Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

Mtu gani amegombana na majirani zake wote hebu nitajie nchi ambayo haijagombana na kagame, sasa hivi anagombana na Africa kusini
Lazima anagombana nao kwa sababu maalumu ,

Hata Israel inagombana na inchi zinazoizunguka , hiyo ni kawaida tu
 
Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Nenda kwenyu huko bwana katetee huu ujinga,hata hapa unachapia tena.nasema hivi!wewe ni mtutsi hujifichi
 
Nenda kwenyu huko bwana katetee huu ujinga,hata hapa unachapia tena.nasema hivi!wewe ni mtutsi hujifichi
Ningekuwa mtutsi ningefurahi Sana , maana ni kabira ninalolipenda Sana
 
*cya kabira*
huyu ni mnyarwanda pure halafu sijui kwa nini wanyarwanda kiswahili kinawashinda hata wakikaa Tanzania .Ni tofauti kabisa na warundi,mrundi akikaa kwenye miji ya tz hamalizi mwaka bila kujua kiswahili kizuri kama unabisha nenda pale buyenzi Bujumbura kasikilize warundi wanavyokinyoosha kiswahili cha pwani kabisa
 
Kuna ambae wanamchukia sema wanashindwa kumlenga yeye waliyenae karibu wanabaki kumsema Kagame aliye mbali na wanajua hata wakimsema vipi haitakaa itokee akaja kuwakamata!!
 
MAHORO, hili jina tu linatosha kutoa utambulisho wako Mkuu!! Kwahiyo sishangai haya uliyoandika hapa mkuu! Halafu ubora wa elimu haupimwi kwa kugawia watoto laptop mkuu, tafakari.
 
Umesahau hii hapa , AMEUWA NA KUFUNGA KILA MNYARWANDA ANAYEMPINGA .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…