Kwanini Jf imejaa member waoga ?

Hahahhaa emu na mi nizime iyo kamera ya mbele,unaeza kutwa tunakenua hapa kumbe wanatuchora vizuri sana.

Turn off your location kabisa[emoji23][emoji23]
 
Wasiojulikana wamo humu.
 
Facebook mmekamata watu wengi mno, sasa mnajaribu kutega mitego hadi huku!!!!

Mkuu, mjaribu kutofautisha kazi zenu na utu wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…