System ya kuchukua hata watu waliofeli wakasome ualimu mwisho wa siku inaonekana ni profession ya watu wasiojiweza kielimu, watu wanachukulia tumefeli ndo maana ni walimu.
wengi ni magumashi tu elimu zao hazieleweki hata vyeti vya form four hawana ila ni walimu, siku msako ukipita ndo watajua kumbe walimu hakuna.
sijui kwa sababu ya kupata kazi kimagumashi ndo maana hata haki zetu hatuzijui, sijui ndo nidhamu ya ki ualimu mi sielewi,
tunafanyishwa vikazi hata bila malipo wakati inatakiwa tulipwe ukiuliza eti ni oder kutoka juu, juu mbinguni au?
mishahara midogo, mazingira ya kazi ovyo n.k n.k
idara ya elimu ubabaishaji mwingi tofauti na kada zingine ndo maana mambo ni ovyo