Kwanini kabila la Watusi halipo miongoni ya makabila yanayopatikana nchini wakati limekuwepo kwa muda mrefu?

Kwanini kabila la Watusi halipo miongoni ya makabila yanayopatikana nchini wakati limekuwepo kwa muda mrefu?

Naomba kuuliza kama wanapewa uraia na wanakuwa ni watanzaniaaa

Wanakuwa ni kabila gani katika hilooo
Mbona wapo Tanzania sasa Kuna wale Wahutu na Watusi ambao walipewa uraia zaidi ya mia mbili na hamsini kutoka Burundi.
 
Umeongea vizuli ila itapendeza ukiongea kwa undani zaidiiiii
Mimi namuunga mkono. Hakuna kabila la watusi ila ni clan. Warwanda wataitwa watutsi, bukoba wahinda na wahima. Lugha walilirithi kadri walivyowanamigrate wakawa wana adopt mila za pale. Tofauti yao na makabila mengine,wenyewe walipigana wakatawala makabila ya kibantu. Wenyewe hata muonekano wao ni tofauti. Warefu, siyo wasemaji saana na ni watemi.
 
Naomba kuuliza kama wanapewa uraia na wanakuwa ni watanzaniaaa

Wanakuwa ni kabila gani katika hilooo
Wanabaki na kabila zao Kama ni wahutu wanabakia wahutu na Kama ni watusi wanabakia na utusi wao wakiulizwa wewe kabila gani anasema mimi mhutu au mtusi hawahitaji kujificha
 
Umeongea vizuli ila itapendeza ukiongea kwa undani zaidiiiii

The Hima People of Eastern Africa
Orville Boyd Jenkins
The Hima name is associated with various peoples and political entities in the Great Lakes are of Eastern Africa. In recent history the name Hima indicates a sub-group of the Tutsi, originally a Cushite group from the Ethiopian highlands, who entered the area perhaps in the 1300s.

There was a king of Rwanda (a Tutsi Kingdom) named Gahima (1500). [P. Ngologoza, Kigezi and its People, EA Literature Bureau, 1969.]*

Some writers think the name Hima is also associated with a Nilotic people who came down from the Sudan along the Nile through Uganda. They conquered the Bantu people in what is now southwest Uganda and the neighboring portion of Zaire.

They were absorbed by the Bantu people and took up the local Bantu language. Their name in the language is the primary identification of their origin.

One tribe (or social group) of people in Ankole, Uganda, are called Hima (Bahima). The Hima speech is classified in the Ethnologue as a dialect of Nyankore (Nkore/Nkole). The Ethnologue notes, however, that this speech form "may be a separate language."

The relationship of those speaking Hima and other varieties of Nyankore would likely be the same as with the dialects of the Cushite Tutsis and Bantu Hutus speaking Rundi/Rwanda.

There is no listing for the Hima in Tanzania. It appears the Hima are limited fairly much to their original settlement area.

Hima and Tutsi
The general view of the Tutsi is that they have come from a Cushite background in northeastern Africa. Some scholars have seen connections with Nilotes. Over the centuries the similarities in the situations of the Nilotic and Cushite upper class possibly led them to be more closely associated.

One Somali correspndent had some thoughts to contribute on this connection.

"I am Somali who has a limited knowledge about Hima people in central Africa. There is a Somali clan of Gaaljecel, whom others call Xima or Hima or Xiimaay Hima. This clan is very nomadic and traditional people. I bet the name is same origin [Abdir, Fort Mcmurray, AB Canada]."
In modern times, the Tutsi-Hima appear to be so closely associated that they can be considered one general class across the variety of speech in the various political divisions of the Lakes Region. Their Bantu speech forms are very similar.

President Yoweri Museveni of Uganda is a member of the Hima group of Uganda. He has even been the target of charges that he is part of a broad Tutsi-Hima plot to conquer the region. In current discussions of this matter, the Hima are commonly considered a sub–group of the Tutsi. In Uganda, a comparable tribe, or social group, to the Hutu are the Iru (Bairu).

Check this link for more on the Hima-Tutsi connection

Language References
I find no listing for a language or dialect of Hima or Kiga in Tanzania, but Holoholo is related, and stated in the Ethnologue to be also in Zaire, but interestingly enough, not in Rwanda or Uganda!

Nyankore and the speech of the Hima is related to Kiga (also spelled Kyiga, Chiga, pronounced Chiga), a language group of Southern Uganda related to Kinyarwanda. I note in the Ethnologue that one dialect of Rwanda is called Tshiga. This would be the same language group.

The degree of lexical similarity of Nyankore to Kiga is in the range of the Ethnologue’s classification for one language (normally 90-95%). I note in the listing for Kiga ("Chiga") (Uganda), however, that mutual intelligibility is shown as only 72%, which would be low.

Speech and Politics
Note that what are classified as "dialects" are often political designations. Thus speakers of the Tshiga dialect are most likely simply members of the same language/ethnic group called Kiga in Uganda who just were on the wrong side of the border when the Germans and English drew it!

This is a problem we must watch for all over Africa, even being aware that when we say, for instance, the "Zambia Tonga" and the "Zimbabwe Tonga," etc., that we are probably indicating political distinctions, not true people group distinctions.

One factor that complicates the matter, however, is that ethnicities change,a nd when two divisions of a people get separated by flood, war, empire boundaries, etc, they can in fact grow different and become different peoples. That is one way that ethnicities develop.
_____________________
*Ngologoza was a Mukunga Chief from 1923 and rose to Chief Judge in Kigezi 1956 and Chairman of Appointments Board 1959. (no longer online)

Also related:
[review] Anything But Ordinary (Paul Rusesabagina)
[TXT] Hima, Ham and Cush
[TXT] Tutsi and Chwezi: History and Pre-History
[TXT] Tutsi, Hutu and Hima — Cultural Background in Rwanda
[TXT] Tutsi, Hutu and Germans
[TXT] Tutsis — the Ethiopia-Somali Connection

Also related on the Internet:
The Hima Peoples
Nyankore: Ethnologue
Nyankore-Hima: PeopleGroups.org
Bunyoro-Kitara Virtual Museum
Kingdoms of Uganda
The Origins of the Wanga Kingdom
[TXT] What is an Ethnic Group

OBJ

Original comments written in an email exchange May 1996
Updated and posted 18 December 2004
 
Kiongozi kama umeshabahatika kufika tabora kuna maeneo rasmi kama vile ukienda urambo, uyogo, kalemela,tabora mjini kuna maeno yanaitwa utusini ukifika ukiulizia utusini unapelekwaaa

Hapo ndipo utawakuta watu wa kabila la watusi ila lugha inayozungumzwa sio kitusi ila wao wanasena ni watusu

Mkuu

Ni "ancestral" land yao?

Jibu ni no!

Ni land ya Wanyamwezi au Wasukuma originally wao ni wamenunua tu!
 
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.

Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .

Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?

Wataalam wa historia nisaidieni.

Tarehe 25 Oct 2019 asubuhi saa 12, BBC walikuwa na waimbaji wa Vard Arts ambao walijitambulisha ni Wangoni wa Songea.

Watusi hawatajiita Watusi ndani ya mipaka hii japo wapo wengi sana.
 
Tarehe 25 Oct 2019 asubuhi saa 12, BBC walikuwa na waimbaji wa Vard Arts ambao walijitambulisha ni Wangoni wa Songea.

Watusi hawatajiita Watusi ndani ya mipaka hii japo wapo wengi sana.
Mkuu umeongea hapo nimekuelewa sana
 
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.

Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .

Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?

Wataalam wa historia nisaidieni.
Utawaitaje kabila landani mwako ukijua wazi kua lanje...historia yakeyote unaijua(wanyarwanda hao)...labda umeamua useme kua wamevamia
 
Kwanza kabisa ungebadilisha huo mda waliokuwepo hapa Tz kwani Tutsi wamekuwepo karne na karne na historia yao ni ndefu sana ambapo wana historian wamelifuatilia kwa miaka mingi kama ambapo wanafuatialia wengine na kuandika mengi

Watusi kwetu hapa walitokea jirani Rwanda na Burundi na huko walikuwepo pia drc
Ila ukiangalia mbali zaidi wana asili ya Horn of Africa huko Ethiopia na Somalia
Kwa kuwa technologia imefika mbali mpaka wengine kuangalia DNA [emoji3459] na kujiridhisha ingawa damu yao imechanganyika sana na ya Wahutu baada ya kuoana sana
Lakini Human mitochondrial DNA imeonyesha kuna pia damu ya kihindi
Jinsi tunavyoana ndivyo tunavyozidi kuchanganya damu
IMG_1213.JPG
IMG_1212.JPG
 
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.

Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .

Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?

Wataalam wa historia nisaidieni.
Tanganyika na hatimaye Tanzania hatujawahi kuwa na hilo kabila kama sehemu ya jamii yetu,hao unaowasema ni wahamiaji walikuja huku baada ya mauwaji ya kimbari ya kwanza kutokea dhidi ya watusi (1959-1962) ambapo takribani watusi 10,000 waliuwawa na wengi wao kukimbilia uhamishoni na wengine kuwa wakimbizi kwenye nchi za afrika mashariki ikiwamo Tanzania,kenya na uganda,
Then mauwaji ya kimbari ya pili yale ya mwaka 1994 ambayo takribani watusi laki 8 waliuwawa yalisababisha wimbi kubwa sana la wakimbizi wa kitusi kuja nchini mwetu ndio hao tunao mpaka leo,sio asili yao Tanzania na hawana asili ya kibantu,Asili yao wanatoka kwenye eneo la pembe ya africa (somalia,eritrea na ethiophia) hata ukiwaangalia wanashabihiana na watu wa hayo maeneo kwa mila,sura na maumbile
Katika makabila 120 yanayopatikana Tanzania ni ya kibantu ni machache sana ambayo hayana asili ya kibantu kama wamasai,wabarabaic,waeraq,wasandawe,wahadzabe,wambulu nk
 
Uko sawa kabisa mkuu
Watutsi inasemekana siyo kabila, ila ni jamii ya watu walipofika kusini mwa Afrika. Walijizolea umaarufu wa kuwa watu wema, wakaaminiwa, wakashiriki utawala na wakawa watawala.

Neno Mtutsi, wanasema linamaanisha mtu mwema. Siyo kabila. Wana kabila zao lakini walizipoteza, ndiyo maana hakuna lugha ya Kitutsi ila kuna watu wamepewa icon ya Ututsi.

Wakiwa na kabila fulani, huchukua mila hizo na hujiita wa kabila hilo. Wakiwa Kigoma ni Waha tu. Wakiwa Buhaya ni Wahaya, Uganda ni Wanankole, Usukumani watajiita Wasukuma.
 
Orodha ya makabila ya Tanzania
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Hii orodha ya makabila ya Tanzania inaweza kuwa na matatizo kwenye majina kadhaa, kwa sababu mbalimbali.
Orodha hii inatokana na orodha ya lugha za Tanzania inayopatikana katika Ethnologue, pamoja na tovuti nyingine.
Inawezekana kwamba baadhi ya majina ya makabila ni majina ya lugha au lahaja tu, badala ya makabila, na labda majina mengine yaliandikwa vibaya.
Juu ya hiyo, hakuna ufafanuzi wa wazi kusema kikundi fulani ni kabila au siyo. Vikundi kadhaa katika orodha hii vina wenyeji mamia tu, lakini vikundi vingine vina mamilioni ya watu; labda kila kikundi kinaitwa "kabila," lakini ni jamii za aina tofauti kabisa. Vikundi katika ukurasa huu vimeorodheshwa kuwa vikundi tofauti kutokana na ushahidi kutoka Ethnologue kutofautisha lugha zao.
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani.
Orodha hii haizingatii makabila yanayoishi katika Tanzania kama wakimbizi tu, hasa kutokana na vita katika nchi za jirani. Vilevile ukurasa huu hauorodheshi vikundi vya wahamiaji kutoka nchi za kigeni, kama wahamiaji au wazao wao kutoka Uarabuni au Uhindi.
Waalagwa (pia wanaitwa Wasi)
Waakiek
Waarusha
Waassa
Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang'ati)
Wabembe
Wabena
Wabende
Wabondei
Wabungu (au Wawungu)
Waburunge
Wachagga
Wadatoga
Wadhaiso
Wadigo
Wadoe
Wafipa
Wagogo
Wagorowa (pia wanaitwa Wafiome)
Wagweno
Waha
Wahadzabe (pia wanaitwa Wahadza na Watindiga)
Wahangaza
Wahaya
Wahehe
Waikizu
Waikoma
Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu)
Waisanzu
Wajiji
Wajita
Wakabwa
Wakaguru
Wakahe
Wakami
Wakara (pia wanaitwa Waregi)
Wakerewe
Wakimbu
Wakinga
Wakisankasa
Wakisi
Wakonongo
Wakuria
Wakutu
Wakw'adza
Wakwavi
Wakwaya
Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
Wakwifa
Walambya
Waluguru
Waluo
Wamaasai
Wamachinga
Wamagoma
Wamakonde
Wamakua (au Wamakhuwa)
Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba)
Wamalila
Wamambwe
Wamanda
Wamatengo
Wamatumbi
Wamaviha
Wambugwe
Wambunga
Wamosiro
Wampoto
Wamwanga
Wamwera
Wandali
Wandamba
Wandendeule
Wandengereko
Wandonde
Wangasa
Wangindo
Wangoni
Wangulu
Wangurimi (au Wangoreme)
Wanilamba (au Wanyiramba)
Wanindi
Wanyakyusa
Wanyambo
Wanyamwanga
Wanyamwezi
Wanyanyembe
Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi)
Wanyiha
Wapangwa
Wapare (pia wanaitwa Wasu)
Wapimbwe
Wapogolo
Warangi (au Walangi)
Warufiji
Warungi
Warungu (au Walungu)
Warungwa
Warwa
Wasafwa
Wasagara
Wasandawe
Wasangu (Tanzania)
Wasegeju
Washambaa
Washubi
Wasizaki
Wasuba
Wasukuma
Wasumbwa
Waswahili
Watemi (pia wanaitwa Wasonjo)
Watongwe
Watumbuka
Wavidunda
Wavinza
Wawanda
Wawanji
Waware (inaaminika lugha yao imekufa)
Wayao
Wazanaki
Wazaramo
Wazigula
Wazinza
Wazyoba
 
Watu wana notion Ya makabila tuliyonayo bongo Na Rwanda.Tz tunayo zaid Ya 120 Rwandwa mabila makuu ni mawili ie Hutu,Tutsi ingawa pia kuna Twa wachache . Kwa swali ulilo uliza hata ukienda Rwanda lugha inayozungumzwa Ni kinyarwanda.Hakuna kihutu Wala Kitutsi.kabila linalozungumziwa hapa Ni kama race au maumbile mtusi anatambulikaje? Urefu,pua zilizochongoka,fizi nyeusi nk.Kiha hakina tofauti na KInyarwanda Au Kirundi Ni kama kiswahili Cha Zanzibar na BUrundi.Jamii Ya watutsi ipo TZ nenda Kigoma,Bukoba wapo wengi tu ila wao kama wao sio Kabila.
 
Watutsi inasemekana siyo kabila, ila ni jamii ya watu walipofika kusini mwa Afrika. Walijizolea umaarufu wa kuwa watu wema, wakaaminiwa, wakashiriki utawala na wakawa watawala.

Neno Mtutsi, wanasema linamaanisha mtu mwema. Siyo kabila. Wana kabila zao lakini walizipoteza, ndiyo maana hakuna lugha ya Kitutsi ila kuna watu wamepewa icon ya Ututsi.

Wakiwa na kabila fulani, huchukua mila hizo na hujiita wa kabila hilo. Wakiwa Kigoma ni Waha tu. Wakiwa Buhaya ni Wahaya, Uganda ni Wanankole, Usukumani watajiita Wasukuma.
Safi Sana umeelezea vzr ,Mimi nimekua nikijijua Ni msukuma lakini nilivyoenda kahama ndio nikajua sisi Ni watusi baba akiwa na ndugu zake wanaongea kitusi ,lakini huku Dar sisi Ni wasukuma
 
wapooo wamejaa sana, hasa wadada wamezaliana tz, sikuamini mewakuta hadi DSM, hawapendi kujitambulisha na hata kuongelea mambo ya MAKABILA manake wamejifunza somo....UKABILA ni hatari

wameolewa tz kiusalama na nadhani wapo wanaopeleka taarifa ome kwa serikali kuhusu tz

.....WAKIPENDA wanapenda sanaa, ole wako ulete usalitiii
 
Mimi namuunga mkono. Hakuna kabila la watusi ila ni clan. Warwanda wataitwa watutsi, bukoba wahinda na wahima. Lugha walilirithi kadri walivyowanamigrate wakawa wana adopt mila za pale. Tofauti yao na makabila mengine,wenyewe walipigana wakatawala makabila ya kibantu. Wenyewe hata muonekano wao ni tofauti. Warefu, siyo wasemaji saana na ni watemi.
Yap Mimi nipo tabaka la wahima/wazirankende
 
Watutsi inasemekana siyo kabila, ila ni jamii ya watu walipofika kusini mwa Afrika. Walijizolea umaarufu wa kuwa watu wema, wakaaminiwa, wakashiriki utawala na wakawa watawala.

Neno Mtutsi, wanasema linamaanisha mtu mwema. Siyo kabila. Wana kabila zao lakini walizipoteza, ndiyo maana hakuna lugha ya Kitutsi ila kuna watu wamepewa icon ya Ututsi.

Wakiwa na kabila fulani, huchukua mila hizo na hujiita wa kabila hilo. Wakiwa Kigoma ni Waha tu. Wakiwa Buhaya ni Wahaya, Uganda ni Wanankole, Usukumani watajiita Wasukuma.


Wakiwa Butiama ni Wazanaki
 
Back
Top Bottom