Kwanini Kamati ya Maadili TFF ipo kimya kwenye suala la Manara na Hersi?

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Salaam!!

Nimekuwa nikijiuliza, ni kitu gani kimewapata hawa watu mpaka leo mwezi mzima unakaribia kwisha bila kuambiwa chochote kuhusu hatma ya mashtaka waliyokutwa nayo, Afisa habari wa Yanga, Manara, na Rais wa klabu hiyo Hersi.

Huu ukimya unaanza kuleta maswali, wadau wa mpira tunataka kujua ni kipi kinachosababisha hilo suala la hao jamaa kuchukua muda mrefu bila kutolewa uamuzi.

TFF ni vyema na muhimu sana ije na majibu ili kuondoa utata unaojitokeza, au kama yupo anayejua kinachoendelea atuwekee hapa na wengine tujue.

Nawasilisha.
 
Watakuwa wamelambishwa asali
 
Ndiyo mnayiwaza haya! Timu inafungwa goli 4-0, kwako siyo shida! Furaha yako ni kuona Manara na Hersi wakifungiwa na hiyo TFF yenu!!

Ok.
Wenhine tulikiwa hatuna wazo hilo, ila tumekumbushwa na Manara kupitia malalamiko yake kuwa TFF kwenye maswala ya Yanga inajibu kwa haraka

Kama inajibu kwa haraka why hili la hersi na yeye livhukue muda mrefu kiasi hiki?
 
"Mashabiki wote wa Simba FC A.K.A MAKOLOKOLO FC ni MBUMBUMBU"

[emoji115][emoji115] ADEN RAGE.
Wamesahau bado mpaka muda huu hawana mshambuliaji wa kueleweka kwenye timu yao! Ila kwa umbumbumbu alio uita Rage, wote akili zao zimehamia kwa Haji Manara na Tuisila Kisinda!
 
Wenhine tulikiwa hatuna wazo hilo, ila tumekumbushwa na Manara kupitia malalamiko yake kuwa TFF kwenye maswala ya Yanga inajibu kwa haraka

Kama inajibu kwa haraka why hili la hersi na yeye livhukue muda mrefu kiasi hiki?
Kwa hiyo nyinyi ni ndege aina ya chiriku!! Maana kila anachokisema huyo Haji Manara wenu, basi lazima mje mkivalie bango humu jukwaani!
 
Mbona na nyie kauli ya Rage mnainukuu 24/7?
Sasa Ismail Aden Rage si alikuwa ni rais wenu wa club! Na mpaka sasa bado ni mwanachama na shabiki lia lia wa club yenu! Na hajawahi kuyakana haya maneno yake!

That means bado yanaishi. Na mfano mzuri nikuulize muda huu kuhusu zilipo zile bilioni 20 za mwekezaji, na zile bilioni 26 za Mbet, sidhani kama utakuwa na majibi sahihi! Halafu neno mbumbumbu linamaanisha mtu asiyefahamu kitu fulani! Halina maana mbaya kihivyo!!! Sawa mkurugenzi!

Na kuhusu Haji Manara! Ni wakati sasa mnatakiwa kumpuuza. Maana Bado siyo mwanachama mwenzenu wa simba! Siyo msemaji wenu! Huyu ni MC tu kwa sasa! Ukimhitaji kwenye sherehe yako, anakuja kufanya kazi. Hivyo muanze sasa kumpuuza na pia kumsahau.
 

Haji ni mwana Yanga na kadi anayo, Luc Eymael naye aliyasema akiwa Mwalimu wenu mtu ambaye mumemkabidhi timu hivyo siyo mtu wa ovyo ovyo. Kauli aliyosema inaishi hadi Leo angalia tu hata kwenye hoja ya Kisinda wengi wa wana Yanga wanamnukuu Haji kwa upotoshaji wake. Yaani Haji anawaburuza mbaya. Hakika nyie ni hamnazo.
 
Ndiyo mnayowaza haya! Timu inafungwa goli 4-0, kwako siyo shida! Furaha yako ni kuona Manara na Hersi wakifungiwa na hiyo TFF yenu!!

Ok. Wakumbushe wawafungie haraka, halafu tuone hiyo faida itakayo patikana.
Jibu hoja punguza vihoja vyako tafadhali.

Manara ameshafanikiwa kujaza ujinga kwenye kichwa chako.
 
"Mashabiki wote wa Simba FC A.K.A MAKOLOKOLO FC ni MBUMBUMBU"

[emoji115][emoji115] ADEN RAGE.
Mbumbumbu hawajui kuhoji, nyie mnaoshindwa kujibu hoja iliyopo mezani ndio mbumbumbu.
 
Wenhine tulikiwa hatuna wazo hilo, ila tumekumbushwa na Manara kupitia malalamiko yake kuwa TFF kwenye maswala ya Yanga inajibu kwa haraka

Kama inajibu kwa haraka why hili la hersi na yeye livhukue muda mrefu kiasi hiki?
Pointi ya msingi.
 
Wamesahau bado mpaka muda huu hawana mshambuliaji wa kueleweka kwenye timu yao! Ila kwa umbumbumbu alio uita Rage, wote akili zao zimehamia kwa Haji Manara na Tuisila Kisinda!
Naona mnazidi kuthibitisha umbumbumbu wenu kwa vitendo, jibuni hoja.
 
Kwa hiyo nyinyi ni ndege aina ya chiriku!! Maana kila anachokisema huyo Haji Manara wenu, basi lazima mje mkivalie bango humu jukwaani!
Ungeielewa pointi ya huyo jamaa, kisha ujumlishe na kile nilichokiandika mimi, ungeona alivyo na akili nyingi huku wewe ukizidi kutoka nje ya mada.
 
Jibu hoja punguza vihoja vyako tafadhali.

Manara ameshafanikiwa kujaza ujinga kwenye kichwa chako.
Tate mkuu Kabla ya Manara kujiunga na utopolo ndiye aliyekuwa akionekana mwenye unafuu wa kiakili kule utopoloni ukiacha wale wawili (Sunday Manara na Kikwete) .Lakini tangu Manara domokaya kuamia utopoloni nae amegeuka kuwa kwenye lile kundi la wengi yaani "Hamnazo"

Mwenye ushauri kwake tafadhali auweke humu jf jamaa arejee kwenye akili yake ya awali.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…