mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Hahahaha..!
sababu nyingine zinachekesha sana,kwahiyo Mkuu mkorinto unaamini kuwa Kitu chochote kilichopangiliwa kwa Ustadi Mkubwa Lazima kiwe na Fundistadi aliyekipanga?
Wewe umetoa Mfano wa sebure,wengine wanatoa Mfano wa DNA lakini Point yao Moja..so Nijibu swali langu Hapo juu.
Sababu yangu kwenye uumbaji inasound kuliko hata sebuleni.labda uniambie unakubari kuna muazilishi ila hutaki awe anaitwa Mungu.
Last edited by a moderator: