Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Watutsi ni cockrouch.Acha kutumia neno cocroach , pumbavu kabisa ,
Suala la lugha siyo kigezo Cha kuniita mkimbizi , wengine hatujazaliwa mujini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watutsi ni cockrouch.Acha kutumia neno cocroach , pumbavu kabisa ,
Suala la lugha siyo kigezo Cha kuniita mkimbizi , wengine hatujazaliwa mujini
nan huyo tumjueKuna siku nilikwambia wewe ni Mnyarwanda ukabaki kutoa macho, sasa leo nimeprove kuwa wewe ni Mnyarwanda, hii "user" name yako ni ya kinyarwanda...
now kila mtu anawaza uchumiKijiografi kinamna yyt ile rwanda na Tanzania zitafaidika kwa pa1 hata akija rais mwingine,yan hata slim boy aking'oka akija rais mwingine lzm atashirikiana na Tanzania,kikubqa tu kwa ss slim boy asijaribu kujifanya yuko against TZ,ataondolewa mchana kweupe na waasi
*Irakunda* Mtaumia au tutaumia?now kila mtu anawaza uchumi
swala la tz kumpiga slim sio jepesi kihivyo mtaumia saana
Umesahau na Uswis ana Dolla $ billion 1 kwa mujibu was jarida la Forbe nchi masikini Kama Rwanda kazitoa wapi, PK Ni jambazi na liuwaji likubwa...Kwangu mimi Rais Kagame ni shujaa ambaye ameibadilisha nchi yake kutoka hali mbaya ya uchumi hadi sasa, ameondoa ukabila, amewekeza kwenye elimu,kilimo na viwanda.
Kasi ya maendeleo ya nchi hii yameshinda hata zile nchi ambazo zilikuwa zinaheshimika.
Haogopi kelele zinazopigwa na wapinzani wake kwani yeye yuko occupied na maendeleo ya nchi yake.
Mnyarwanda gani anaridhika na kagame, Kama hujawahi kufika Kigali kaa kimya mkuu, wale watu wanaishi Kama wako Utumwani, kumzungumzia kagame kwa zuri au Baya Ni kujipalia makaa ya Moto muda wowote unakula risasi hadharani...Kuna wakati chuki huzaliwa kutokana na wivu uliopundukia.
Hivi wa kwanza waliopaswa kulalamika kuhusu rais Kagame ni wanyarwanda wenyewe.
Sasa kama wao wanaridhika naye 'the rest of the world can go to hell'.
Tatizo lililokuwepo ni moja tu nalo ni lile la unemployment kwa vijana wasomi wa nchi hiyo kutokana na udogo wa nchi. Nao wanakuwa encouraged kwenda nje ku-hustle na wengi wanafanya hivyo wakiwa na lengo la kurudi na kuwekeza nyumbani kwao.
sina shaka na uwezo wa jeshi la tanzania najua uwezo wa kumtoa pk upo lkn mtaumia vibaya saana hasa kiuchumi rwanda inajua kbs mbabe wake ukanda huu ni tz hivyo nguvu kubwa ya ujasusi imeelekezwa huku na south*Irakunda* Mtaumia au tutaumia?
Hivi hii issue ni kweli ehhe??Alimtishia kumuua rais wetu kipenzi Mh Dkt J. Kikwete,
Tungesambaratisha hako ka kitongoji kote! mbafu zake
Hakuna kitu ka hiko , mbona nineshawahi kukaa Kigali kwa mda flani sikuona Jambo ka HiloMnyarwanda gani anaridhika na kagame, Kama hujawahi kufika Kigali kaa kimya mkuu, wale watu wanaishi Kama wako Utumwani, kumzungumzia kagame kwa zuri au Baya Ni kujipalia makaa ya Moto muda wowote unakula risasi hadharani...
Mengine usiseme mkuu, kaa kimya ,sina shaka na uwezo wa jeshi la tanzania najua uwezo wa kumtoa pk upo lkn mtaumia vibaya saana hasa kiuchumi rwanda inajua kbs mbabe wake ukanda huu ni tz hivyo nguvu kubwa ya ujasusi imeelekezwa huku na south
najua na tz ina majasusi rwanda lkn mfumo wa gvment ya slim ni vigumu saana majasusi wa tz na kenye kupenya kwenye maeneo nyeti( )
[emoji23][emoji23][emoji23] Bila shaka ni mtanzania wa Gisenyiwewe ni mtanzania wa wapi?
Ni mtuhumiwa mkubwa wa genocide ya 1994 watu 800,000 walikufa kwaajiri ya uchu wa madaraka yao......
Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Kwa taarifa yako wahutu Ni 80% ya population ya Rwanda ,Ni kweli wao ndio walitungua ile ndege iliyomchukuaya marais Juvenal Habyarimana na Rais yule wa Burundi, kwa ujumla walikufa marais wawili. Kipindi hicho yeye Kagame alikuwa ni kamanda wa RPF (Rwandese patriotic front , Na ni kutokana na tukio hilo la kuuwawa kwa Habyarimana ndipo mauaji yale ya kimbari yakatokea.
Leo watu tumesahau sababu bali tunaangalia matokeo, kitu ambacho kinawezekana kutokea tena mahali popote.
Swali kwanini aliyeua Rais wa nchi hashitakiwi.
Ili kuficha uhalifu wake huo Kagame anajitahidi kufanya kila awezalo ili kuwapendeza Wanyarwanda wote, na kudai eti Rwanda hakuna ubaguzi!!?, basi na ajitokeze Muhutu na asimame katika kinyang'anyiro cha uchaguzi tuone kama atakuwa "hai".
Tuwekee pasipo shaka uhusika wa kagàme Kwenye genocide ya 94 ,kama hutoweka tu maneno maneno ya kupapasa tu , au huelewi maana ya hiyo genocideNi kweli wao ndio walitungua ile ndege iliyomchukuaya marais Juvenal Habyarimana na Rais yule wa Burundi, kwa ujumla walikufa marais wawili. Kipindi hicho yeye Kagame alikuwa ni kamanda wa RPF (Rwandese patriotic front , Na ni kutokana na tukio hilo la kuuwawa kwa Habyarimana ndipo mauaji yale ya kimbari yakatokea.
Leo watu tumesahau sababu bali tunaangalia matokeo, kitu ambacho kinawezekana kutokea tena mahali popote.
Swali kwanini aliyeua Rais wa nchi hashitakiwi.
Ili kuficha uhalifu wake huo Kagame anajitahidi kufanya kila awezalo ili kuwapendeza Wanyarwanda wote, na kudai eti Rwanda hakuna ubaguzi!!?, basi na ajitokeze Muhutu na asimame katika kinyang'anyiro cha uchaguzi tuone kama atakuwa "hai".