Kwanini jezi za yanga za watoto hazina tangazo la sportpesa ila zinatangazo la gsmfoam mgongoni?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Wote ni wadhamini wa yanga kwanini tangazo hili la sportpesa wamelitoa kwa jezi za watoto wadau huku la gsmfoam likibaki?
 
Wote ni wadhamini wa yanga kwanini tangazo hili la sportpesa wamelitoa kwa jezi za watoto wadau huku la gsmfoam likibaki?
kila timu itavaa TU gsm kama maji isipo kunywa utayaoga
 
kamari hairuhusiwi.kwa binadamu yyte yule sema matamanio ya watu tuu ila kamari ni HARAMUUUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…