Kwanini Kanisa limejengwa katikati ya madarasa?

Kwanini Kanisa limejengwa katikati ya madarasa?

Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.

Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.
Pugu shule gani? Mnasahau zile shule ambazo zilichukuliwa na serikali ili watu wote wasome? Nyingine zilikuwa mali ya kanisa. Na kama zimetumika miaka yote hii, kwanini leo ndio iwe hoja? Tunaanza kurudi nyuma, na tutageuka minara ya chumvi.
Watanzania, kama tusipobadilika, tutaungana na wajinga wenzetu wote wanaouana halafu mali zao wanachukua watu wa mashariki ya mbali ili kuendeleza nchi zao.
Tuache haya mamboya kufikiria urefu wa pua zetu tu
 
Pengine wewe ni mtoto wa juzi na hujui historia ya shule ya Pugu.
Shule hii ilijengwa na wamissionari miaka mingi kabla ya uhuru.
Ilikuwa inaitwa St Francis Sec School, na ilikuwa ni kwa ajili ya haswa dhehebu la Kikatoliki.
Hata Mwalimu Nyerere alipofundisha hapo St Francis(Pugu) aliajiriwa na kanisa Katoliki.

Shule ilitaifishwa kuwa ya serikli baada ya uhuru ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu bila kutazama dini yake.
Na kanisa lipo hapo toka miaka hiyo.
Asante kwa hii elimu. Serikali ilizichukua ili watanzania wa dini zote waweze kusoma bila matatizo. Mfano, Tosamaganga, katikati ya shule kuna kanisa. Lilijengwa na wamisionari. Serikali ikaichukua ile shule. Kanisa mpaka leo bado lipo.
Na sijawahi kuona tatizo lolote. Leo kwanini iwe tatizo?
 
kanisa limevamia ardhi ya shule na makanisa mengi yanavamia na hakuna haki inayotendeka
 
Hivi kuna shule za misikiti ambazo serikali ilitaifisha?

viwanja vingi vya misikiti zilitaifishwa nyumba zote mjini dar na mikoani zimeandikwa msajili wa majumba 97% ya waislamu leo hii ni NHC
 
Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
Jamaa ni kilaza sana.. Yaani hajui kitu afu ana anza kulalama..
 
Kwanini usingeenda kumuuliza baba Paroko unataka serikali iangalie nini ulienda kusali au tambua serikali ilichukua shule nyingi sana za kanisa Nenda Umbwe, wamisionari wa kikatoliki sera yao ilikua Mungu, elimu na afya ndio maana utakuta Zahanati, kanisa na Shule.

Sidhani kama wewe ni Mkatoliki tafuta kitabu cha miaka 100 ya umisionari Tanzania ujisomee utapata cha kujifunza.
 
Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.

Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.

Mmeona sasa nyie wavaa mashuka kutokua na elimu. Muwe mnauliza kwanza. kanisa katoliki huwa halina kelele au fujo kama kina gwajiboy au hadithi uchwara za mugawama.
 
Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.

Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.
Kabla hujaleta uzi, jaribu kuuliza pia kwa watu wanaokuzunguka wanaojua vizuri historia ya eneo husika, ili kuepuka fedheha mitandaoni. Ulikuwa sahihi kwa mtazamo wako yamkini. Lakini haukuwa unajua historia ya shule ya Pugu
 
Mimi nilikuwa nakaa huku mjini; AZIMIO. Mapinuzi fujo sana huko; wavuta bangi walikuwepo wengi huko
Vile vile ilikuwa ni rahisi kumuona CHALWE akiwa anatoka nyumbani ili uweze ku-take cover kirahisi,,, PUGU
Azimio kwa Para boys Mkuu.....
Mjini ni Umoja tu 😂😂
 
Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.

Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.

Fuatilia vizuri Histori, Ukute hiyo shule ilikuwa ni Shule ya Kanisa Katoliki
 
Ni nani kaongelea Minaki au hujala?
Rudia kusoma ulichoandika minaki umeitaja kuwa ilikuwa ya katoliki wewe kiporo kwa mwandishi yako mwenyewe?

Haya nime kopi ulichoandika hicho hapo

"Hiyo ni shule ya wamisionari,kanisa na shule vilijengwa pamoja kama ilivyo Minaki.Hiyo ilikuwa ikiitwa St.Frances Collage ya wakatoliki.Hapo akifundisha kijana mdogo Julius baada ya kutoka Edinburg Scotland.Shule hii baada ya uhuru ilitaifishwa kama zingine za kanisa ili kuondoa upogo wa elimu katika nchi.'
 
wewe Yehodaya nisome tena,nimesema Pugu ilikuwa shule ya wamisionery kama ilivyokuwa Minaki.SIJASEMA Minaki ilikuwaya kanisa gani.
 
Rudia kusoma ulichoandika minaki umeitaja kuwa ilikuwa ya katoliki wewe kiporo kwa mwandishi yako mwenyewe?

Haya nime kopi ulichoandika hicho hapo

"Hiyo ni shule ya wamisionari,kanisa na shule vilijengwa pamoja kama ilivyo Minaki.Hiyo ilikuwa ikiitwa St.Francis Collage ya wakatoliki.Hapo akifundisha kijana mdogo Julius baada ya kutoka Edinburg Scotland.Shule hii baada ya uhuru ilitaifishwa kama zingine za kanisa ili kuondoa upogo wa elimu katika nchi.'
shule niliyofanyia reference ni Pugu iliyokuwa ikiitwa St.Frances coLlage. Minaki nilichogusia, ilikuwa ya kanisa la Anglikana ikiitwa st.ndrews collage.Pugu na Minaki zilikuwa zote za kanisa,isipokua makanisa tofauti.
 
Hujamuelewa.
Kasema shule zote zilizotaifishwa zilizokuwa za Roman Catholic zina makanisa ndani ya eneo la shule
Kweli humu kuna watu mna vichwa vigumu sana kuelewa.
Yeye ameandika kuwa shule zote zilizotaifishwa zilikuwa ni za Roman Catholic.
Naweka andiko lake hapo chini unionyeshe ni wapi alipoandika kuwa "shule zote zilizotaifishwa zilizokuwa za Roman Catholic zina makanisa ndani ya eneo la shule".

Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
 
Mimi nilikuwa nakaa huku mjini; AZIMIO. Mapinuzi fujo sana huko; wavuta bangi walikuwepo wengi huko
Vile vile ilikuwa ni rahisi kumuona CHALWE akiwa anatoka nyumbani ili uweze ku-take cover kirahisi,,, PUGU
Hahaha...kumbukumbu safi....
Mapinduzi kiboko yao....karibu na DH na pia njia ya kuelekea pondi na kutoroka ...
 
Back
Top Bottom