busura zaidi
Senior Member
- Aug 24, 2016
- 111
- 151
Pete sio ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abeee. Umesema??Pete sio ndoa, ila inaleta heshima na thamani ya mtu alie katika ndoa. Hata nikiwa home nikivua najiona nipo uchi wa mnyama.
Huyu Joyce Kiria alitendwaga kipindi cha nyuma basi anawachukiaga wanaume haswaa na anaweka wazi.kakamata serengeti boy hukuna kipya hapo alishakuwa kwenye ndoa awali.
Hata kutokuvaa pete ni changamoto pia. Mtu kama anafundisha watu kwanini asiwe mfanoMnawekaje mada za kumjadili mtu badala tujadili changamoto za maisha?