Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?

Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Moja ya kipimo Cha wazi Cha kukubalika Kwa kiongozi Kwa Karne hii Duniani ni pamoja na idadi ya watu wanaofuatilia hotuba na Taarifa zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Njia hii inatumiwa na Dunia Kwa sababu tayari wananchi wengi kila Kona ya Dunia wanaweza kupata Taarifa kiganjani kupitia live streaming

Leo katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi amezungumza na vyombo vya habari ambapo kwenye live streaming wasikilizaji wapo chini ya mia Kwa vyombo vingi ikiwemo Mwananchi, Milard na hata accounts za Chama .

Kama Chama Cha siasa yapo maswali analysts wanapaswa kujiuliza.
Je Wana CCM awatumii mitandao ya kijamii?
Je, viongozi wa CcM wakiwemo mawaziri, wabunge, makatibu na wenyeviti wa chama kwanini awafuatiliii maelekezo yanayotolewa na mtendaji mkuu wa chama?

Haiwezekani kukawepo na mgomo baridi miongoni mwa wanachama?

Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?

Hii inampa ishara Gani mwenyekiti wa chama?

Ipo wapi UVCCM? Kwanini wapinzania wawe na followers wengi Wakati CCM inaamisha umma Ina watu?
 
Kwani hujui kuwa bongo watu wengi wanapenda kufuatilia umbea kuliko vitu vya maana? Ukitaka kuthibitisha hili anzisha mada moja ya maana na nyingine ya kizushi halafu uone ipi itakuwa na watu wengi zaidi.

Mfano mada ya kwanza iwe
1. Mkakati kabambe wa kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana.

Na ya pili iwe;

2: connection ya undanduzi

Halafu matokeo utakayopata hutamlaumu tena katibu mkuu wa CCM
 
Moja ya kipimo Cha wazi Cha kukubalika Kwa kiongozi Kwa Karne hii Duniani ni pamoja na idadi ya watu wanaofuatilia hotuba na Taarifa zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Njia hii inatumiwa na Dunia Kwa sababu tayari wananchi wengi kila Kona ya Dunia wanaweza kupata Taarifa kiganjani kupitia live streaming

Leo katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi amezungumza na vyombo vya habari ambapo kwenye live streaming wasikilizaji wapo chini ya mia Kwa vyombo vingi ikiwemo Mwananchi, Milard na hata accounts za Chama .

Kama Chama Cha siasa yapo maswali analysts wanapaswa kujiuliza.
Je Wana CCM awatumii mitandao ya kijamii?
Je, viongozi wa CcM wakiwemo mawaziri, wabunge, makatibu na wenyeviti wa chama kwanini awafuatiliii maelekezo yanayotolewa na mtendaji mkuu wa chama?

Haiwezekani kukawepo na mgomo baridi miongoni mwa wanachama?

Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?

Hii inampa ishara Gani mwenyekiti wa chama?

Ipo wapi UVCCM? Kwanini wapinzania wawe na followers wengi Wakati CCM inaamisha umma Ina watu?
Kama ccm haina vibes na ni mautopolo unatajia nini, ccm ni chama chenye sekretariati utopolo na uvccm utopolo wenyeviti na makatibu ngazi zote utopolo kbsa hovyoo
 
Huyu hana tofauti na Mukama. Mara zote uzoefu unaonesha wenye asili ya Pwani wame-perform zaidi (kwa viwango vya CCM) kuliko waswaga ng'ombe.
 
Moja ya kipimo Cha wazi Cha kukubalika Kwa kiongozi Kwa Karne hii Duniani ni pamoja na idadi ya watu wanaofuatilia hotuba na Taarifa zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Njia hii inatumiwa na Dunia Kwa sababu tayari wananchi wengi kila Kona ya Dunia wanaweza kupata Taarifa kiganjani kupitia live streaming

Leo katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi amezungumza na vyombo vya habari ambapo kwenye live streaming wasikilizaji wapo chini ya mia Kwa vyombo vingi ikiwemo Mwananchi, Milard na hata accounts za Chama .

Kama Chama Cha siasa yapo maswali analysts wanapaswa kujiuliza.
Je Wana CCM awatumii mitandao ya kijamii?
Je, viongozi wa CcM wakiwemo mawaziri, wabunge, makatibu na wenyeviti wa chama kwanini awafuatiliii maelekezo yanayotolewa na mtendaji mkuu wa chama?

Haiwezekani kukawepo na mgomo baridi miongoni mwa wanachama?

Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?

Hii inampa ishara Gani mwenyekiti wa chama?

Ipo wapi UVCCM? Kwanini wapinzania wawe na followers wengi Wakati CCM inaamisha umma Ina watu?

featured_channel.jpg





LIVE

emoji837.png

LIVE: FREEMAN MBOWE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA​

342 watching now
Started streaming 45 minutes ago



LIVE
#LIVE CCM wanazungumza na waandishi wa habari muda huu

13 watching now
Started streaming 22 minutes ago




1


DISLIKE


SHARE


SAVE
 
Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?
Ukweli ni kwamba Chongolo ndiye Katibu sahihi kabisa wa chama hicho kwa wakati huu. Anachotakiwa kufanya ni kuwa jasiri na kufanya mambo ambayo wengi hawategemei ayafanye ndani ya chama.
Chama kimeoza kile. Unapoona watu hata hawafuatilii mambo anayofanya mtendaji mkuu wa chama, usikimbilie kumlaumu huyo mtendaji, ila anaglia kwanza hao anaowaongoza wana hali gani.

Labda useme udhaifu wake (Chongolo), ni kukosa huo ujasiri wa kukitikisa chama ili akirudishe kwenye misingi yake. Wengi wa viongozi na wanachama ndani ya chama hicho sasa hivi wamo kwa mazoea tu, wakisubili maslahi yanayoendelea kuwanufaisha.

Inawezekana hii dhana ikawa sikuieleza ikirahisi ili ieleweke vizuri, lakini sina shaka kabisa, kwa sasa Chongolo ndiye mtu sahihi katika nafasi hiyo ndani ya chama. Aaache woga tu wa kukanyaga mazagazaga ya wakubwa.
 
featured_channel.jpg





LIVE

emoji837.png

LIVE: FREEMAN MBOWE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA​

342 watching now
Started streaming 45 minutes ago



LIVE
#LIVE CCM wanazungumza na waandishi wa habari muda huu

13 watching now
Started streaming 22 minutes ago




1


DISLIKE


SHARE


SAVE
Kipimo cha aina hii ni vigumu sana kukupa mlinganisho sahihi.

Tukio la Mbowe ni 'unique'; la kipekee zaidi ambalo watu wana shauku ya kusikia atakayoelezea baada ya mikasa iliyompata.

Chongolo anazungumzia mambo ya kawaida, hakuna tukio la kipekee linalohusiana na mkutano wake huo. Hata sielewi ni nani aliyempangia azungumze wakati uleule Mbowe akizungumza. Hii ni kama wametegeshea kuondoa au kufifisha atakachokizungumzia Mbowe. Kama lengo lao lilikuwa hilo, basi huko CCM hakuna kitu tena.
 
Moja ya kipimo Cha wazi Cha kukubalika Kwa kiongozi Kwa Karne hii Duniani ni pamoja na idadi ya watu wanaofuatilia hotuba na Taarifa zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Njia hii inatumiwa na Dunia Kwa sababu tayari wananchi wengi kila Kona ya Dunia wanaweza kupata Taarifa kiganjani kupitia live streaming

Leo katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi amezungumza na vyombo vya habari ambapo kwenye live streaming wasikilizaji wapo chini ya mia Kwa vyombo vingi ikiwemo Mwananchi, Milard na hata accounts za Chama .

Kama Chama Cha siasa yapo maswali analysts wanapaswa kujiuliza.
Je Wana CCM awatumii mitandao ya kijamii?
Je, viongozi wa CcM wakiwemo mawaziri, wabunge, makatibu na wenyeviti wa chama kwanini awafuatiliii maelekezo yanayotolewa na mtendaji mkuu wa chama?

Haiwezekani kukawepo na mgomo baridi miongoni mwa wanachama?

Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?

Hii inampa ishara Gani mwenyekiti wa chama?

Ipo wapi UVCCM? Kwanini wapinzania wawe na followers wengi Wakati CCM inaamisha umma Ina watu?
CCM hawapendi wazanzibari wapate nafasi za uongozi. Sema tu hawaonyeshi waziwazi. Hata mama analijua hilo ndio maana akina ndungay, lukuvu, polepole na ile team yote yamewakuta yaliyowakuta.
 
Moja ya kipimo Cha wazi Cha kukubalika Kwa kiongozi Kwa Karne hii Duniani ni pamoja na idadi ya watu wanaofuatilia hotuba na Taarifa zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Njia hii inatumiwa na Dunia Kwa sababu tayari wananchi wengi kila Kona ya Dunia wanaweza kupata Taarifa kiganjani kupitia live streaming

Leo katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi amezungumza na vyombo vya habari ambapo kwenye live streaming wasikilizaji wapo chini ya mia Kwa vyombo vingi ikiwemo Mwananchi, Milard na hata accounts za Chama .

Kama Chama Cha siasa yapo maswali analysts wanapaswa kujiuliza.
Je Wana CCM awatumii mitandao ya kijamii?
Je, viongozi wa CcM wakiwemo mawaziri, wabunge, makatibu na wenyeviti wa chama kwanini awafuatiliii maelekezo yanayotolewa na mtendaji mkuu wa chama?

Haiwezekani kukawepo na mgomo baridi miongoni mwa wanachama?

Chongolo alistahili kushika nafasi kubwa kama hii kipindi hiki ambacho uelewa wa watu umepanuka Sana? Anao ubunifu wakukisimamia Chama bila msaada wa dola?

Hii inampa ishara Gani mwenyekiti wa chama?

Ipo wapi UVCCM? Kwanini wapinzania wawe na followers wengi Wakati CCM inaamisha umma Ina watu?
Ccm imechokwa sana.

Hata Hotuba za Samia na Lissu. Lissu anamwacha 1000miles.

Watanzania sio wajinga.
 
Mvuto ni mashindano ya urembo?Watu makini wanaangalia anasimamia vizuri sera ya Chama chake?Anatimiza wajibu wake?
Sisi tunaomfahamu hatuna shaka nae tunajua uwezo wake.
Wengi wamezoea mipasho.Kasikilize taarabu.
 
Back
Top Bottom