Kwanini JF?

Eshacky Nimependa insight umetupatia na nashukuru
umefurahia thread.. naona hapo kibonde nami niko kwenye
kundi hata kama nilikua sijajiunga.. i can't stand him!
Na hio topic...mmmh... sina la kusema!

Thank you for sharing...
ila kna kitu kinanishinda ku PM, nimejaribu mara nyingi ila nashanga sipati reply, hata nikiangalia sent item yng haina k2, sa sielew sbb natumia simu ama cja master ktk ku pm, plzz msaada, sbb huwa napata shind personal so najarbu ku pm mtu nayemwona ana busara ila mwisho sifanikiwi. Hope umenielewa.
 

dahhh nawe bwana ..
maswali gani haya jamani?
 
Mie sababu nimeisahau maana muda kidogo hembu ngoja nikumbuke

Nitakwambia
 


:doh: Nita ku PM....
 


Sijui kama nitakuelewesha vizuri najaribu...


  • Ukisha log in katika tool bar ya juu kabisa kuna sehemu ina display Jina lako na option ya settings, uki select settings utakuta hizo options upande we kushoto kwa - iki indicate inbox, sent items na send new message ikiwa chini ya MY MESSAGES... uki click send new msg naamini utaweza...
  • Au waweza enda katika profile yako nayo upande wa kushoto chini ya profile picture kuna option ya kutuma message... pia ukifika hapo waweza fanikiwa...
Sijui nyingine kama kuna mtu anajua NAOMBA MSAADA wa kumuelewesha...
 
Ahsante sana Asha D. Mi nilibahatika kuwa kila siku natumiwa summary ya JF. Kwa sababu ya ushamba wa kutumia net, nilikuwa nashindwa kuingia na kuchangia. Wakati unadiscus na mshua mmoja, ndo akanielekeza jinnsi ya kuwa member. Tena siku hiyo nikapiga story ya Dreva kumewa na chatu wakati akijisaidia kichakani. Mwanangu tangu hapo JF ikashika kasi.

Sijui bila JF ningekuwa wapi??
 
asha d na wanajf,ka sa hv nko kwenye kakitanda changu afta kakaz kangu ndo na2liza akili yangu kwenye hii mambo,cku hyo nashawishika kujiunga nliona chali angu pemben anakenua kenua kila mara asomapo kwenye cmu,nkataka jua why,si ndo ananichana kuwa kuna ki2 inaitwa jf,ukijiunga hutojuta,ama kweli huku ni nyumbani cwez juta kujiunga,mana nkitaka cheka nacheka,nkitaka kuwa serious nakua,na nkitaka kuumia hisia naumia,nkitaka mambo matamu najua ntapata wapi,real jf is hme of expresions
 


Nyange nashukuru kwa shukrani zako... na
nafurahi you are enjoying for i am too...

Thank you for sharing...
 
mpenzi itabidi unipe number ya simu
nikueleze maana itanichukua 42/7
kuorodhesha kwa nini
hahahahah lol
Nijuacho nimekosa mume ajili ya JF mmmhh


AD,

Kuku huwa wanaingia ndani jua likizama bila kujali kama kuna mwanga au la....Usiwe na haraka ya kutimua kwa kukibia giza uchwara.....Naamini kumkosa mume kwa muda ndo anakuja hivyo!!

It is never too late.....!!

Mzee DC!
 
AD,

Kuku huwa wanaingia ndani jua likizama bila kujali kama kuna mwanga au la....Usiwe na haraka ya kutimua kwa kukibia giza uchwara.....Naamini kumkosa mume kwa muda ndo anakuja hivyo!!

It is never too late.....!!

Mzee DC!

mmhh
mzee DC naona umenianzia tena kuhusu mume
mie sitafuti na kama umesoma nilivyojibu utaona nimesema
natania ...

Asante kwa maoni lakini..
 



Yaani hayo maneno kama naongea mimi vile Bia...
i get kabisa poze na mood zinavyo cheza nafasi yake...

Thank you for sharing...
 
Mimi nilikuwa natafuta kitu kwenye google nikaangukia JF, nilipojaribu kutoka nikashindwa. Yaani kama mtu aliyepita karibu na mzinga wa nyuki akapiga miayo halafu kwa bahati tu asali ikadondokea mdomoni, Atatema? Naipenda nimehama kabisa FACE BOOK.
 
mmhh
mzee DC naona umenianzia tena kuhusu mume
mie sitafuti na kama umesoma nilivyojibu utaona nimesema
natania ...

Asante kwa maoni lakini..


Usijali mdogo wangu,

Ni matatizo ya uzee...Kila kitu tunakiangalia kwa jicho la 1947!!!
 
Mimi nilikuwa natafuta kitu kwenye google nikaangukia JF, nilipojaribu kutoka nikashindwa. Yaani kama mtu aliyepita karibu na mzinga wa nyuki akapiga miayo halafu kwa bahati tu asali ikadondokea mdomoni, Atatema? Naipenda nimehama kabisa FACE BOOK.


Gazeti tuko pamoja mimi sigusi Face book, No privacy...


Thank you for sharing...
 
Usijali mdogo wangu,

Ni matatizo ya uzee...Kila kitu tunakiangalia kwa jicho la 1947!!!

Kheshima yako bado iko
pale pale haita pungua labda
itaongezeka zaidi.. Nakumbuka ulinikaribisha
nikakuita babu sasa umezeeka zaidi tunakuita Mzee..
Na Uzee, Mzee kwangu mimi ni maneno mengine ya kusema
busara, hekima na uelewa.. kwa hiyo usijali kabisa Mkuu
Uzee wako ni faida kwa wengi ..
 
Code:
Kheshima yako bado iko 
pale pale haita pungua labda
itaongezeka zaidi.. Nakumbuka ulinikaribisha
nikakuita babu sasa umezeeka zaidi tunakuita Mzee..
Na Uzee, Mzee kwangu mimi ni maneno mengine ya kusema
busara, hekima na uelewa.. kwa hiyo usijali kabisa Mkuu 
Uzee wako ni faida kwa wengi ..

umri wako utaongezeka sana.kwa kuheshimu wa wazee....................keep it up...............TO OTHERS..................ila kuwaheshimu haimaanishi uwamegee........la hasha...........................................hapo utakuwa umewakosea adabu kabisa na siku zako hapa duniani zitapungua maradufu
 


Well said AD, nimebahatika saana kumuona Mzee DC at work
but ni observer mmoja matata saana hua haingilii kwa woote
but nimengundua the one anawajali lazima aingilie kati na
kutoa warning... sometimes in a mzaha way but very true....
 
huwa napenda sana majibu yako
lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu
mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho
we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani..
kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster
yangu amasivyo niruke tuuu..

asanteeeee
 
mimi sikumbuki ilikuwa vipi but kuna article ya blue ray kuhusu jk

inaitwa kikwete na haiba isiyo na sababu


duhhhhhhh

niliposoma hiyo article nikajiunga siku hiyo hiyo

pia na daudi balali na scandals zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…