Kwanini kabila la Watusi halipo miongoni ya makabila yanayopatikana nchini wakati limekuwepo kwa muda mrefu?

Wakiwa mara WAZANAKI
 
Hakuna kabila hilo duniani.

Kama vile hakuna kabila linaitwa Wahutu. Hao wote ni Wanyarwanda na lugha yao ni kinyarwanda.
 
Umesema ni kabila ambalo limetapaa miongoni mwa mikoa ya Tanzania lakini ni kabila ambalo sio miongoni mwa makabila ya Tanzania.Lakini kule kutapakaa na kuonekana hapa nchini ni tayari ni miongoni mwa makabila ya Tanzania kwa sababu wapo na wametapakaa.
 
We nindugu yangu kbsaa!@fogoh2, Hawa wakoloni wametufanyia kitu mbaya sana
 
Kesho na keshokutwa utakuja na hoja ya kabila la wachina kwanini halipatikani hapa
 
Hawa ni sehemu ya Watusi hapa Tanzania.
1.Wahangaza,wanapatikana ngara na kigoma
2.Wasumbwa, wanapatikana kahama na wameshamezwa na wasukuma.
3.Waha,waha ni mchangnyiko wa watutsi wahutu na wakongo.
4.Wanyambo,hawa wanapatikana ngara na kahama.in sehemu ya watutsi.
5.Waswahili wa ujiji, hawa nimchanganyiko wa wajiji,watutsi,wabwari,wagoma nk
5.Wamanyema,hawa walihamia kutoka Kongo wakaoana na watutsi,waha nk
Watutsi hapa Tanzania ni wengi sana ila wamechanganyika na makabila mengine ni ngumu kuwapata katika kitongoji fulani wakiwa wenyewe tu kama walivyohamia kutoka North Afrika.
Tunaendelea kufanya uchunguzi.....
 
Kumbe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…