Kwanini Katibu Mkuu wa CCM amekosa kabisa ushawishi Kwa jamiii? Je, CCM wana mgomo baridi dhidi yake?

Sisiemu kwa sasa inaonekana imekatika katika kwa sababu ya makundi makundi....ngoja uone 2025 labda watajiunga tena ila mama awaangalie vizuri anaowasikiliza ngoma ikichemka watamwachia yeye😂😂😂........
 
Tokea lini vibaka wa kupora chaguzi wakawa na ushawishi ndani ya jamii?!

Rafiki yangu Beatrice siku hizi unaniangusha sana kwani unashindwa kuelewa vitu vidogo sana kama hivi.
 
Nakala kwa mamluki voicer
 
Hilo ndio hasa lililuwa lengo lakini walisahau kuwa wao wamezoeleka masikion mwa watu hivyo hawawezi kupata attention kama ilivyo kwa mtu ambaye alikuwa na nyakati ngumu. Mipango ya hovyo huonesha uhovyo wa viongozi pia.
 
Hapa umekosea mkuu, nakufananisha na Jiwe au Bashite
 
Walionihuzunisha ni waandishi wa habari wanapewa nafasi ya kuuliza maswali wakawa hawana mtu aliyejiandaa au kujenga swali lenye hoja .
 
Huyu hana tofauti na Mukama. Mara zote uzoefu unaonesha wenye asili ya Pwani wame-perform zaidi (kwa viwango vya CCM) kuliko waswaga ng'ombe.
Watanzania wengi wanapenda mipasho na umbea ndo shida ipo hapo.
 
Ndege wa fananao huruka Kundi moja... Je yule Shaka?🤣🤣🤣🤣

Samia ni form 4 failure sio kwamba alifeli kwa sababu nyumbani Kuna shida la hasha ni debe tupu, so unatarajiaje aweze Kupenda kuwa Karibu na watu wenye akili
 
CCM hawapendi wazanzibari wapate nafasi za uongozi. Sema tu hawaonyeshi waziwazi. Hata mama analijua hilo ndio maana akina ndungay, lukuvu, polepole na ile team yote yamewakuta yaliyowakuta.
Ni nini hiki umeandika? Huu ukaburu haupo CCM. Zanzibar ni sehemu ya Tanzania!
 
Ndege wa fananao huruka Kundi moja... Je yule Shaka?🤣🤣🤣🤣

Samia ni form 4 failure sio kwamba alifeli kwa sababu nyumbani Kuna shida la hasha ni debe tupu, so unatarajiaje aweze Kupenda kuwa Karibu na watu wenye akili
Heshima heshima heshima heshima! Tafadhali sana.
 
Weka screenshots za viewers hapa. Kwa muda wote aliozungumza SG Chongolo.
 
Huyu hana tofauti na Mukama. Mara zote uzoefu unaonesha wenye asili ya Pwani wame-perform zaidi (kwa viwango vya CCM) kuliko waswaga ng'ombe.
[emoji23][emoji23]..waswaga ng'ombe..
 
Uvccm akili wamekabidhi kwa watu wengine wamebaki na vichwa kama makasha tu
 
Kwa alivyoongea Mbowe sijui kama next time atapata audience ya maana!
 
hajajipanga kuwa katibu wa chama baada ya kumdhulumu bashiru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…