Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 965
- 252
ila kna kitu kinanishinda ku PM, nimejaribu mara nyingi ila nashanga sipati reply, hata nikiangalia sent item yng haina k2, sa sielew sbb natumia simu ama cja master ktk ku pm, plzz msaada, sbb huwa napata shind personal so najarbu ku pm mtu nayemwona ana busara ila mwisho sifanikiwi. Hope umenielewa.Eshacky Nimependa insight umetupatia na nashukuru
umefurahia thread.. naona hapo kibonde nami niko kwenye
kundi hata kama nilikua sijajiunga.. i can't stand him!
Na hio topic...mmmh... sina la kusema!
Thank you for sharing...