Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Wakuu,

Nimeulizwa hilo swali na kijana wangu Jana, lakini kwa vile mile sayansi kwangu ni Giza nikabaki nakodoa macho tu.

Msingi wa swali ni kuwa umbali toka kwenye jua mpaka duniani haubadiliki asubuhi wala mchana. Sasa kwanini mchana jua linakuwa kali zaidi kama vile limedogea zaidi?

Msaada wa uelewa tafadhali..
 
Wakuu nimeulizwa hilo swali na kijana wangu Jana,lakini kwa vile mile sayansi kwangu ni Giza nikabaki nakodoa macho tuu.
Msingi wa swali ni kuwa umbali toka kwenye jua mpaka duniani haubadiliki asubuhi wala mchana. Sasa kwa nini mchana jua linakuwa Kali zaidi kama vile limedogea zaidi? Msaada wa uelewa tafadhali.

Refer to the earth's rotation on its axis;
the earth rotates from west to east and there is different incoming solar radiations depending on various factors including angle of inclination of the earth in relation to the sun...that's results to day and night and other related outcomes
 
Ukijua kwanini kunakuwa na usiku hautapata tabu ya kujua kwanini asubuhi jua si kali na kwanini alfajili hakuna jua!!
 
Tambua ya kuwa Dunia ndio inazunguka jua na jua liko stationary (heliocentric theory). Na vile vile dunia ni duara fulani iv (flattened sphere).
kwa hyo dunia inavokua inajizungusha kwny mhimiri wake ina speed yake. Inapokua kwetu ni usiku upande wa pili wa dunia inakua mchana.
Dunia inapojizungusha inapitia vpnd tofauti tofauti. Wakat wa asubuhi upande wa sura ya dunia tuliopo cc unakua unali face jua kwa kias kdogo. Wakati wa mchana unaliface jua kwa kias kikubwa kabisa na wakat wa jion unakua unaelekea upande wa pili ambao haupati jua kabisa.
hope utamwelezea vizur akuelewe ss.
 
Tambua ya kuwa Dunia ndio inazunguka jua na jua liko stationary (heliocentric theory). Na vile vile dunia ni duara fulani iv (flattened sphere).
kwa hyo dunia inavokua inajizungusha kwny mhimiri wake ina speed yake. Inapokua kwetu ni usiku upande wa pili wa dunia inakua mchana.
Dunia inapojizungusha inapitia vpnd tofauti tofauti. Wakat wa asubuhi upande wa sura ya dunia tuliopo cc unakua unali face jua kwa kias kdogo. Wakati wa mchana unaliface jua kwa kias kikubwa kabisa na wakat wa jion unakua unaelekea upande wa pili ambao haupati jua kabisa.
hope utamwelezea vizur akuelewe ss.

Theory and not estabished fact. that what we have been taught in the past but it has been discovered just recently the sun is also moving... google you will see...
 
The higher the sun is in the sky, the more energy per square foot strikes the surface of the earth. Precisely speaking, the amount of solar energy per unit area is proportional to sin^2 a, where a is the altitude of the sun over the horizon.
 
Asanteni. Mmenipa pa kuanzia, ngoja nisome habari hiyo vizuri
 
Refer to the earth's rotation on its axis;
the earth rotates from west to east and there is different incoming solar radiations depending on various factors including angle of inclination of the earth in relation to the sun...that's results to day and night and other related outcomes

Ameuliza kwa lugha ya kiswahili kwanini umjibu kwa lugha ya kiingereza?
 
Iko iv asubuhi miale ya jua ni ile ile sawa na mchana lkn tofaut ni kwamba asubuhi na jion kias cha miale kinatawanywa kwenye eneo kubwa na ndio maaana inakuwa aina nguvu na mchana miale inatua kwenye 90 degree na hiii inasababisha miale mingi kukutana katika eneo dogo
 
Iko iv asubuhi miale ya jua ni ile ile sawa na mchana lkn tofaut ni kwamba asubuhi na jion kias cha miale kinatawanywa kwenye eneo kubwa na ndio maaana inakuwa aina nguvu na mchana miale inatua kwenye 90 degree na hiii inasababisha miale mingi kukutana katika eneo dogo

Upo sahihi
 
Theory and not estabished fact. that what we have been taught in the past but it has been discovered just recently the sun is also moving... google you will see...

Ni geog teacher wa bachelar.
Majibu mliompa ni sahihi kabisa
ila man umenifurahisha sana
Nlisoma nikiwa mdogo kule madarasa kwene Quran kua jua linazunguka
lakin nlipofika form one nkaambiwa jua lipo stationary
Nkamuuliza mwalim wang kuhusu nlivosoma madrasa ikabidi amuite mwalim mwenzake ambae alikua.deep kwene Quran akanambia ni kweli jua linazinguka lakin wanasayansa bado wanafanya utafiti
ila sasa baada ya kua na degree nmeona umuhim wa kufanya intergration of knowledge
Yaani tusiwaamini sana wazung hawa na theory zao tujaribu kusoma na vitabu vya dini navyo vinasemaje kuhusu hlo
 
And sun rotation kwang nliamin tokea sijaanza standard one kiukweli sio recent ilifundishwa kitambo sana zaidi ya Karne kumi na tano zilizopita ila tu wazung hawakubali mpaka waprove jambo
 
Back
Top Bottom