Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Hahahhaa emu na mi nizime iyo kamera ya mbele,unaeza kutwa tunakenua hapa kumbe wanatuchora vizuri sana.Mimi sasa hivi nilishazima hata kamela yangu ya mbele
Hawa watu hawachelewi kutuhaiti hapa.
Hawajui tunajaribu angalau kumsaidia Melo kutuficha??
Hawajui kama hata gwanda za jeshi zimetawaliwa na kijani ili iwe rahisi kujificha vichakani!?
Utasikia futia kio cha simu yako kwa nywele na upige picha vidole gumba?
Sasa hivi tutazikimbia hizi simu za kugusa, make hawa ambao wanadumisha urafiki na mchina asee wanaweza fanya maajabu yao
Wasiojulikana wamo humu.Unaweza mkuta member wa Jf anatumia mitandao mingine kama facebook,twiter na kwingine lakini kote huko anatumia jina lake halisi na ameweka hata baadhi ya taarifa zake wazi.
lakini unapokuja ndani ya himaya ya maGREAT THINKER wengi wao ni waoga hata kuweka majina yao au picha zao au hata kueleza walikosoma,wanakoishi au hata wanakopendelea kutembelea.
hapo bado utakuta member wengi siyo wanaopost labda thread za kutisha ama kukosoa serikali,lah.
KWANINI HAYO HUTOKEA AU KWA SABABU YA SHERIA YA Jf KURUHUSU FAKE ID ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwezi twin maanaaTwin ukiambiwa weka picha ya kisogo chako kataa
Nataka niipigie puchuUtaota usiku