Nakumbuka nilikuwa natafuta unlock code ya nokia yangu then google ikanipa link ya jf ambayo niliweza kupata solution ila kilichosababisha nijiunge nilikuta mtu anataka support ya serial number fulani ambazo nilikuwa nazo hivyo nilifanya registration ili kuweka post yangu na uzuri wa jf ni kuwa ukijisahau kidogo lazima upate mail. siku hizi lazima nifike humu daily... i love jf!
Hio ilinipush ni google kutaka nijue ni kitu gani, [COLOR=red]then nikaenda moja kwa moja kwenye International forum ambapo nilikutana na thread ambayo nilitaka saana nichangie sababu nilikua against na mtu alokua ametuma hio Thread (in fact alikua Rutashubanyuma) who ironically turned out to be one of my friends sasa… I had to register hapo hapo! [/COLOR]
Owwwkey!Partner me waiting for your sababu... bado unatafuta post ilo ku inspire??? Kuhusu CPU worry not i kno what he is doing na it is not harmful!
I am very proud to be one of your friends..................sikujua kumbe nina kamchango kidogo kwenye hilo......................well it is a pleasure kuwa kwenye nafasi hiyo ya kutoa changamoto....................................ukweli ninaafiki hoja zote za Asha D...................magazeti ya kawaida hayatoi nafasi kwa kila mtu kuongea aonavyo yanatawaliwa na wamiliki ambao wana ajenda zao za siri za kukuza masilahi yao kwa kuwafurahisha watawala.........lakini hapa JF.....it is all about what you think and willing to share.....................hakuna censorship...........................labda ujitakie mwenyewe na hata wakikuonea you can complain and they do listen...................................Malaria Sugu is a good example..........................he was banned for life but he is back.............................and kicking out his grumblings.........................about udini and ccm and nobody cares a hoot anymore..................it is a free World constrained by our love for one another...............................Code:Hio ilinipush ni google kutaka nijue ni kitu gani, [COLOR=red]then nikaenda moja kwa moja kwenye International forum ambapo nilikutana na thread ambayo nilitaka saana nichangie sababu nilikua against na mtu alokua ametuma hio Thread (in fact alikua Rutashubanyuma) who ironically turned out to be one of my friends sasa… I had to register hapo hapo! [/COLOR]
You haven't submitted a report on the Project:biggrin1::noidea::noidea::noidea::noidea:
Owwwkey!
Nilijiunga may 09 nadhani...nikachangia kizushi mpaka july 09 then nikaachana JF mpaka april 10 sijui nilikua nachungulia nini nikakutana na thread ya ‘The truth about beauty peagents‘ nikachangia kidogo ila iliyonitoa povu ni moja hivi ilikua inasema kwamba watoto wasiolelewa na baba zao hua wanakua kua anti-social!Nakumbuka nilibishana na mshkaji mpaka basi...sasa ndo nikaona owkey ngoja niangalie kama kuna mwingine anaeleta assumption za ajabu ajabu nipambane nae..MPAKA LEO NIPO!
mim nlikua nagoogle mambo ya kilimo,ndo nikajikuta naangukia humu ktk jukwaa la kilimo,sbb iliyonifanya nijiunge ni ile thread ya ufugaji wa kuku na ile topic ya mtaji wa milioni kumi,leo hii hata nikitaka kumsaidia mtu simsaidii tu kwa mtaji bali namshauri na aina za biashara anazoweza kufanya kulingana na kiasi kilichopo.
Hongera Asha kwa post yako,mi binafsi nilikuwa natembelea humu-kama guest kwa miaka yapata 4 toka jamaa yangu mmoja tulikuwa nae chuo miaka hiyo kunieleza kuhusu JF.Nikijishauri sana kujiunga mpaka nilivyofanya hivyo miezi 2 na ushee iliyopita.Kwa kweli kuna mengi mazuri sana humu jamvini.
Nilijua ipo, kuingia kwangu kulitokana na upweke niliokuwa nao nikiwa huko maporini (Mpanda-Rukwa). Nikasukumika kuingia na mpaka leo sibanduki humu.
Nashukuru Mungu sijawahi kukutana na mtu humu ila HESHIMA na UPENDO vinachukua nafasi yake. Mungu Ibariki JF na watu wake.
AMEN
Nilijua ipo, kuingia kwangu kulitokana na upweke niliokuwa nao nikiwa huko maporini (Mpanda-Rukwa). Nikasukumika kuingia na mpaka leo sibanduki humu.
Nashukuru Mungu sijawahi kukutana na mtu humu ila HESHIMA na UPENDO vinachukua nafasi yake. Mungu Ibariki JF na watu wake.
AMEN
Asha,awali ya yote ngoja kwanza nikumwagie misifa mitatu muhimu:
1. Unajituma. Kukandamiza mi post zaidi ya alfu mbili ndani ya siku 45 si mchezo mwanawane.Wengine tuko humu toka 2008 hata post alfu moja hatuna.
2. Unathamini mamemba. Siku 45 umemwaga mi senks zaidi ya mia nne,si haba.Mi likes ndo usiseme,kwa niaba ya ma memba wenzangu woooooote pokea li senks na li likes hilooooooooo mmmmwwwwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
3. U msikivu. Iko siku niliku PM nikakushauri kitu na kwa unyenyekevu ukafuata ushauri wangu,wakati na ku PM nilidhani ungenibararusha si unajua tena mambo ya 'kupotezea'?
Ndugu Asha baada ya utangulizi huo naomba nirejee kwenye mada. Nakumbuka kuna siku nilikuwa napata supu asubuhi maeneo ya Kinondoni. Kipindi hicho ndo issue ya ufisadi wa meremeta imepamba moto.Basi bwana mmoja hapo kijiweni akawa anamsifia mtu anaitwa Mwanakijiji kuwa huyo jamaa kwa kuporomosha mabomu Lyatonga Mrema cha mtoto.Nikamuuliza Mwanakijiji ni nani?,akanishangaa kweli na kuniuliza 'we humjui Mwanakijiji?' nikamwambia simjui,akasema ingia website inaitwa JamiiForums utakutana naye. Nikaingia na kwa kuwa lengo lilikuwa kumsoma Mwanakijiji moja kwa moja nikagota jukwaa la siasa,mwanzoni nilichangia sana tu pale hadi nilipoanza kusikia kizunguzungu nikiingia humo, nikaona mmmhhh nitadata bure ndo nikatafuta jukwaa jingine.Naomba nikiri kuwa toka niingie MMU roho yangu imekuwa bariiiidi na siku ikipita sijaingia naona ka vile ntaumwa.Nawashukuru sana wana MMU kwa michango yenu na kikubwa zaidi namshukuru..........ambaye tumefahamiana humu MMU (mambo ya PM) hadi kuuuuuuu.........
Wasalam,
Wako mwaminifu,
Bishanga Abashaija.