lckelvin
Member
- Sep 8, 2018
- 94
- 128
Jiulize timu zote 8 zilizofika robo nani kapewa penalti? Unafikiri timu zote 8 watu hawajashika ama kucheza rafu kwenye box?
Kwa iyo mechi zote za robo umeziangalia wewe,au unaongea tu uonekane unajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize timu zote 8 zilizofika robo nani kapewa penalti? Unafikiri timu zote 8 watu hawajashika ama kucheza rafu kwenye box?
Huo ndio ukweli, mechi ilishachezwa nje ya uwanjaWashirikina wakubwa ninyi[emoji1][emoji1][emoji1]
Ni sehemu ya mbinu za medaniHuo ndio ukweli, mechi ilishachezwa nje ya uwanja
Kafara za damu, ng'ombe, paka, nazi,vibuyu, udi na uvumba, bagamoyo, Zenji na Tanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeshaelewa sasaNi sehemu ya mbinu za medani
Si ukamuulize mama yako itakuwa aliwapa sana pale sehemTuwape pongezi simba kwa goli tatu bila lakini najiuliza nini kiliwakuta wageni kuwa wazito kupitiliza?
Yaani hata kwa macho tu imeshangaza sana.
Huna akili km To mazembe wana hiko unachokisema mbona hawajafka robo. Tumia akili walau kiduchuWalimleta Sangoma wa TP MAZEMBE!!!
Jamaa walipitiliza kwenye kuroga,walikufuru kabisaTuwape pongezi simba kwa goli tatu bila lakini najiuliza nini kiliwakuta wageni kuwa wazito kupitiliza?
Yaani hata kwa macho tu imeshangaza sana.
Wale wamefungiwa miaka 2 kusajili ndio maana kule psl wapo nafasi ya 9,kwa kurogwa jana walirogwa haswa tena sio kitotoWengi mmewaangalia kwenye game za simba tu. Kiufupi pale hamna team kama uliangalia game zao za makundi utanielewa.
Kua nafasi za chini kwenye ligi yao hawako huko kwa bahati mbaya.
Huna akili km To mazembe wana hiko unachokisema mbona hawajafka robo. Tumia akili walau kiduchu
Plus ndumbaSwali limeulizwa kwanini timu pinzani inapocheza na Simba kwa mkapa wanaonekana ni wazito? Platinum walivyocheza Dar walikuwa ni wazito, Al Ahly nao walivyokuja dar dar nao walikuwa wazito vile vile utafikiri ni timu ya amateur sio professional hadi tukajua Simba kwa mpira ule akienda Sudan wale wasudani watapigwa wiki lakini wakarudi kwenye usimba wao OG nakutoa sare kule Sudan. Jana Kaizer chief walikuwa wazito uwanjani hata kutuliza mipira hawajui kama vile ni timu ya mchangani
Refa alikuwa mzuri hapo mimi nakataa kuwa labda kanyima penalty hapana tusiende huko Simba alipoteza game SA na kwa ukweli kabisa katika team zote zilizobaki Kaizer ndio walikuwa wanaonekana ni dhaifu na naamini ni dhaifu kufaninisha na waliobaki. Hizi team za N. Africa wakifika hatua za mtoano wanajuwa sana mbinu za kufika final. Simba kosa kubwa walifanya SA kutaka kucheza kama wanacheza home na dharau waliona kama wamepita kushtuka goal 4 ndio mechi iliishia pale hakuna kufa kiume wala kike hii ni aggregate game wamecheza karata zao sawa ila Kaizer walikuwa wepesi kwa ukweli.Nyinyi mmefungwa 4 south bila penalti hata moja, onyango alicheza rafu kibao za penalt kule south refa alipeta..
Stage kama hizi kwenye caf hakunaga kupewa penalti kiurahisi.. ndio maana mechi zote za robo, timu zote 8 hakuna timu hata moja iliyopewa penalty.. marefa wameshaambiwa wasitoe penalty wakaonekana wanambeba mtu
Endelea kuamini vitu visivyokuwepo. Huo ndio ujinga wakoJamaa walipitiliza kwenye kuroga,walikufuru kabisa
Ile ni movie iliyochezwa na Kitenge online TV,ila huyu kufoti ipo siku yake na haiko mbali hivyo vijisenti anavyotupiwa na HSC vitamtokea puaniKuna mganga alivunja nazi[emoji2]
Nazi 3 zilituponza zileKuna mganga alivunja nazi😃
Kwanini asichukuliwe hatua kwa kuanzisha propaganda?Ile ni movie iliyochezwa na Kitenge online TV,ila huyu kufoti ipo siku yake na haiko mbali hivyo vijisenti anavyotupiwa na HSC vitamtokea puani