Mbona Burundi Ina saiz Kama ya Rwanda lakin bado wako nyuma ,Maendeleo ya rwanda linganisha na mkoa wa dar pekee nayo ipo juu sana tuu! kainchi kama wilaya bado mnalinganisha na nchi kama yetu, ni aibu kweli.
Kwangu mimi Rais Kagame ni shujaa ambaye ameibadilisha nchi yake kutoka hali mbaya ya uchumi hadi sasa, ameondoa ukabila, amewekeza kwenye elimu,kilimo na viwanda.Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
Nakuwekea cheti Cha kuzaliwa hapa ,Wewe si mtanzania.
Safi Sana mkuu, wee una mawazo Kama yangu , kiukweli hata Mimi namuheshimu Sana kagàme,Kwangu mimi Rais Kagame ni shujaa ambaye ameibadilisha nchi yake kutoka hali mbaya ya uchumi hadi sasa, ameondoa ukabila, amewekeza kwenye elimu,kilimo na viwanda.
Kasi ya maendeleo ya nchi hii yameshinda hata zile nchi ambazo zilikuwa zinaheshimika.
Haogopi kelele zinazopigwa na wapinzani wake kwani yeye yuko occupied na maendeleo ya nchi yake.
Na kayumba alikuwa adui piaMaadui wa Rwanda ni wanyarwanda wenyewe alisema General kayumba nyamwasa
Nakuwekea cheti Cha kuzaliwa hapa ,
Kiswahili hatujazaliwa nacho , tumetulia kijijini
Itakuwa wa nyakanazi.wewe ni mtanzania wa wapi?
Stupidity.Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
Mi siko 'biased ' naangalia tu ukweli wa mambo,We mnyarwanda tu lasivyo huwezi anzisha uzi wa kumsifia PAKA hapa kirahirahisi hivyo.
R.I.P Rev Mtikila,Prof Jwani and others.
Na ndie anaemfundisha nanihii tabia mbayaNdiye shost
Thanks , now what's ur point ??Stupidity.
Kuna wakati chuki huzaliwa kutokana na wivu uliopundukia.Safi Sana mkuu, wee una mawazo Kama yangu , kiukweli hata Mimi namuheshimu Sana kagàme,
Nachukia Sana watu wanavyomutukana Sana humu jf kana kwamba hakuna anachokifanya ,
Nkurunziza na Burundi yake Hari yake ni mbaya lakin sijawahi kuona humu wakimuponda ,
Nimegundua watu hawamupendi kwasababu ya maendeleo anayopiga
Kweli kabisa , hizi Ni chuki tu binafsi na wivu uliopitiliza , nashangaa sioni wakimutukana Nkurunziza au kumukosoa kwa Mambo yake , why always kagàme and rwanda ?Kuna wakati chuki huzaliwa kutokana na wivu uliopundukia.
Hivi wa kwanza waliopaswa kulalamika kuhusu rais Kagame ni wanyarwanda wenyewe.
Sasa kama wao wanaridhika naye 'the rest of the world can go to hell'.
Tatizo lililokuwepo ni moja tu nalo ni lile la unemployment kwa vijana wasomi wa nchi hiyo kutokana na udogo wa nchi. Nao wanakuwa encouraged kwenda nje ku-hustle na wengi wanafanya hivyo wakiwa na lengo la kurudi na kuwekeza nyumbani kwao.
Wewe mtanzania wa wapi?Mi siko 'biased ' naangalia tu ukweli wa mambo,
Let's say kwamfano ningekuja nikamsifia TRUMP ungesema mi mumarekani pia ?
Au unaniita hivyo kwasababu tu humupendi kagàme na rwanda yake ?
Mkuu kwenye ukweli tuseme tu hata Kama hupendi
Wa tanzania, hiko kiswahili tu , nimekulia kijijiniWewe mtanzania wa wapi?
Kwa sababu anamfundisha nanii tabia mbaya za kwake
WIVU HUPOFISHA NI BORA ALIYEKUWA NA UPOFU WA MACHO KULIKO YULE ALIYEKUWA NA UPOFU UNAOTOKANA NA WIVUKweli kabisa , hizi Ni chuki tu binafsi na wivu uliopitiliza , nashangaa sioni wakimutukana Nkurunziza au kumukosoa kwa Mambo yake , why always kagàme and rwanda ?
Waiache Rwanda , wao mbona hawaiongelei tz Kama ss tunavyoiongelea ??