REFA KAWAOKOA, PENATI 2 ZA WAZI WATU WAMENAWA Refa Kapeta....! Yule Angekuwa Uwanja Wa Magunia Msasani Asingetoka
Nyinyi mmefungwa 4 south bila penalti hata moja, onyango alicheza rafu kibao za penalt kule south refa alipeta..
Stage kama hizi kwenye caf hakunaga kupewa penalti kiurahisi.. ndio maana mechi zote za robo, timu zote 8 hakuna timu hata moja iliyopewa penalty.. marefa wameshaambiwa wasitoe penalty wakaonekana wanambeba mtu