Kwanini Jeshi la kongo au watu wakongo hawapigani kama Hamas au Wavietnam? Ni dhaifu kiasi hicho? woga au ni kukosa imani

Kwanini Jeshi la kongo au watu wakongo hawapigani kama Hamas au Wavietnam? Ni dhaifu kiasi hicho? woga au ni kukosa imani

nenda kafanye research kwenye tovuti mbali mbali za vita na historia utapata ukweli.

USA alikimbia uwanja wa vita vetnam na kusepa baada ya kuuwawa wanajeshi wake 50,000

Na majenerali 12.

Hiyo ndio vita pekee ambayo USA walikubali kukimbia uwanja wa vita
Haha haha haa

Sina ninachojua bro
 
Miungu ya Samurai wa kijapan unajua au unaisikia. Imani kali wale Hamas warudi darasani.
bila marekani kuwa nuke wale ingekua shida kuna sehemu waliwa train had raia kua wakifika wanajeshi wa maeekani walikua wanashambuliwa
 
Haha haha haa

Sina ninachojua bro

Kuna jenerali tegemezi aliuwawa anaitwa Major General George William Casey Sr

raia wa marekani wakaanza maandamano kwamba ndugu zao wanajeshi warudishwe marekani.. hawataki vita tena.

Maana kama mpaka majenerali wanauwawa hiyo vita ni ngumu
 
Kuna jenerali tegemezi aliuwawa anaitwa Major General George William Casey Sr

raia wa marekani wakaanza maandamano kwamba ndugu zao warudishwe marekani..

Maana kama mpaka majenerali wanauwawa hiyo vita ni ngumu
Chanzo cha hiyo vita ni nini bro?
 
Chanzo cha hiyo vita ni nini bro?

Vita ilikuwa ya wenyewe kwa wenyewe vietnam ya kusini na Vietnam ya kaskazini.. kuna upande ulitaka vietnam iwe nchi ya kibepari na upande mwingine ulitaka vietnam iwe nchi ya kijamaa..

Marekani akaenda kusaidia jeshi la vietnam ya kusini ili alinde maslahi yake ya ubepari.

Shida alipofika vitani raia wa vietnam wote wakamgeuka wa kusini na kaskazini wakaanza kumbonda mmarekani kwa nini kavamia nchi yao huku vita sio yake .

Ndipo vita ikabadilika ikawa ya vietnam vs USA.

Wa vietnam walitumia mbinu ya kutoogopa kufa wengi ila wao waue wanajeshi wote muhimu wa marekani

Hivyo kila jenerali wa marekani aliyepelekwa vitani alikuwa anarudi kwenye jeneza kama maiti.

Ukishamuua jenerali kwenye vita wanajeshi wa chini wanakosa kiongozi.. hivyo unawaua kiurahisi
 
Kuhusu Vietnam bila shaka muvi zimekudanganya sana
kuhusu VIETNAM ni uhalisia hizo movie na kuna MOVIE baadhi serikali ilizipiga marufuku zisitolewe lakini zikatolewa kibingwa
7bu kubwa marekani kushindwa VIETNA ilikuwa JIOGRAFIA ya misitu na JINGINE wanajiji walikuwa wanawasnitch WAMAREKANI utakuja KIJIJI kina VIBIBI wanaishi kwenye VIJUMBA vimechoka ni kama wamekata tamaa na VITA na maisha kumbe chini ya hiyo NYUMBA kuna HANDAKI na kuna mzigo wa kutosha wa SILAHA hatari na wanajeshi KIBAO ambao kuna wakati ukikutana nao kwenye MSITU na mikofia yao unashindwa kutofautisha kati ya WANAJESHI na RAIA
zaidi ni kuwa walikuwa wanapata SUPORT KUBWA ya toka CHINA na USSR kipindi hicho

zipo MOVIE zaidi ya 10 based on true story kilichowakuta WAMAREKANI vietnam
ni moja kati ya VITA ambazo hawawezi sahau kabisa na hawatarudia tena huo upuuzi
hii ndio VITA iliyosababiaha mpk JFK kudedishwa
 
Vita ilikuwa ya wenyewe kwa wenyewe vietnam ya kusini na Vietnam ya kaskazini.. kuna upande ulitaka vietnam iwe nchi ya kibepari na upande mwingine ulitaka vietnam iwe nchi ya kijamaa..

Marekani akaenda kusaidia jeshi la vietnam ya kusini ili alinde maslahi yake ya ubepari.

Shida alipofika vitani raia wa vietnam wote wakamgeuka wa kusini na kaskazini wakaanza kumbonda mmarekani kwa nini kavamia nchi yao huku vita sio yake .

Ndipo vita ikabadilika ikawa ya vietnam vs USA.

Wa vietnam walitumia mbinu ya kutoogopa kufa wengi ila wao waue wanajeshi wote muhimu wa marekani

Hivyo kila jenerali wa marekani aliyepelekwa vitani alikuwa anarudi kwenye jeneza kama maiti.

Ukishamuua jenerali kwenye vita wanajeshi wa chini wanakosa kiongozi.. hivyo unawaua kiurahisi
Ahsante!! Kuna mdau hapo juu naona amepoteana
 
Chanzo cha hiyo vita ni nini bro?
kumbe hujui chochote Kuhusu VIETNAM mzee halafu unabisha movie sijui zimefanyaje

hivi unajua kwamba MAHALAMIA WAFARANSA ndio wakwanza kupigana na wavete baada kula kichapo ndo wakaja WAMAREKANI nao wakala KICHAPO
 
kumbe hujui chochote Kuhusu VIETNAM mzee halafu unabisha movie sijui zimefanyaje

hivi unajua kwamba MAHALAMIA WAFARANSA ndio wakwanza kupigana na wavete baada kula kichapo ndo wakaja WAMAREKANI nao wakala KICHAPO
Ha ha ha

Mahalamia❌
Maharamia✅
 
Kushinda vita siyo Nguvu,siyo silaha,Siyo technology!

Kati ya kitu ambacho kinahitajika kwene mapigano yyte yale n SPIRIT /IMANI.

Imani yakutoshindwa, Imani ya kutoa kila ulicho nacho kupigana
Imani ya kutumia mbinu zote ulizonazo.

Najua wajuaji watabisha ila NIAMININI MM! Kati ya vitu hatari duniani ni kupoteza iman.

Mifano:
Nani alijua Marekani ingeshindwa na Vietnam??

Nani alijua Hamas leo bado watakua hai wanajipanga kukinukisha tena ( mi siyo shabiki wa hili kundi n mfano)

Nani alijua Marekani na Soviet zingeshindwa afghastan nani??

Nani alijua kama Korea Kasikazini ingewashinda Marekani na Korea kusini pamoja na maelfu ya mabomu.

Ama nani alijua kama Fidel castro wa nchi ndogo kama pilitoni Cuba angewashinda marekani kwa miaka yake yote.

Mifano ni endless

Nani alijua hayo!!

NAKILI KUSEMA JESHI LA KONGO NI DHAIFU KWASABABU LIMEKOSA IMANI MORALI NA HALIJITOI KWA KILA KITU KISHINDA.

Blue Lee kutoka china Mtaalam wa Kung fu duniani aliwai kusema:

“HAPA DUNIANI NAMUOGOPA MTU MMOJA TU, YE ALIYETAYARI KUTOA KILA KITU ILI KUSHINDA”

Kweli waasi wanaingia mjini na mabasi raia wanaangalia Hamna hata kuvamia gari kwa mawe mapanga na kila siraha.

Hamna hata wakujilipua bomu hapo kufa na waasi mia.
Wakongo mmetuangusha sana
Jidanganye kwa stories za vijiweni mkishiba mihogo na chachandu. Jidanganye tu.
 
Back
Top Bottom