DUNIANI NAMUOGOPA MTU MMOJA TU, YE ALIYETAYARI KUTOA KILA KITU ILI KUSHINDA”
Kweli waasi wanaingia mjini na mabasi raia wanaangalia Hamna hata kuvamia gari kwa mawe mapanga na kila siraha.
Hamna hata wakujilipua bomu hapo kufa na waasi mia.
Wakongo mmetuangusha sana
Hamna vita inayopiganwa kwa kuogopa kufa hyo vita hushindiJidanganye kwa stories za vijiweni mkishiba mihogo na chachandu. Jidanganye tu.
Ww endelea kuangalia joti huko kuzitoNdo yukoje uyo