Young murrah
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 415
- 458
Acha kabisa hongereni waalimu kwa kutufundisha acha kumponda mtu alieenda kusoma uhalimu kwa div 3 ww umeenda uhasibu kwa 4 ya 30 au ugavi kwa div zero cbe wamejaa na t.i.a zero tupu waalimu pambaneni maisha ni hatua hata yesu Alikuwa mwalimu tuzo ipo mbiguni