Kwanini jua, Mwezi, Nyota, vinaelea angani?


Sikiliza watakavyotokwa na povu
 
Last edited by a moderator:
Aisee,labda nukushauri jambo huenda nikakusaidia maana kureason tu umeshindwa...

Nakushauri tu mkuu endelea kujifunza sana kuhusu maisha haya na kila kilichomo humu kwa kutafuta vyanzo vingi kadiri uwezavyo huenda ukapata mwanga maana hii ni hatari sana...

Kama ulikuwa unajaribu kupinga ili uelewe basi nasikitika kusema kuwa hata namna ya kupinga umekwama maana kuna mambo mengi sana hujayajua bado na unapaswa kuyajua uyafanye kama msingi ii ukijibiwa uweze kuelewa...

Kila la kheri....
 
Na nitaendelea kukuita Mpumbavu Unless uje upande Wangu.
Leo unatuuliza Mungu ni kitu gani?kwahiyo ulikuwa Unaamini kitu Usichokijua?

You're Moron For really.

Teh teh teh.
Kuja upande wako, haimaanishi upande wako umekuwa sahihi,

Elewa mantiki ya swali,

Nikikuuliza Mungu ni kitu gani wewe.na kwa kutumia sayansi ukashindwa kumuelezea.maana yake si kwamba haexist ila umeshindwa kumuelezea kwa kutumia sayansi.

Ni sahihi sasa na mimi kukuita mpumbavu maana umeshindwa???
 
Hapo ndo ujue kwamba hata baadhi ya mengine ambayo tunadhani tunayajua leo baadaye tunaweza kuja kugundua kuwa yalikuwa si ya kweli.
Ni sahihi, ndiyo maana mtu yeyote mwenye afya bora ya akili yuko tayari kukubali kosa pale inapogundulika na ushahidi wa kuridhisha kwamba kile alichokuwa akikifahamu ni tofauti na ukweli halisi. Nakumbuka zamani ilifundishwa kuwa ulimi una sehem mbalimbali kwa ajili ya kuhisi ladha tofautitofauti, Popo haoni kwa macho. Hivi shulei tulifundishwa milango mingapi ya fahamu kweli?!! Kwa kadri teknolojia inavyokuwa binaadamu anagundua zaidi na zaidi na kujisahihisha na kuboresha kuelewa wake wa mwanzo.
 

mungu ni kitu chochote unachokiamini na kukiabudu kwa kuamini kina uwezo na mamlaka juu yako
 
mungu ni kitu chochote unachokiamini na kukiabudu kwa kuamini kina uwezo na mamlaka juu yako

Usiseme kitu chochote labda kama unamaanisha miungu,

Mungu hawezi kuwa kitu chochote, Mungu ni mmoja pekee ninayemuabudu na kumuamini kuwa ana mamlaka juu yangu.
 

Nimeipenda umeiweka vizuri mtu kukuelewa,ingawa si kweli kwamba swali hili hata mtoto angeweza kulijibu,wewe umeona ni swali rahisi kwasababu umesoma vizuri hayo mambo na ukumbuke kuwa si watu wote wamesomea elimu hii.
 
Wakuu kuna mada fupi hapa,

Eti kwanini Jua, Mwezi, Nyota na Sayari zinaelea angani? Kwanini hazianguki chini? Pia kwanini nyota na mwezi huonekana wakati wa usiku tu?

Mkuu kama unapenda kujua kuhusu anga kwa ujumla nakushauri cheki discovery wana vipindi vizuri kama how the universe works,
 
Usiseme kitu chochote labda kama unamaanisha miungu,

Mungu hawezi kuwa kitu chochote, Mungu ni mmoja pekee ninayemuabudu na kumuamini kuwa ana mamlaka juu yangu.

mkorinto hivi unaijua tofauti ya umoja na uwingi?
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda umeiweka vizuri mtu kukuelewa,ingawa si kweli kwamba swali hili hata mtoto angeweza kulijibu,wewe umeona ni swali rahisi kwasababu umesoma vizuri hayo mambo na ukumbuke kuwa si watu wote wamesomea elimu hii.

Mkuu sisemei swali la kwanza, naongelea swali kwa nini mchana nyota na mwezi hazionekani, hiyo ni very easy logic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…